picha

Vyakula vya vitamini k na faida zake

Vyakula vya vitamini k na faida zake

VYAKULA VYA VITAMINI K

  1. Nyama
  2. Mayai
  3. Siagi
  4. Maziwa
  5. Mchicha
  6. Kabichi
  7. Spinachi
  8. Kisamvu
  9. Mapalachichi
  10. Zabibu
  11. Matunda mengine
  12. Mboga nyingine za kijani

 

Faida na kazi za vitamini K mwilini

  1. Husaidia katika kuganda kwa damu
  2. Husaidia katika kuboresha afya ya ubongo
  3. Husaidia katika kuthibiti matumuzi ya madini ya calcium mwilini
  4. Husaidia katika kulinda afya ya mifupa
  5. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 3050

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 ai web app     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula miwa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa

Soma Zaidi...
Faida za kahawa mwilini.

Posti hii inahusu zaidi faida za kahawa mwilini, ni faida ambazo ujitokeza hasa kwa watumiaji wa kahawa.

Soma Zaidi...
Kazi za vitamini B mwilini Na upungufu wa vitamini B mwilini

vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu

Soma Zaidi...
Fahamu vitamini K na kazi zake, vyakula vya vitamini k na athari za upungufu wake

kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini.

Soma Zaidi...
Tango (cucumber)

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula tango

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

Zijuwe dawa za kuongeza nguvu za kiume, na vyakula salama vya kuongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...