Vyakula vya vitamini E na faida zake
VYAKULA VYA VITAMINI E
- Karanga
- Palachichi
- Maziwa
- Samaki
- Siagi
- Viazi mbatata
- Mchele
- Siagi
- Korosho
- Spinachi
- Alizeti
- Mayai
- Maini
- Nyama
Kazi za vitamini E
- Husaidia kuondosha sumu za kemikali na vyakula mwilin
- Husaidia katika utengenezwaji wa utando wa seli mwilini
- Husaidia katika utengenezwaji wa utando maeneo mbalimbali ya mwili kama neva
- Husaidia katika ukuaji mzuri wa mifupa
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 web hosting 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 web hosting 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Vyakula vya vitamin K
Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K
Soma Zaidi...Faida za kula pilipili
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pilipili
Soma Zaidi...Je miwa ina madhara yoyote?
Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote?
Soma Zaidi...FAIDA ZA VITAMINI C NA UMUHIMU WA VITAMINI C MWILINI
Utafahamu faida za vitamini C mwilini pamoja na kujuwa umuhimu wa vitamini C
Soma Zaidi...