Menu



Vyakula vya vitamini E na faida zake

Vyakula vya vitamini E na faida zake

VYAKULA VYA VITAMINI E

  1. Karanga
  2. Palachichi
  3. Maziwa
  4. Samaki
  5. Siagi
  6. Viazi mbatata
  7. Mchele
  8. Siagi
  9. Korosho
  10. Spinachi
  11. Alizeti
  12. Mayai
  13. Maini
  14. Nyama

 

Kazi za vitamini E

  1. Husaidia kuondosha sumu za kemikali na vyakula mwilin
  2. Husaidia katika utengenezwaji wa utando wa seli mwilini
  3. Husaidia katika utengenezwaji wa utando maeneo mbalimbali ya mwili kama neva
  4. Husaidia katika ukuaji mzuri wa mifupa


                   

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2151

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

FAIDA ZA MATUNDA NA MBOGA MBALIMBALI KWA AFYA

FAIDA ZA MATUNDA Makala hii inakwenda kukuletea faida za matunda mbalimbali na mboga upatikanaji wake na faida zake kiafya.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage

Soma Zaidi...
Yajuwe magonjwa matano yanayo tokana na utapiamlo

Post hii inakwenda kukutajia mahonjwa matano ambayo hutokana na utapia mlo.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za nyanya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya

Soma Zaidi...
Vijuwe vyakula vinavyoongeza damu kwa haraka

Post hii itakufundisha aina za vyakula ambavyo vinaweza kuongeza damu kwa haraka.

Soma Zaidi...
Madhara ya mafuta mengi mwilimi

Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi

Soma Zaidi...
FAIDA ZA KULA ZABIBU

Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za kula zabibu na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
Boga (pumpkin)

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula maboga

Soma Zaidi...