Vyakula vya vitamini E na faida zake
VYAKULA VYA VITAMINI E
- Karanga
- Palachichi
- Maziwa
- Samaki
- Siagi
- Viazi mbatata
- Mchele
- Siagi
- Korosho
- Spinachi
- Alizeti
- Mayai
- Maini
- Nyama
Kazi za vitamini E
- Husaidia kuondosha sumu za kemikali na vyakula mwilin
- Husaidia katika utengenezwaji wa utando wa seli mwilini
- Husaidia katika utengenezwaji wa utando maeneo mbalimbali ya mwili kama neva
- Husaidia katika ukuaji mzuri wa mifupa
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 ai web app
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
VYANZO VYA VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA NA FAIDA ZAKE
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Ulaji wa protini kupitiliza
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za ulaji wa protini kupitiliza
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kunywa maziwa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa
Soma Zaidi...