Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua
Umuhimu wa kutumia maharage.
1. Maharage usaidia kupunguza kiasi cha mafuta mwilini ambacho kwa kitaalamu huitwa cholesterol.
Tunajua kuwa mawili kuna wakati mwingine kunakuwepo na mafuta mengi lakini kwa sababu ya kuwepo kwa ulaji wa maharage kwa kiasi kikubwa upunguza mafuta mwilini.
2. Pia maharage usaidia kupunguza kansa.
Kwa sababu ya kuwepo kwa madini ya magnesium na na vitamini K uzuia kiasi cha kuaribika kwa seli kwa hiyo tunapaswa kutumia sana maharage kwa sababu ya kuwepo kwa faida nyingi.
3. Pia maharage usaidia kuboresha ubongo.
Kwa kawaida tunajua kwenye maharage kuna thamine na vitamini K ambayo usaidia kwa kiasi kikubwa kazi kwenye ubongo.
4. Upunguza kiasi cha sukari mwilini.
Kwa kawaida tunajua kuwa wagonjwa wa kisukari wanapaswa kutumia maharage kwa wingi kwa sababu usaidia kuzuia makali ya sukari kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango cha protini kwa wingi.
5. Uongeza nguvu mwilini kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha protini.
6. Pia maharage uimarisha mifupa kwa kukwepo kwa kiwango kikubwa cha calcium kwenye maharage.
7. Uboreshaji wa ngozi kwa sababu ya kuwepo kwa mafuta na hemoglobin kwenye maharage.
8.Pia maharage uboresha afya ya moyo kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini B9 kwenye maharage.
9. Maharage usaidia katika kutunza kumbukumbu kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini B1 na pia maharage kwenye macho jwas sababu ya kuwepo kwa zinki kwenye maharage.
10. Usaidia kupunguza uzito.kwa sababu ya kuwepo kwa protini ya kutosha kwenye maharage.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.
Soma Zaidi...Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo?
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukutajia mahonjwa matano ambayo hutokana na utapia mlo.
Soma Zaidi...Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga.
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...