picha

Umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua

Umuhimu wa kutumia maharage.

1. Maharage usaidia kupunguza kiasi cha mafuta mwilini ambacho kwa kitaalamu huitwa cholesterol.

Tunajua kuwa mawili kuna wakati mwingine kunakuwepo na mafuta mengi lakini kwa sababu ya kuwepo kwa ulaji wa maharage kwa kiasi kikubwa upunguza mafuta mwilini.

 

2.  Pia maharage usaidia kupunguza kansa.

Kwa sababu ya kuwepo kwa madini ya magnesium na na vitamini K uzuia kiasi cha kuaribika kwa seli kwa hiyo tunapaswa kutumia sana maharage kwa sababu ya kuwepo kwa faida nyingi.

 

3. Pia maharage usaidia kuboresha ubongo.

Kwa kawaida tunajua kwenye maharage kuna thamine na vitamini K ambayo usaidia kwa kiasi kikubwa kazi kwenye ubongo.

 

4. Upunguza kiasi cha sukari mwilini.

Kwa kawaida tunajua kuwa wagonjwa wa kisukari wanapaswa kutumia maharage kwa wingi kwa sababu usaidia kuzuia makali ya sukari kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango cha protini kwa wingi.

 

5. Uongeza nguvu mwilini kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha protini.

 

6. Pia maharage uimarisha mifupa kwa kukwepo kwa kiwango kikubwa cha calcium kwenye maharage.

 

7. Uboreshaji wa ngozi kwa sababu ya kuwepo kwa mafuta na hemoglobin kwenye maharage.

 

8.Pia maharage uboresha afya ya moyo kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini B9 kwenye maharage.

 

9. Maharage usaidia katika kutunza kumbukumbu  kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini B1 na pia maharage kwenye macho jwas sababu ya kuwepo kwa zinki kwenye maharage.

 

10. Usaidia kupunguza uzito.kwa sababu ya kuwepo kwa protini ya kutosha kwenye maharage.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/03/07/Monday - 09:29:51 pm Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 3093

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 ai web app    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula ukwaju

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju

Soma Zaidi...
Nini maana ya protini

Unaijuwa maana ya virutubisho vya protini, na kazi zake mwilini. Soma zaidi hapa

Soma Zaidi...
Faida za kula karoti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula karoti

Soma Zaidi...
VYANZO VYA VYAKULA VYA VITAMINI NA FAIDA ZAKE

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Faida za kula limao

Usiwashangae wanaokula lima, kwa hakika kuna faida kubwa kiafya kula limao, je unazijuwa faida hizo

Soma Zaidi...
FAIDA ZA MATUNDA NA MBOGA MBALIMBALI KWA AFYA

FAIDA ZA MATUNDA Makala hii inakwenda kukuletea faida za matunda mbalimbali na mboga upatikanaji wake na faida zake kiafya.

Soma Zaidi...
Ulaji wa protini kupitiliza

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za ulaji wa protini kupitiliza

Soma Zaidi...
Fahamu tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari

Post hii inahusu zaidi tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari ni tiba ambayo utumiwa sana na wagonjwa wa kisukari na walio wengi na wamefanikiwa kupona

Soma Zaidi...
Sababu zinazoweza kusababisha kukosa choo (kinyesi)

Kukosa choo aina ya kinyesi ni kutoweza kudhibiti kinyesi, hivyo kusababisha kinyesi kuvuja bila kutarajiwa kutoka kwenye puru. Pia huitwa kutoweza kudhibiti utumbo, Upungufu wa kinyesi hutoka kwa kuvuja mara kwa mara kwa kinyesi huku ukipitisha gesi had

Soma Zaidi...