image

Umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua

Umuhimu wa kutumia maharage.

1. Maharage usaidia kupunguza kiasi cha mafuta mwilini ambacho kwa kitaalamu huitwa cholesterol.

Tunajua kuwa mawili kuna wakati mwingine kunakuwepo na mafuta mengi lakini kwa sababu ya kuwepo kwa ulaji wa maharage kwa kiasi kikubwa upunguza mafuta mwilini.

 

2.  Pia maharage usaidia kupunguza kansa.

Kwa sababu ya kuwepo kwa madini ya magnesium na na vitamini K uzuia kiasi cha kuaribika kwa seli kwa hiyo tunapaswa kutumia sana maharage kwa sababu ya kuwepo kwa faida nyingi.

 

3. Pia maharage usaidia kuboresha ubongo.

Kwa kawaida tunajua kwenye maharage kuna thamine na vitamini K ambayo usaidia kwa kiasi kikubwa kazi kwenye ubongo.

 

4. Upunguza kiasi cha sukari mwilini.

Kwa kawaida tunajua kuwa wagonjwa wa kisukari wanapaswa kutumia maharage kwa wingi kwa sababu usaidia kuzuia makali ya sukari kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango cha protini kwa wingi.

 

5. Uongeza nguvu mwilini kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha protini.

 

6. Pia maharage uimarisha mifupa kwa kukwepo kwa kiwango kikubwa cha calcium kwenye maharage.

 

7. Uboreshaji wa ngozi kwa sababu ya kuwepo kwa mafuta na hemoglobin kwenye maharage.

 

8.Pia maharage uboresha afya ya moyo kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini B9 kwenye maharage.

 

9. Maharage usaidia katika kutunza kumbukumbu  kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini B1 na pia maharage kwenye macho jwas sababu ya kuwepo kwa zinki kwenye maharage.

 

10. Usaidia kupunguza uzito.kwa sababu ya kuwepo kwa protini ya kutosha kwenye maharage.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1645


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Nanasi (pineapple)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula nanasi Soma Zaidi...

Zijue Faida ya kula tunda la tango.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula uyoga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga Soma Zaidi...

Faida za kula Tangawizi
tangawizi ni katika viungio vya mboga vyenye faida, pia ni kinywaji, zijuwe leo faida za tangawizi Soma Zaidi...

Faida za kula ukwaju
Uchachu wa ukwaju, ndio ubora wake, kuna virutubisho vingi kwa kula ukwaju, soma makala hii Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula miwa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa Soma Zaidi...

Fahamu vitamini C na kazi zake, vyakula vya vitamini C na athari za upungufu wake.
kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu. Soma Zaidi...

Vyakula vyenye maji mengi kwa wingi
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Tende
Soma Zaidi...

Zijue kazi za madini ya chuma mwilini
Posti hii inahusu zaidi kazi za madini ya chuma mwilini,Ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini na pia utokana na vyakula mbalimbali ambavyo upatikana kwenye wanyama na mimea. Zifuatazo ni kazi za madini ya chuma. Soma Zaidi...

AINA KUU ZA VYAKULA: vyakula vya protini, wanga, fat na mafuta, vitamini, madini na maji
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass Soma Zaidi...