Umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua

Umuhimu wa kutumia maharage.

1. Maharage usaidia kupunguza kiasi cha mafuta mwilini ambacho kwa kitaalamu huitwa cholesterol.

Tunajua kuwa mawili kuna wakati mwingine kunakuwepo na mafuta mengi lakini kwa sababu ya kuwepo kwa ulaji wa maharage kwa kiasi kikubwa upunguza mafuta mwilini.

 

2.  Pia maharage usaidia kupunguza kansa.

Kwa sababu ya kuwepo kwa madini ya magnesium na na vitamini K uzuia kiasi cha kuaribika kwa seli kwa hiyo tunapaswa kutumia sana maharage kwa sababu ya kuwepo kwa faida nyingi.

 

3. Pia maharage usaidia kuboresha ubongo.

Kwa kawaida tunajua kwenye maharage kuna thamine na vitamini K ambayo usaidia kwa kiasi kikubwa kazi kwenye ubongo.

 

4. Upunguza kiasi cha sukari mwilini.

Kwa kawaida tunajua kuwa wagonjwa wa kisukari wanapaswa kutumia maharage kwa wingi kwa sababu usaidia kuzuia makali ya sukari kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango cha protini kwa wingi.

 

5. Uongeza nguvu mwilini kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha protini.

 

6. Pia maharage uimarisha mifupa kwa kukwepo kwa kiwango kikubwa cha calcium kwenye maharage.

 

7. Uboreshaji wa ngozi kwa sababu ya kuwepo kwa mafuta na hemoglobin kwenye maharage.

 

8.Pia maharage uboresha afya ya moyo kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini B9 kwenye maharage.

 

9. Maharage usaidia katika kutunza kumbukumbu  kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini B1 na pia maharage kwenye macho jwas sababu ya kuwepo kwa zinki kwenye maharage.

 

10. Usaidia kupunguza uzito.kwa sababu ya kuwepo kwa protini ya kutosha kwenye maharage.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2910

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Faida za kula Palachichi

Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia, sababu zake na dalili zzake

Hapa utajifunza sababu za kupatwa na maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia

Soma Zaidi...
Uyoga (mushrooms)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kutumia maembe kiafya.

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo, na vyakula salama kwa vidonda vya tumbo

Makala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
Faida za kula Tangawizi

tangawizi ni katika viungio vya mboga vyenye faida, pia ni kinywaji, zijuwe leo faida za tangawizi

Soma Zaidi...
Faida za kunywa maziwa

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kunywa maziwa kiafya

Soma Zaidi...