Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Faida za kiafya za viazi mbatata
1. ni chakula kizuri kwa afya ya mifupa
2. Husaidia kushusha presha ya damu
3. Ni chakula kizuri kwa afya ya moyo
4. Husaidia katika afya ya ubongo kauka kutunza kumbukumbu, kujifunza, kurelax
5. Husaidia katika ukuaji wa mtoto
6. Uboreshaji wa mfumo wa fahamu na kuboresha seli
7. Husaidia katika mapambano dhidi ya saratani
8. Huzuia tatizo la kukosa choo
9. Husaidia kupunguza uzito
10. Ni chakula kizuri kwa afya ya ngozi
11. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga
12. Viazi mbatata vina virutubisho kama vitamini C na vitamini B6. pia fati, wanga na protini. Pia kuna madini ya chuma, zinc, potassium, magnesium, phosphorus na mengineyo mengi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi faida za matumizi ya vyakula vya asili, kama tunavyojua kwamba mababu na mabibi zetu walitumia vyakula vya asili wakaishi miaka mingi kweli.
Soma Zaidi...Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kuwepo kwa vyakula vya kisasa, vyakula vya kisasa ni vyakula vya madukani ambavyo vimetengenezwa na kuwekwa kwenye maduka
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin A
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha
Soma Zaidi...