Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Faida za kiafya za viazi mbatata
1. ni chakula kizuri kwa afya ya mifupa
2. Husaidia kushusha presha ya damu
3. Ni chakula kizuri kwa afya ya moyo
4. Husaidia katika afya ya ubongo kauka kutunza kumbukumbu, kujifunza, kurelax
5. Husaidia katika ukuaji wa mtoto
6. Uboreshaji wa mfumo wa fahamu na kuboresha seli
7. Husaidia katika mapambano dhidi ya saratani
8. Huzuia tatizo la kukosa choo
9. Husaidia kupunguza uzito
10. Ni chakula kizuri kwa afya ya ngozi
11. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga
12. Viazi mbatata vina virutubisho kama vitamini C na vitamini B6. pia fati, wanga na protini. Pia kuna madini ya chuma, zinc, potassium, magnesium, phosphorus na mengineyo mengi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama
Soma Zaidi...Vitamini A ni katika vitamini fat soluble vitamin akama vile retinol, retinal, retinoic acid na beta-carotene.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya
Soma Zaidi...Matatizo ya macho yanaweza kuruthiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto. hata hivyo shughuli zetu na vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Hapa nitakuletea vyakula muhimu kwa afya ya macho yako.
Soma Zaidi...Zijuwe dawa za kuongeza nguvu za kiume, na vyakula salama vya kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...