Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Faida za kiafya za viazi mbatata
1. ni chakula kizuri kwa afya ya mifupa
2. Husaidia kushusha presha ya damu
3. Ni chakula kizuri kwa afya ya moyo
4. Husaidia katika afya ya ubongo kauka kutunza kumbukumbu, kujifunza, kurelax
5. Husaidia katika ukuaji wa mtoto
6. Uboreshaji wa mfumo wa fahamu na kuboresha seli
7. Husaidia katika mapambano dhidi ya saratani
8. Huzuia tatizo la kukosa choo
9. Husaidia kupunguza uzito
10. Ni chakula kizuri kwa afya ya ngozi
11. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga
12. Viazi mbatata vina virutubisho kama vitamini C na vitamini B6. pia fati, wanga na protini. Pia kuna madini ya chuma, zinc, potassium, magnesium, phosphorus na mengineyo mengi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Tangaizi ni katika mimea yenye asili na bara la asia hususan nchi ya China.
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za kula zabibu na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Virutubisho vya protini vina kazi nyingi mwilini. Zifuatazo ndio kazi protini mwilini
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari ni tiba ambayo utumiwa sana na wagonjwa wa kisukari na walio wengi na wamefanikiwa kupona
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E
Soma Zaidi...