Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Faida za kiafya za viazi mbatata
1. ni chakula kizuri kwa afya ya mifupa
2. Husaidia kushusha presha ya damu
3. Ni chakula kizuri kwa afya ya moyo
4. Husaidia katika afya ya ubongo kauka kutunza kumbukumbu, kujifunza, kurelax
5. Husaidia katika ukuaji wa mtoto
6. Uboreshaji wa mfumo wa fahamu na kuboresha seli
7. Husaidia katika mapambano dhidi ya saratani
8. Huzuia tatizo la kukosa choo
9. Husaidia kupunguza uzito
10. Ni chakula kizuri kwa afya ya ngozi
11. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga
12. Viazi mbatata vina virutubisho kama vitamini C na vitamini B6. pia fati, wanga na protini. Pia kuna madini ya chuma, zinc, potassium, magnesium, phosphorus na mengineyo mengi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Soma Zaidi...zijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida mbalimbali ambazo anaweza kuzipata mtu anayetumia kachumbari, tunajua wazi kwamba kachumbari ni mchanganyiko wa nyanya, vitunguu maji,kabichi,na pilipili kidogo.
Soma Zaidi...Uchachu wa ukwaju, ndio ubora wake, kuna virutubisho vingi kwa kula ukwaju, soma makala hii
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo wanapaswa kutumia watu wenye matatizo ya macho,ni vyakula ambavyo uhimalisha mishipa na sehemu nyingine za jicho na kufanya jicho lisiwe na matatizo kwa sababu tunajua wazi kuwa vyakula ni dawa.
Soma Zaidi...