Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao
6. Faida za limao ama ndimu na limao
1. hupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa stroke yaani kiharusi unaopelekea kupapapaizi
2. Kushusha presha ya damu
3. Huzuia kupata saratani
4. Husaidia kuboresha afya ya ngozi
5. Huzuia kuata pumu
6. Husaidi katika ufyonzwaji wa madini ya chuma
7. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga
8. Husaidia katika kupunguza uzito
9. Ni chanzo kizauri cha vitamini C
10. Lina virutubisho kama vitamini C, madini ya chuma, potassium, phosphorus na manganessium
11. Hilinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Kamala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kisamvu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin A
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake, hii ni Aina tatu za vyakula na kazi zake jinsi zinavyofanya kazi, hufanya kazi kama ifuatavyo,
Soma Zaidi...Usiwashangae wanaokula lima, kwa hakika kuna faida kubwa kiafya kula limao, je unazijuwa faida hizo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari
Soma Zaidi...Somo hili linalenga kukujuza juu ya umuhimu wa tikiti kwenye afya ya mwili
Soma Zaidi...