Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao
6. Faida za limao ama ndimu na limao
1. hupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa stroke yaani kiharusi unaopelekea kupapapaizi
2. Kushusha presha ya damu
3. Huzuia kupata saratani
4. Husaidia kuboresha afya ya ngozi
5. Huzuia kuata pumu
6. Husaidi katika ufyonzwaji wa madini ya chuma
7. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga
8. Husaidia katika kupunguza uzito
9. Ni chanzo kizauri cha vitamini C
10. Lina virutubisho kama vitamini C, madini ya chuma, potassium, phosphorus na manganessium
11. Hilinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula ambavyo vinaweza kupunguza presha ya kupanda
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za madini ya chuma mwilini,Ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini na pia utokana na vyakula mbalimbali ambavyo upatikana kwenye wanyama na mimea. Zifuatazo ni kazi za madini ya chuma.
Soma Zaidi...