Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao
6. Faida za limao ama ndimu na limao
1. hupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa stroke yaani kiharusi unaopelekea kupapapaizi
2. Kushusha presha ya damu
3. Huzuia kupata saratani
4. Husaidia kuboresha afya ya ngozi
5. Huzuia kuata pumu
6. Husaidi katika ufyonzwaji wa madini ya chuma
7. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga
8. Husaidia katika kupunguza uzito
9. Ni chanzo kizauri cha vitamini C
10. Lina virutubisho kama vitamini C, madini ya chuma, potassium, phosphorus na manganessium
11. Hilinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula ambavyo vinaweza kupunguza presha ya kupanda
Soma Zaidi...Kitunguu thaumu ni katika viungo vya mboga na chakula.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa
Soma Zaidi...