Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao
6. Faida za limao ama ndimu na limao
1. hupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa stroke yaani kiharusi unaopelekea kupapapaizi
2. Kushusha presha ya damu
3. Huzuia kupata saratani
4. Husaidia kuboresha afya ya ngozi
5. Huzuia kuata pumu
6. Husaidi katika ufyonzwaji wa madini ya chuma
7. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga
8. Husaidia katika kupunguza uzito
9. Ni chanzo kizauri cha vitamini C
10. Lina virutubisho kama vitamini C, madini ya chuma, potassium, phosphorus na manganessium
11. Hilinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kukosa choo aina ya kinyesi ni kutoweza kudhibiti kinyesi, hivyo kusababisha kinyesi kuvuja bila kutarajiwa kutoka kwenye puru. Pia huitwa kutoweza kudhibiti utumbo, Upungufu wa kinyesi hutoka kwa kuvuja mara kwa mara kwa kinyesi huku ukipitisha gesi had
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pilipili
Soma Zaidi...Je ungependa kujuwa vyakula hivyo ama vyanzo vya madini? Na je ungependa kujuwa ni zipi hasa kazi za madini katika miili yetu?. makala hii ni kwa ajili yako, hapa utakwenda kujifunza mengi kuhusu somo hili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini, ni Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini ambao usababisha madhara kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...