Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao
6. Faida za limao ama ndimu na limao
1. hupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa stroke yaani kiharusi unaopelekea kupapapaizi
2. Kushusha presha ya damu
3. Huzuia kupata saratani
4. Husaidia kuboresha afya ya ngozi
5. Huzuia kuata pumu
6. Husaidi katika ufyonzwaji wa madini ya chuma
7. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga
8. Husaidia katika kupunguza uzito
9. Ni chanzo kizauri cha vitamini C
10. Lina virutubisho kama vitamini C, madini ya chuma, potassium, phosphorus na manganessium
11. Hilinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukuletea kazi za virutubisho vya protini mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.
Soma Zaidi...Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?
Soma Zaidi...Kukosa choo aina ya kinyesi ni kutoweza kudhibiti kinyesi, hivyo kusababisha kinyesi kuvuja bila kutarajiwa kutoka kwenye puru. Pia huitwa kutoweza kudhibiti utumbo, Upungufu wa kinyesi hutoka kwa kuvuja mara kwa mara kwa kinyesi huku ukipitisha gesi had
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula samaki
Soma Zaidi...Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafeli ama soursop
Soma Zaidi...