Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope
Faida za kula topetope
1. Tope tope lina virutubisho Kama vitamin C na B pia madini ya potassium na magnesium
2. Husaidia kulinda mwili dhidi ya pumu
3. Hudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
4. Hufanya moyo kua kwenye afya njema
5. Hushusha presha ya damu
6. Huboresha na kuimarisha afya ya mifupa
7. Husaidia katika kuipa mwili nguvu
8. Hufanya tezi ya thyroid kuwa salama
9. Huzuia matatizo ya ujauzito
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika makala hii tutakwenda kujufunza faida za kiafya zinazopatuikana kwa kunywa maji yamoti wakati wa asubuhi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya kula
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tunda pera
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tikiti
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini
Soma Zaidi...Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya
Soma Zaidi...