Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope
Faida za kula topetope
1. Tope tope lina virutubisho Kama vitamin C na B pia madini ya potassium na magnesium
2. Husaidia kulinda mwili dhidi ya pumu
3. Hudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
4. Hufanya moyo kua kwenye afya njema
5. Hushusha presha ya damu
6. Huboresha na kuimarisha afya ya mifupa
7. Husaidia katika kuipa mwili nguvu
8. Hufanya tezi ya thyroid kuwa salama
9. Huzuia matatizo ya ujauzito
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kukosa choo aina ya kinyesi ni kutoweza kudhibiti kinyesi, hivyo kusababisha kinyesi kuvuja bila kutarajiwa kutoka kwenye puru. Pia huitwa kutoweza kudhibiti utumbo, Upungufu wa kinyesi hutoka kwa kuvuja mara kwa mara kwa kinyesi huku ukipitisha gesi had
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Kuchaguwa vinywaji si jambo rahisi, lakini inabidi iwe hivyo kama una tatizo la kisukari. Je unasumbuka kujuwa vinywaji salama? makala hii ni kwa ajili yako, hapa tutaona vinywaji ambavyo ni salama kwa mwenye kisukari.
Soma Zaidi...Ukubwa wa tikiti unasadifu yaliyopo, kwani kuna fgaida akubwa sana za kiafya katika kula tikiti
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...