Faida za kiafya za topetope (accustard apple/sweetsop)

Faida za kiafya za topetope (accustard apple/sweetsop)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope

Download Post hii hapa

Faida za kula topetope

1. Tope tope lina virutubisho Kama vitamin C na B pia madini ya potassium na magnesium

2. Husaidia kulinda mwili dhidi ya pumu

3. Hudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu

4. Hufanya moyo kua kwenye afya njema

5. Hushusha presha ya damu

6. Huboresha na kuimarisha afya ya mifupa

7. Husaidia katika kuipa mwili nguvu

8. Hufanya tezi ya thyroid kuwa salama

9. Huzuia matatizo ya ujauzito

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2025

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Faida za kula Ndizi
Faida za kula Ndizi

Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho

Soma Zaidi...
Mboga ambazo zimekuwa kuweka kiwango cha sukari juwa sawa
Mboga ambazo zimekuwa kuweka kiwango cha sukari juwa sawa

Posti hii inahusu zaidi mboga mboga za majani ambazo zinaweza kuweka sukari kwenye kiwango cha kawaida.

Soma Zaidi...
Vyakula vya wanga
Vyakula vya wanga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini

Soma Zaidi...
Faida za kula parachichi
Faida za kula parachichi

Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya

Soma Zaidi...
Vyakula vya kupambana na saratani
Vyakula vya kupambana na saratani

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kupambana na saratani

Soma Zaidi...
Limao (lemon)
Limao (lemon)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula limao

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula karanga
Faida za kiafya za kula karanga

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga

Soma Zaidi...
Athari za kula vitamin C kupitiliza
Athari za kula vitamin C kupitiliza

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kula vitamini C kupitiliza

Soma Zaidi...
Vijuwe vyakula vya madini na kazi za madini mwilini
Vijuwe vyakula vya madini na kazi za madini mwilini

Post hii inakwenda kukieleza kuhusu vyakula vya madini na kazi zake mwilini

Soma Zaidi...