Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa.
Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa. Pia tukushukuru ewe msomaji wa makala hii
kuweza kutumia muda wako vyema hta ukapata kuisoma makala hii.
Makala hii inakwenda kulenga katika kutowa mafunzo na elimu juu ya matunda mbalimbali na faida zao. makala hii imelenga hasa faida za
matunda katika kukabiliana na maradhi mbalimbali sugu kama kisukari, saratani, maradhi ya moyo kama kupalalaizi, shambulio la moyo
pamoja na presha ya kupanda na kushuka.
Kitabu hiki cha matunda kimesha kamilika sehemu ya kwanza. Kitabu hiki utaweza kukipata bure hata bila ya malipo. Unachotakiwa ni
kujisajili kwenye maktaba yetu kwa kutumia link hapo chini, kisha utaendelea kutumia huduma zetu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Makala hii inakwenda kukuletea kazi za vitamini B, pia tutajwenda kuona makundi ya vitamini B na kazi za kila kundi. Pia makala hii inakwenda kukufundisha vyanzo na vyakula vya vitamini B. Utajifunza pia kazi kuu za vitamini B kw
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida ambazo anaweza kupata mwanadamu Kama akila bamia Mara kwa mara. Bamia huliwa Kama tunda au Kama mboga pia na husaidia vitu vingi mwilini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Je unazijuwa faida za kula chungwa kiafya? soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...