Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa.
Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa. Pia tukushukuru ewe msomaji wa makala hii
kuweza kutumia muda wako vyema hta ukapata kuisoma makala hii.
Makala hii inakwenda kulenga katika kutowa mafunzo na elimu juu ya matunda mbalimbali na faida zao. makala hii imelenga hasa faida za
matunda katika kukabiliana na maradhi mbalimbali sugu kama kisukari, saratani, maradhi ya moyo kama kupalalaizi, shambulio la moyo
pamoja na presha ya kupanda na kushuka.
Kitabu hiki cha matunda kimesha kamilika sehemu ya kwanza. Kitabu hiki utaweza kukipata bure hata bila ya malipo. Unachotakiwa ni
kujisajili kwenye maktaba yetu kwa kutumia link hapo chini, kisha utaendelea kutumia huduma zetu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi faida anazozipata mtu anayekula mayai hasa wakati wa kifua kinywa, tunajua wazi kuwa mayai yana kiwango kikubwa cha protini pamoja na hayo kuna faida nyingi za kutumia mayai hasa wakati wa asubuhi kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi/ lotetree
Soma Zaidi...Tangaizi ni katika mimea yenye asili na bara la asia hususan nchi ya China.
Soma Zaidi...hivi ndio vyakula vya protini kwa wingi, maziwa, mayai, samaki, dagaa, nyama, maini. Endelea na zaidi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant)
Soma Zaidi...