Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju
Faida za ukwaju
1. Ukwaju una virutubisho Kama vile vitamin C K, B6, B1, B2 na B3 pia madini ya chuma, potassium, magnesium na phosphorus
2. Husaidia kuimarisha afya ya moyo
3. Husaidia kushuSha presha ya damu
4. Husaidia mwili kupambana na mashambulizi ya bakteria, fangasi na virusi
5. Husaidia kulinda afya ya ini
6. Huzuia kukosa kwa choo na kuharisha
7. Husaidia wajawazito kuondoa kichefuchefu
8. Husaidia kudhibiti uzito
9. Huzuia kuzeeka mapema
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inakwenda kukutajia mahonjwa matano ambayo hutokana na utapia mlo.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukutajia sababau kuu 10 ambazo zinaonyesha umuhimu wa kula matunda kiafya. kwa nini kiafya unashauriwa ule matunda na mboga mara kwa mara?
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida ambazo anaweza kupata mwanadamu Kama akila bamia Mara kwa mara. Bamia huliwa Kama tunda au Kama mboga pia na husaidia vitu vingi mwilini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi virutubisho vya mwili, ni aina tano za vyakula ambayo ufanya kazi mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kwa ufupi vyakula vya kuviepuka kama una presha ya kupanda.
Soma Zaidi...Post hii itakupa elimu kuhusu mfumo wa mmrng'enyobwa chakula unavyo fanyankazi
Soma Zaidi...