Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju
Faida za ukwaju
1. Ukwaju una virutubisho Kama vile vitamin C K, B6, B1, B2 na B3 pia madini ya chuma, potassium, magnesium na phosphorus
2. Husaidia kuimarisha afya ya moyo
3. Husaidia kushuSha presha ya damu
4. Husaidia mwili kupambana na mashambulizi ya bakteria, fangasi na virusi
5. Husaidia kulinda afya ya ini
6. Huzuia kukosa kwa choo na kuharisha
7. Husaidia wajawazito kuondoa kichefuchefu
8. Husaidia kudhibiti uzito
9. Huzuia kuzeeka mapema
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula vyenye madini kwa wingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za MATUNDA mbalimbali na mboga, upatikanaji wake na faida zake kiafya. Pia utakwenda kuona MATUNDA na mboga ambayo Ni kinga dhidi ya maradhi hatari Kama kisukari, saratani, maradhi ya moyo na mfumo wa fahamu pamoja na
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi virutubisho vya mwili, ni aina tano za vyakula ambayo ufanya kazi mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin A
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi
Soma Zaidi...