picha

Faida za kiafya za kula Topetope

Faida za kiafya za kula Topetope



Faida za kiafya za tope tope (accustard apple au sweetsop)

  1. tope tope lina virutubisho kama vitamini C na B. pia lina madini ya potassium na magnessium
  2. Husaidia kulinda mwili dhidi ya pumu
  3. Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
  4. Kufanya moyo uwe katika afya salama
  5. Hushusha presha ya damu
  6. Husaidia katika kuupa mwili nguvu
  7. Huboresha na kuimaisha afya ya mifupa
  8. Hufanya tezi ya thyroid iwe salama
  9. Huzuia matatizo ya ujauzito


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 4595

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 web hosting     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.

Soma Zaidi...
Faida za kula mayai

Posti hii inahusu zaidi faida anazozipata mtu anayekula mayai hasa wakati wa kifua kinywa, tunajua wazi kuwa mayai yana kiwango kikubwa cha protini pamoja na hayo kuna faida nyingi za kutumia mayai hasa wakati wa asubuhi kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Yafahamu magonjwa nyemelezi kwa watoto chini ya miaka mitano

Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo.

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye vitamini C kwa wingi

Soma Zaidi...