image

Mafidodo (mafindofindo) au tonsils kweye koo je inaweza ikawa Ni moja kati ya dalil za ukimwi

Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.

Swali: 

Mafidodo (mafindofindo)  au tonsils kweye koo je inaweza ikawa Ni moja kati ya dalil za ukimw. 

 

Jibu: 

Mafindofindo na tonsil watu wwngi wanashindwa kmutofautisha na dalili za mwanzo za HIV. Kabla yavkuanza kujibu swali kwanza nifahamishe kuwa kuona dalili za HIV haimaanishi eti ndio umeathirika. Hizo ni dalili tu zinaweza kuwani za ugonjwa mwingine. 

 

Miongoni mwa dalili za mwanzo za HIV ni pamoja na kuvimba na kuuma kwa tezi za lymph.  Tezi hizi zipo kwenye sehemu ya juu ya mapaja karibia na sehemu za siri. Tezi hii gufahamika sana kwa jina la mtoki. 

 

👉Tezi nyingine ibaoataikanavkwenye makwapa. Na nyingine nivmaeneo ya shingoni. Tezi hizi zinapouma huashiria kuwamwili upo kwenye mapambano. 

 

👉Sasa dalili za HIV hutokea ndani ya wiki 2 mapaka 6 baada ya kuoata maambukizi. Hivyo kama utaona dalili hii nje ya siku hizi haiwezi kuwa ni vvu. 

 

👉Pia kwa tezi ya shingoni hatuzungumzii koo la chakula.  Koo la chakuka kenyewe linaweza kuvimva,  kuwasha ama kuuma kama kuna mashambukizi ya bajteria,  fangasi ama virusi. 

 

👉Mwishi niseme kuwa dalili yeyite ya HIV haimaanishi kuwa mtu aneoata maambukizi.  Bila vioimo huwezi kujuwa kuwa una maambukizi. 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 3004


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Vyakula vya protini na kazi zake
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...

FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA BAMIA (OKRA)
Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya Soma Zaidi...

Boga (pumpkin)
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula maboga Soma Zaidi...

VYAKULA VYENYE PROTINI KWA WINGI
hivi ndio vyakula vya protini kwa wingi, maziwa, mayai, samaki, dagaa, nyama, maini. Endelea na zaidi Soma Zaidi...

Faida za kula nazi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi Soma Zaidi...

KITABU CHA MATUNDA
Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho Soma Zaidi...

Fahamu vitamini C na kazi zake, vyakula vya vitamini C na athari za upungufu wake.
kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu. Soma Zaidi...

Maumivu ya tumbo baada ya kula
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya kula Soma Zaidi...

Faida za kula viazi mbatata
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza damu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuongeza damu Soma Zaidi...

Fahamu vyakula vya nyuzinyuzi
Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga. Soma Zaidi...