Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.
Swali:
Mafidodo (mafindofindo) au tonsils kweye koo je inaweza ikawa Ni moja kati ya dalil za ukimw.
Jibu:
Mafindofindo na tonsil watu wwngi wanashindwa kmutofautisha na dalili za mwanzo za HIV. Kabla yavkuanza kujibu swali kwanza nifahamishe kuwa kuona dalili za HIV haimaanishi eti ndio umeathirika. Hizo ni dalili tu zinaweza kuwani za ugonjwa mwingine.
Miongoni mwa dalili za mwanzo za HIV ni pamoja na kuvimba na kuuma kwa tezi za lymph. Tezi hizi zipo kwenye sehemu ya juu ya mapaja karibia na sehemu za siri. Tezi hii gufahamika sana kwa jina la mtoki.
👉Tezi nyingine ibaoataikanavkwenye makwapa. Na nyingine nivmaeneo ya shingoni. Tezi hizi zinapouma huashiria kuwamwili upo kwenye mapambano.
👉Sasa dalili za HIV hutokea ndani ya wiki 2 mapaka 6 baada ya kuoata maambukizi. Hivyo kama utaona dalili hii nje ya siku hizi haiwezi kuwa ni vvu.
👉Pia kwa tezi ya shingoni hatuzungumzii koo la chakula. Koo la chakuka kenyewe linaweza kuvimva, kuwasha ama kuuma kama kuna mashambukizi ya bajteria, fangasi ama virusi.
👉Mwishi niseme kuwa dalili yeyite ya HIV haimaanishi kuwa mtu aneoata maambukizi. Bila vioimo huwezi kujuwa kuwa una maambukizi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 3817
Sponsored links
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
Kitabu cha Afya
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
kitabu cha Simulizi
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Vyakula vya vitamin D
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin D Soma Zaidi...
AINA KUU ZA VYAKULA: vyakula vya protini, wanga, fat na mafuta, vitamini, madini na maji
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...
Vyakula na ugonjwa wa kisukari
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari Soma Zaidi...
Nini maana ya protini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya protini Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Stafeli
Soma Zaidi...
Faida za mchaichai/ lemongrass
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai Soma Zaidi...
Fahamu vitamini A na kazi zake, vyakula vya vitamini A na athari za upungufu wake
Vitamini A ni katika vitamini fat soluble vitamin akama vile retinol, retinal, retinoic acid na beta-carotene. Soma Zaidi...
Vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo. Soma Zaidi...
KITABU CHA MATUNDA
Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho Soma Zaidi...
Faida za kula uyoga
Kula uyoga kwa faida kubwa, ja unazijuwa faida za kula uyoga kiafya Soma Zaidi...