Vyakula vya vitamini C na faida zake

Vyakula vya vitamini C na faida zake

VYAKULA VYA VITAMINI C

  1. Nyanya
  2. Mapera
  3. Pilipili
  4. Papai
  5. Tufaha (apple)
  6. Karoti
  7. Kitunguu
  8. Palachichi
  9. Embe
  10. Kabichi
  11. Pensheni
  12. Zabibu
  13. Nanasi
  14. Limao
  15. Chungwa
  16. Papai

 

Faida za vitamini C

  1. Husaidia katika utengenezwaji wa tishu mwilini
  2. Husaidia katika uponaji wa vidonda
  3. Ni antioxidant ambayo husaidi katika kuondosha sumu za vyakula mwilini
  4. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga mwilini
  5. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 992

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 web hosting    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA TUNDA PERA

Pera ni tunda bora lakini pia ni dawa, tambua umuhimu wa tunda hili kiafya

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula karanga

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga

Soma Zaidi...
Matunda yenye vitamin C kwa wingi

Somo hili linakwenda kukuletea matunda yenye vitamin C kwa wingi

Soma Zaidi...
UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu maji, kazizake mwilini na athari za upungufu wake mwilini

Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza damu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuongeza damu

Soma Zaidi...
Faida za muarobaini

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za muarobaini

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu

Soma Zaidi...