Vyakula vya vitamini C na faida zake
VYAKULA VYA VITAMINI C
- Nyanya
- Mapera
- Pilipili
- Papai
- Tufaha (apple)
- Karoti
- Kitunguu
- Palachichi
- Embe
- Kabichi
- Pensheni
- Zabibu
- Nanasi
- Limao
- Chungwa
- Papai
Faida za vitamini C
- Husaidia katika utengenezwaji wa tishu mwilini
- Husaidia katika uponaji wa vidonda
- Ni antioxidant ambayo husaidi katika kuondosha sumu za vyakula mwilini
- Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga mwilini
- Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 web hosting 👉6 Kitabu cha Afya
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 web hosting 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
VYAKULA VYA WANGA NA MADINI
Kuna aina nyingi za vyakula kama mafuta, wanga, fati, protini na vitamini. Je! unajuwa faida zake na hasara zake?
Soma Zaidi...Faida 5 za asali na matumizi yake.
Katika post hii utakwenda kujifunza faida na matumizi ya asali mwilini.
Soma Zaidi...Faida za kula Chungwa
Je unazijuwa faida za kula chungwa kiafya? soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...