Vyakula vya vitamini D na faida zake
VYAKULA VYA VITAMINI D
- Chanzo kikuu cha vitamini D ni mwanga wa jua, vyanzo vingine katika vyakula nu:-
- Mayai
- Maziwa
- Maini
- Uyoga
Faida za vitamini D
- Kusaidia unyonzwaji wa madini kutoka kwenye chakula kwenda kwenye damu
- Hudaidia kuboresha afya ya mifupa
- Mifupa kuwa imara, madhubuti na isiyopasuka kiurahisi
- Hudaidia kwa afya ya moyo na mishipa ya damu
- Pia husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 Madrasa kiganjani
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Vyakula vya madini, kazizake na athari za upungufu wa madini mwilini
Je ungependa kujuwa vyakula hivyo ama vyanzo vya madini? Na je ungependa kujuwa ni zipi hasa kazi za madini katika miili yetu?. makala hii ni kwa ajili yako, hapa utakwenda kujifunza mengi kuhusu somo hili.
Soma Zaidi...Vyakula vinavyosaidia kupunguza uzito
Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
Soma Zaidi...FAIDA ZA MAJI MWILINI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...