Vyakula vya vitamini B na faida zake
VYAKULA VYA VITAMINI B
- Nyama
- Mapalachichi
- Mboga za majani
- Mimea jamii ya karanga
- Alizeti
- Mayai
- Pilipili
- Ndizi
- Viazi
- Maharagwe na kunde
- Nafaka kama mchele, mtama na mahindi
Kazi za vitamini B
- Husaidia mfumo wa fahamu kufanya kazi vyema
- Huhitajika kwa ajili ya uzalishaji wa nishati (nguvu) mwilini
- Husaidia katika utengenezwaji wa seli mwilini
- Husauidia katika utengenezwaji wa hemoglobin hizi ni chembechembe katika seli nyekundu za damu
- Husaidia katika kuchakata DNA
- Husaidia katika utengenezwaji wa seli mpya na kukomaa kwa seli
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 ai web app 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 web hosting 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 ai web app 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 web hosting 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Faida za kiafya za peaz/ peas
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi
Soma Zaidi...Faida za kafya za kula asali
Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Vyakula vyenye madini kwa wingi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye madini kwa wingi
Soma Zaidi...Madhara ya vyakula vya kisasa
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kuwepo kwa vyakula vya kisasa, vyakula vya kisasa ni vyakula vya madukani ambavyo vimetengenezwa na kuwekwa kwenye maduka
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula korosho
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...