Vyakula vya vitamini B na faida zake

Vyakula vya vitamini B na faida zake

VYAKULA VYA VITAMINI B

  1. Nyama
  2. Mapalachichi
  3. Mboga za majani
  4. Mimea jamii ya karanga
  5. Alizeti
  6. Mayai
  7. Pilipili
  8. Ndizi
  9. Viazi
  10. Maharagwe na kunde
  11. Nafaka kama mchele, mtama na mahindi

 

Kazi za vitamini B

  1. Husaidia mfumo wa fahamu kufanya kazi vyema
  2. Huhitajika kwa ajili ya uzalishaji wa nishati (nguvu) mwilini
  3. Husaidia katika utengenezwaji wa seli mwilini
  4. Husauidia katika utengenezwaji wa hemoglobin hizi ni chembechembe katika seli nyekundu za damu
  5. Husaidia katika kuchakata DNA
  6. Husaidia katika utengenezwaji wa seli mpya na kukomaa kwa seli

 



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2213

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Soma Zaidi...
Chungwa (orange)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa/orange

Soma Zaidi...
Faida za kula karanga mbichi

Post hii inakwenda kukupa faida kuu 5 za kula karanga mbichi katika afya ya mwili wako.

Soma Zaidi...
Karoti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karoti

Soma Zaidi...
Faida za juice ya tende.

Posti hii inahusu zaidi faida ya juice ya tende,ni juice inayotumiwa na watu wengi sana na wengine wanajua kabisa faida zake na kuna wengine hawajui wanaitumia kama mazoea tu, ila kuna ambao hawajui kabisa basi zifuatazo ni faida za juice ya tende kwa wal

Soma Zaidi...
Faida za kula pilipili

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pilipili

Soma Zaidi...
Faida za limao au ndimu

Post hii itakwenda kukueleza umuhimu wa limao kiafya

Soma Zaidi...