image

Vyakula vya vitamini B na faida zake

Vyakula vya vitamini B na faida zake

VYAKULA VYA VITAMINI B

  1. Nyama
  2. Mapalachichi
  3. Mboga za majani
  4. Mimea jamii ya karanga
  5. Alizeti
  6. Mayai
  7. Pilipili
  8. Ndizi
  9. Viazi
  10. Maharagwe na kunde
  11. Nafaka kama mchele, mtama na mahindi

 

Kazi za vitamini B

  1. Husaidia mfumo wa fahamu kufanya kazi vyema
  2. Huhitajika kwa ajili ya uzalishaji wa nishati (nguvu) mwilini
  3. Husaidia katika utengenezwaji wa seli mwilini
  4. Husauidia katika utengenezwaji wa hemoglobin hizi ni chembechembe katika seli nyekundu za damu
  5. Husaidia katika kuchakata DNA
  6. Husaidia katika utengenezwaji wa seli mpya na kukomaa kwa seli

 



                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 757


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Faida za kiafya za kula Viazi mbatata
Soma Zaidi...

VYANZO VYA VYAKULA VYA VITAMINI NA FAIDA ZAKE
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Faida za majani ya mstafeli
Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali. Soma Zaidi...

Faida za kula uyoga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula uyoga Soma Zaidi...

Vyakula salama kwa mwenye kisukari
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari Soma Zaidi...

RANGI ZA MATUNDA
Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...

Madhara ya upungufu wa protini mwilini
Madhara ya upungufu wa protini ni mengi kiafya. Miongoni mwa madhara hayo ni.. Soma Zaidi...

Ni nini maana ya mlo kamili?
Mlo kamili ni mkusanyiko kuu wa vyakula mbalimba kwa pamoja huimarisha na kuujenga  mwili wa binadamu na wanyama kwa sababu vinaleta virutubishi vyote vinavyohitajika.  Mkusanyiko wa vyakula vinavyotengeneza mlo kamili Kuna majina ya vyakula Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula kungumanga
Soma Zaidi...

MATUNDA YENYE VITAMINI C KWA WINGI
Matunda yenye vitamni C kwa wingi ni machungwa, maembe, ndimu na limao, endelea kusoma Soma Zaidi...

Faida za kiafya za peaz/ peas
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas Soma Zaidi...