Vyakula vya vitamini B na faida zake
VYAKULA VYA VITAMINI B
- Nyama
- Mapalachichi
- Mboga za majani
- Mimea jamii ya karanga
- Alizeti
- Mayai
- Pilipili
- Ndizi
- Viazi
- Maharagwe na kunde
- Nafaka kama mchele, mtama na mahindi
Kazi za vitamini B
- Husaidia mfumo wa fahamu kufanya kazi vyema
- Huhitajika kwa ajili ya uzalishaji wa nishati (nguvu) mwilini
- Husaidia katika utengenezwaji wa seli mwilini
- Husauidia katika utengenezwaji wa hemoglobin hizi ni chembechembe katika seli nyekundu za damu
- Husaidia katika kuchakata DNA
- Husaidia katika utengenezwaji wa seli mpya na kukomaa kwa seli
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 web hosting 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 ai web app
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 web hosting 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua
Soma Zaidi...Umuhimu wa kutumia maembe kiafya.
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Matunda yaliokuwa na vitamini C vingi
Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula korosho
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...