Vyakula vya vitamini B na faida zake
VYAKULA VYA VITAMINI B
- Nyama
- Mapalachichi
- Mboga za majani
- Mimea jamii ya karanga
- Alizeti
- Mayai
- Pilipili
- Ndizi
- Viazi
- Maharagwe na kunde
- Nafaka kama mchele, mtama na mahindi
Kazi za vitamini B
- Husaidia mfumo wa fahamu kufanya kazi vyema
- Huhitajika kwa ajili ya uzalishaji wa nishati (nguvu) mwilini
- Husaidia katika utengenezwaji wa seli mwilini
- Husauidia katika utengenezwaji wa hemoglobin hizi ni chembechembe katika seli nyekundu za damu
- Husaidia katika kuchakata DNA
- Husaidia katika utengenezwaji wa seli mpya na kukomaa kwa seli
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 web hosting 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Dua za Mitume na Manabii
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 web hosting 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Vyakula vya vitamin C
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula nyama
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama
Soma Zaidi...Vyakula hatari kwa mjamzito hasa mimba changa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa
Soma Zaidi...Faida za kitunguu thaumu mwilini
Makala hii itakuletea faida za kitunguu thaumu katika afyabyako.
Soma Zaidi...