Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi/ lotetree
Faida za kiafya za kula kunazi (lote tree)
? Tumia matunda na majani yake, majani unaweza kuyakausha na kusaga unga wake ama kuyachemsha.
?
1. husaidia katika kupunguza maumivu
2. Husaidia katika kupunguza maumivu ya tumbo
3. Ni tunda zuri kwa afya ya mfumo wa upumuaji
4. Husaidia katika kuondosha sumu za vyakula na makemikali mwilini
5. Husaidia kurefresh mwili
6. Husaidia katika kutibu maradhi ya ngozi
7. Hupunguz maumivu ya chango kwa wakinamama
8. Husaidia katika afya ya hedhi
9. Husaidia katika ujauzito kwa mama na mtoto
10. Husaidia katika kushusha joto la mwili
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 1239
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya
👉2 Kitau cha Fiqh
👉3 Madrasa kiganjani
👉4 kitabu cha Simulizi
Faida za kiafya za kula ndizi
Soma Zaidi...
ijuwe namna ya kufanya ihram na Vazi la ihram
Soma Zaidi...
Vyakula salama kwa mwenye kisukari
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari Soma Zaidi...
Faida za kiafya za parachichi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula parachichi Soma Zaidi...
JITIBU KWA TANGAIZI: faida za kiafya za tangaizi
Tangaizi ni katika mimea yenye asili na bara la asia hususan nchi ya China. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za topetope (accustard apple/sweetsop)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope Soma Zaidi...
Faida za karoti
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za karoti na umuhimu wake kiafya Soma Zaidi...
Vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito
Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri. Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamini D na faida zake
Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula samaki
Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Zaituni
Soma Zaidi...
Vyakula vinavyosaidia kupunguza uzito
Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida. Soma Zaidi...