Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi/ lotetree
Faida za kiafya za kula kunazi (lote tree)
? Tumia matunda na majani yake, majani unaweza kuyakausha na kusaga unga wake ama kuyachemsha.
?
1. husaidia katika kupunguza maumivu
2. Husaidia katika kupunguza maumivu ya tumbo
3. Ni tunda zuri kwa afya ya mfumo wa upumuaji
4. Husaidia katika kuondosha sumu za vyakula na makemikali mwilini
5. Husaidia kurefresh mwili
6. Husaidia katika kutibu maradhi ya ngozi
7. Hupunguz maumivu ya chango kwa wakinamama
8. Husaidia katika afya ya hedhi
9. Husaidia katika ujauzito kwa mama na mtoto
10. Husaidia katika kushusha joto la mwili
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini.
Soma Zaidi...Okoa afya yako kwa kula tunda papai, kwa hakika hutajuta, papai lina virutubisho vingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye vitamini C kwa wingi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai.
Soma Zaidi...