picha

Faida za kiafya za kula kunazi/ lote tree

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi/ lotetree

 Faida za kiafya za kula kunazi (lote tree)

? Tumia matunda na majani yake, majani unaweza kuyakausha na kusaga unga wake ama kuyachemsha.

?

1. husaidia katika kupunguza maumivu

2. Husaidia katika kupunguza maumivu ya tumbo

3. Ni tunda zuri kwa afya ya mfumo wa upumuaji

4. Husaidia katika kuondosha sumu za vyakula na makemikali mwilini

5. Husaidia kurefresh mwili

6. Husaidia katika kutibu maradhi ya ngozi

7. Hupunguz maumivu ya chango kwa wakinamama

8. Husaidia katika afya ya hedhi

9. Husaidia katika ujauzito kwa mama na mtoto

10. Husaidia katika kushusha joto la mwili

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2211

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 web hosting     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Faida za kitunguu thaumu mwilini

Makala hii itakuletea faida za kitunguu thaumu katika afyabyako.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula pera

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pera

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula mayai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mayai

Soma Zaidi...