Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi/ lotetree
Faida za kiafya za kula kunazi (lote tree)
? Tumia matunda na majani yake, majani unaweza kuyakausha na kusaga unga wake ama kuyachemsha.
?
1. husaidia katika kupunguza maumivu
2. Husaidia katika kupunguza maumivu ya tumbo
3. Ni tunda zuri kwa afya ya mfumo wa upumuaji
4. Husaidia katika kuondosha sumu za vyakula na makemikali mwilini
5. Husaidia kurefresh mwili
6. Husaidia katika kutibu maradhi ya ngozi
7. Hupunguz maumivu ya chango kwa wakinamama
8. Husaidia katika afya ya hedhi
9. Husaidia katika ujauzito kwa mama na mtoto
10. Husaidia katika kushusha joto la mwili
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E
Soma Zaidi...