Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi/ lotetree
Faida za kiafya za kula kunazi (lote tree)
? Tumia matunda na majani yake, majani unaweza kuyakausha na kusaga unga wake ama kuyachemsha.
?
1. husaidia katika kupunguza maumivu
2. Husaidia katika kupunguza maumivu ya tumbo
3. Ni tunda zuri kwa afya ya mfumo wa upumuaji
4. Husaidia katika kuondosha sumu za vyakula na makemikali mwilini
5. Husaidia kurefresh mwili
6. Husaidia katika kutibu maradhi ya ngozi
7. Hupunguz maumivu ya chango kwa wakinamama
8. Husaidia katika afya ya hedhi
9. Husaidia katika ujauzito kwa mama na mtoto
10. Husaidia katika kushusha joto la mwili
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza aina 20 za vitamini. Utajifunza kazu zake mwilini, vyanzo vyake na madhara yanayoweza kutokea kutokana na upungufu wake.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kula vitamini C kupitiliza
Soma Zaidi...Matatizo ya macho yanaweza kuruthiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto. hata hivyo shughuli zetu na vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Hapa nitakuletea vyakula muhimu kwa afya ya macho yako.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini, ni Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini ambao usababisha madhara kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.
Soma Zaidi...