picha

Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.

Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

MAUMIVU YA UUME BAADA YA TENDO LA NDOA




Kushiriki tendo la ndoa ni jambo linalopelekea furaha na afya pia ya kimawazo na kijamii. Lakini furaha hii wakati mwingine hufuatiliwa na majuto ma maumivu makali ya uume baada ya kumaliza tendo la ndia. Maumivu haya pia yanaweza kutokea wakati wa tendo la ndo. Maumivu haya ya uume ni vigumu kuyaelezeaa, ila tambuwa tu kuwa uume unapatwa na maumivu. Maumivu haya wakati mwingine yanapelekea kuhisi kama unaunguwa kwenye uume.



Sababu za maumivu:
1.Ugonjwa wa UTI
2.Tezi dume
3.Kushambuliwa kwa mirija ya mkojo na bakteria
4.Kuwa na fangasi kwenye uume
5.Kama hujatahiriwa
6.Maradhi ya ngono kama gonoria
7.Uke kuwa mkavu
8.Mkao uliotumika katika tendo amoja na namna ya tendo lilivyofanyika
9.Kuwa na aleji
10.Kuathirika kwa tishu za uume
11.Kupinda kwa uume.
12.Kama tendo limefanyika kwa muda mrefu
13.Kama uume ni mnene sana



Nini matibabu ya tatizo:
1.Hakikisha uke una majimaji ya kutosha
2.Tumia vilainishi
3.Fanya tendo kipolepole
4.Tumia mikao rafiki na isiyo na tabu
5.Tibu magonjwa kama gonoria, UTI na tezi dume
6.Tibu fangasi
7.Kama unafanya tendo la ndoa kwa zaidi ya dakika 30, jitahidi upunguze ama uwe unapumzika.





                   



Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 6093

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰2 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰3 web hosting    πŸ‘‰4 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰5 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama.

Posti hii inahusu zaidi uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama, kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa ndani ya masaa Kumi na mawili ila Kuna wakati mwingine uchungu unaweza kuwa zaidi ya masaa Kumi na mawili na kusababisha madhara yasiyo ya kawaida kwa Mama n

Soma Zaidi...
Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume

Soma Zaidi...
Tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID

Posti hii inahusu zaidi tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID, tunaita tiba ya awali kwa sababu baada ya kupima na kugunduliwa kwamba una tatizo au changamoto ya PID ni vizuri kutumia tiba hiii baadae ndipo utumie dawa.

Soma Zaidi...
Kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa.

Post hii inahusu zaidi kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, hali hii utokea kwa watoto wadogo wakati wa kuzaliwa kwa sababu maalum kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza

Soma Zaidi...
SIKU HATARI ZA KUPATA UJAUZITO KWA MWENYE MZUNGURUKO WA SIKU KIDONGO AU NYUNGI

SIKU YA KUPATA UJAUZITO Kawaida wanawake walio wengi mzunguruko wa siku zao ni siku 28 lakini wapo ambao ni zaidi ya hapo na wapo ambao ni chini ya hapo.

Soma Zaidi...
Njia za kuondoa fangasi sehemu za siri

Makala hii itakujuza baadhi ya njia utakaoweza kuzifuata ili kukabiliana na fangasi sehemu za siri kwa wanaume

Soma Zaidi...
Chanzo cha tatizo la mvurugiko wa hedhi.

Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut

Soma Zaidi...
Mimi nilipima na kipimo mwenyewe nkakuta mistari miwili iliokoza lkn nikifanya tendo nakua naumia sana tatizo ni Nini docta

Je anapatwa maumivu 😭 makali wakati wa tendo la ndoa ama ukiwa katika hedhi? Soma makala hii hadi mwisho

Soma Zaidi...