Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.
MAUMIVU YA UUME BAADA YA TENDO LA NDOA
Kushiriki tendo la ndoa ni jambo linalopelekea furaha na afya pia ya kimawazo na kijamii. Lakini furaha hii wakati mwingine hufuatiliwa na majuto ma maumivu makali ya uume baada ya kumaliza tendo la ndia. Maumivu haya pia yanaweza kutokea wakati wa tendo la ndo. Maumivu haya ya uume ni vigumu kuyaelezeaa, ila tambuwa tu kuwa uume unapatwa na maumivu. Maumivu haya wakati mwingine yanapelekea kuhisi kama unaunguwa kwenye uume.
Sababu za maumivu:
1.Ugonjwa wa UTI
2.Tezi dume
3.Kushambuliwa kwa mirija ya mkojo na bakteria
4.Kuwa na fangasi kwenye uume
5.Kama hujatahiriwa
6.Maradhi ya ngono kama gonoria
7.Uke kuwa mkavu
8.Mkao uliotumika katika tendo amoja na namna ya tendo lilivyofanyika
9.Kuwa na aleji
10.Kuathirika kwa tishu za uume
11.Kupinda kwa uume.
12.Kama tendo limefanyika kwa muda mrefu
13.Kama uume ni mnene sana
Nini matibabu ya tatizo:
1.Hakikisha uke una majimaji ya kutosha
2.Tumia vilainishi
3.Fanya tendo kipolepole
4.Tumia mikao rafiki na isiyo na tabu
5.Tibu magonjwa kama gonoria, UTI na tezi dume
6.Tibu fangasi
7.Kama unafanya tendo la ndoa kwa zaidi ya dakika 30, jitahidi upunguze ama uwe unapumzika.
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa mtoto pindi anapozaliwa,tunajua wazi kuwa mtoto anapoanza kutokeza kichwa tu ndio mwanzo wa kuanza kumtunza mtoto na kuhakikisha anafanyiwa huduma zote za muhimu na zinazohitajika.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba inataka kutoka, mimba za aina hiyo kwa kitaalamu huitwa inevitable pregnant ni lazima itoke tu hata kama kuna juhudi mbalimbali za wataalamu mimba hii utoka kabisa.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, mara nyingi tatizo hili uwakumba akina mama mbalimbali ambapo mtoto uzaliwa akiwa na uzito mkubwa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa, ni sababu ambazo utokea kwa akina Mama wengi kadri ya wataalamu wametafuta asilimia kuwa asilimia sabini ya wanawake mifuko yao ya kizazi kushindwa kisinyaa.
Soma Zaidi...Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka kwa namna gani. Kama unasumbuliwa na tatizo hili makala hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sifa ambazo mtoto mchanga anapaswa kuwa Nazo,ni sifa ambazo lazima zionekane kwa mtoto mchanga pale anapozaliwa na zikikosa ni lazima kuja kuwa mtoto ana matatizo mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni sifa za mtoto mchanga kama ifuatavy
Soma Zaidi...Ukiwa mjamzito unaweza kushuhudia kutokwa na damu. Je damu hii ni ya hedhi?
Soma Zaidi...Kufanya tendo la ndoa wakati wa ujauzito kina faida nyingi kwa mama na mtoto. Miongni mwa faida hizo ni kuimarisha mfumo wa kinga wa mama, kumuondolea stress na ukuajinmzuri wa mimba
Soma Zaidi...Kuunda na kujaa kwa matiti ni miongoni mwa dalili za ujauzito lakini pia ni dalili za kukaribia hedhi kwa baadhi ya wanawake. Posti hii itakwenda kufafanuabutofauti wa dalili hizi na kipi ni sahihibkatibya hedhi ama ujauzito.
Soma Zaidi...