picha

Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.

Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

MAUMIVU YA UUME BAADA YA TENDO LA NDOA




Kushiriki tendo la ndoa ni jambo linalopelekea furaha na afya pia ya kimawazo na kijamii. Lakini furaha hii wakati mwingine hufuatiliwa na majuto ma maumivu makali ya uume baada ya kumaliza tendo la ndia. Maumivu haya pia yanaweza kutokea wakati wa tendo la ndo. Maumivu haya ya uume ni vigumu kuyaelezeaa, ila tambuwa tu kuwa uume unapatwa na maumivu. Maumivu haya wakati mwingine yanapelekea kuhisi kama unaunguwa kwenye uume.



Sababu za maumivu:
1.Ugonjwa wa UTI
2.Tezi dume
3.Kushambuliwa kwa mirija ya mkojo na bakteria
4.Kuwa na fangasi kwenye uume
5.Kama hujatahiriwa
6.Maradhi ya ngono kama gonoria
7.Uke kuwa mkavu
8.Mkao uliotumika katika tendo amoja na namna ya tendo lilivyofanyika
9.Kuwa na aleji
10.Kuathirika kwa tishu za uume
11.Kupinda kwa uume.
12.Kama tendo limefanyika kwa muda mrefu
13.Kama uume ni mnene sana



Nini matibabu ya tatizo:
1.Hakikisha uke una majimaji ya kutosha
2.Tumia vilainishi
3.Fanya tendo kipolepole
4.Tumia mikao rafiki na isiyo na tabu
5.Tibu magonjwa kama gonoria, UTI na tezi dume
6.Tibu fangasi
7.Kama unafanya tendo la ndoa kwa zaidi ya dakika 30, jitahidi upunguze ama uwe unapumzika.





                   



Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 7901

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 web hosting     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Ndug mi naitaj ushauri mimi nishaingia kwenye tendo dakika 7 tu nakua nishafika kilelen naomba ushauri ndugu

Kama unadhani una tatizo la kuwahi kufika kileleni basi post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa.

Soma Zaidi...
mim ninaujauzito wa mwezi mmoja lakini naona kama hali fulani ya damu inanitoka sehemu ya Siri inafanana na damu ya wakati wa period

Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka kwa namna gani. Kama unasumbuliwa na tatizo hili makala hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Hivi kipimo cha mimba cha mkojo baada ya kutumika Mara 1 ,hakiruhusiw tena kutumika au

Je ni kweli kupima kimoja cha mloka kinaweza kupima mimba zaidi ya mara moka?

Soma Zaidi...
Tatizo la kutanuka kwa tezi dume.

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutanuka kwa tezi dume, ni tatizo ambalo linawakumba wanaume wengi kwa wakati huu kwa sababu ya kuwepo kwa maaambukizi kwenye tezi ambayo Usababishwa na vitu mbalimbali kama tulivyoona.

Soma Zaidi...
Huduma kwa mama mwenye mimba Inayotishia kutoka.

Post hii inahusu zaidi huduma ambayo Mama anapaswa kutolewa pindi mimba inapotishia kutoka huduma hii utolewa kulingana na Dalili tulizoziona zinazohusiana na mimba kutishia kutoka.

Soma Zaidi...