Vijuwe vyakula vya kyongeza nguvu za kiume na mambo yanayopunguza nguvu za kiume
VYAKULA VYA KUOBGEZA NGUVU ZA KIUME.
Tatizo la nguvu za kiume, limekuwa likisumbuwa vijana wengi sana, na hii ni kutokana na namna ambavyo vijana wengi wanaishi. Miongoni mwa matendo na tabia za vijana huwenda ikawa ni sababu tosha ya kuwa na tatizo hili. Yapo mabo mengi sana yanaathiri nguvu za kiume. Pia unaweza kubadili utaratibu wa maisha unaoishi na mambo kiu wasa baada ya muda.
Je na wewe ni mwenye kukabiliwa na tatizo la nguvu za kiume. Je unaishia bao moja kisha basi, ama unacheza ndani ya dakika 3 ama hufiki kisha basi? Makala hii ni kwa ajili yako. Hapa yutakwenda kunagalia vyakula vizuri kwa kuongeza nguvu ya kuime. Pia tutaona maadui zako wanaoweza kuathiri nguvu za kiume. Kama utakuwa na maoni ama maswali zaidi, tuwachie hapoo chini:-
Mambo yanayopunguza nguvu za kiume
1.Kupiga punyeto
2.Kuwa na misongo ya mawazo
3.Kuwa na uwoga wakati wa kushiriki tendo
4.Matumizi ya vidonge vya kuongeza nguvu za kiume
5.Kuwa na maradhi kama kisukari na presha ya kupanda
6.Umri
7.Vyakula
8.Kutofanya mazoezi
Njia za kuongeza nguvu za kiume
1.Badili mfumo wa vyakula vyakula salama kwa nguvu za kiume.
2.Fanya mazoezi ya mara kwa mara
3.Punguza mishongo ya mawazo
4.Jiamini unapoliendea tendo
5.Kama unatumia vidonge vya kuongeza nguvu za kiume, jaribu kupunguza matumizi ama kuacha
6.Wacha kujichuwa ama punguza
7.Jitahidi kudhibito kisukari ama presha ya kpanda.
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume.
1.Maharagwe ya soya
2.Mbegu za maboga
3.Karanga
4.Korosho
5.Samaki
6.Nyama
7.Kuku
8.Matunda epo
9.Mboga za apricot na brocol
10.Kabichi
11.Karoti
12.Kitunguu thaumu
13.Mimea jamii ya kunde
14.Kitunguu maji
15.Pilipili kali
16.Viazi vitamu
17.Nyanya
18.Mayai
19.Mbegu za chia
20.Chokoleti
21.Siagi
22.Asali
23.Tangawizi
24.Maji
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu
Soma Zaidi...Je! unatambuwa madhara ya vyakula vya protini na mafuta? ungana nasi kwenye somo hili
Soma Zaidi...Matatizo ya macho yanaweza kuruthiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto. hata hivyo shughuli zetu na vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Hapa nitakuletea vyakula muhimu kwa afya ya macho yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida ya juice ya tende,ni juice inayotumiwa na watu wengi sana na wengine wanajua kabisa faida zake na kuna wengine hawajui wanaitumia kama mazoea tu, ila kuna ambao hawajui kabisa basi zifuatazo ni faida za juice ya tende kwa wal
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/ peach
Soma Zaidi...