Sababu za za ugumba kwa Mwanaume

Sababu za za ugumba kwa Mwanaume

Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

1.Ugumba ni hali ambayo utokea pale mwanamke na mwanaume wanaoishi pamoja na kujamiiana kwa kipindi Cha miezi sita au mwaka mmoja  wakiwa wanajamiina  pasipokutumia kondomu na mwanamke anashindwa kupata mimba, tatizo kinaweza kuwa la mwanamke au mwanaume kwa hiyo Leo tunaenda kujua sababu za ugumba kwa Mwanaume.

 

2. Sababu ya mojawapo ni pale mwanaume anapokuwa na kiwango kidogo Cha manii, Ili mimba kuweza kutungwa lazima mwanaume awe na uwezo wa kuwa na kiwango Cha kutosha Cha manii, Kuna wanaume ambao wanazaliana kiwango kidogo mno Cha manii hali ambayo uwafanya wanaume kushindwa kutungisha wanawake mimba.

 

3. Kushindwa kukomaa kwa manii.

Mara nyingine manii ya baadhi ya wanaume utolewa  wakati wa kujamiiana kabla ya kukomaa, hali hii haiwezekani kubebesha mimba, wanaume wanaopatwa na changamoto kama hii ni wale ambao ujihusisha kwenye ngono mara kwa mara hali ambayo ufanya kutoa mbegu kabla ya kukomaa au wengine ni kwa sababu ya magonjwa mbalimbali ambayo utokea kwenye via vya uzazi au wengine ni kwa sababu ya kuridhi.

 

4. Ukosefu wa homoni za kiume za kutosha.

Hili ni tatizo ambalo ufanya wanaume kuwa na ugumba kwa sababu tunajua wazi kazi ya homoni kwa wanaume ni kutengeneza mbegu za kiume ambazo baadae mbegu hizo ndizo zinaweza kutungisha mimba, kama homoni hizo hazipo kwa kiwango kinachohitajika mimba haiwezekani kutungwa, kwa mfano wa homoni za kiume ni Testesterone homoni.

 

5. Unyanyasaji wa kingono.

Kuna wanaume wengine wanapata unyanyasaji wa kingono kutoka kwa wanawake zoa,  hali hii usababisha mawazo mengi kwa wanaume na baadae wanashindwa kutungisha mimba.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1748

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba mimba.
Mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba tu mimba, Mama anapobeba mimba Kuna mabadiliko Katika uke wa Mama kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake
Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake

Dalili za kuharibika kwa ujauzito na dalili za kuharibika kwa ujauzo

Soma Zaidi...
Ni ili sababu ya kutokea kwa tezi dume
Ni ili sababu ya kutokea kwa tezi dume

Tezidume ni moja ya magonjwa hayari yanayotokea katika mwili wa mwanaume.Hapa nimekuandalia sababu za kutokea kwa tezi dume.

Soma Zaidi...
Ijue kazi ya homoni ya HCG wakati wa kupima mimba.
Ijue kazi ya homoni ya HCG wakati wa kupima mimba.

Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya HCG katika kupima mimba, HCG maana yake ni human chorionic gonadotropin ni homoni ambayo uonekanekana kwenye mkojo na damu kama mtu ana mimba.

Soma Zaidi...
 Dalili za kasoro ya moyo ya kuzaliwa kwa watu wazima
Dalili za kasoro ya moyo ya kuzaliwa kwa watu wazima

Ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa nao (kasoro ya moyo ya kuzaliwa) ni hali isiyo ya kawaida katika muundo wa moyo wako unaozaliwa nao. utu uzima. Ingawa maendeleo ya kimatibabu yameboreshwa, watu wazima wengi walio na ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa wanaweza wasip

Soma Zaidi...
 Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua
Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume

Soma Zaidi...
NAMNA YA KUBORESHA MBEGU ZA KIUME, NA VYAKULA VYA KUBORESHA NGUVU ZA KIUME
NAMNA YA KUBORESHA MBEGU ZA KIUME, NA VYAKULA VYA KUBORESHA NGUVU ZA KIUME

Njoo ujifunze vyakula vya kuboresha mbegu za kiume na nguvu za kiume.

Soma Zaidi...
Dalili za uvimbe kwenye kizazi
Dalili za uvimbe kwenye kizazi

Posti hii inahusu zaidi Dalili za uvimbe kwenye kizazi,hizi ni Dalili ambazo ujitokeza kwa akina mama ambao wana uvimbe kwenye kizazi kwa hiyo endapo mama ameona Dalili kama hizi anapaswa kuwahi hospitali mara moja kwa uangalizi zaidi.

Soma Zaidi...