picha

Sababu za za ugumba kwa Mwanaume

Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba.

1.Ugumba ni hali ambayo utokea pale mwanamke na mwanaume wanaoishi pamoja na kujamiiana kwa kipindi Cha miezi sita au mwaka mmoja  wakiwa wanajamiina  pasipokutumia kondomu na mwanamke anashindwa kupata mimba, tatizo kinaweza kuwa la mwanamke au mwanaume kwa hiyo Leo tunaenda kujua sababu za ugumba kwa Mwanaume.

 

2. Sababu ya mojawapo ni pale mwanaume anapokuwa na kiwango kidogo Cha manii, Ili mimba kuweza kutungwa lazima mwanaume awe na uwezo wa kuwa na kiwango Cha kutosha Cha manii, Kuna wanaume ambao wanazaliana kiwango kidogo mno Cha manii hali ambayo uwafanya wanaume kushindwa kutungisha wanawake mimba.

 

3. Kushindwa kukomaa kwa manii.

Mara nyingine manii ya baadhi ya wanaume utolewa  wakati wa kujamiiana kabla ya kukomaa, hali hii haiwezekani kubebesha mimba, wanaume wanaopatwa na changamoto kama hii ni wale ambao ujihusisha kwenye ngono mara kwa mara hali ambayo ufanya kutoa mbegu kabla ya kukomaa au wengine ni kwa sababu ya magonjwa mbalimbali ambayo utokea kwenye via vya uzazi au wengine ni kwa sababu ya kuridhi.

 

4. Ukosefu wa homoni za kiume za kutosha.

Hili ni tatizo ambalo ufanya wanaume kuwa na ugumba kwa sababu tunajua wazi kazi ya homoni kwa wanaume ni kutengeneza mbegu za kiume ambazo baadae mbegu hizo ndizo zinaweza kutungisha mimba, kama homoni hizo hazipo kwa kiwango kinachohitajika mimba haiwezekani kutungwa, kwa mfano wa homoni za kiume ni Testesterone homoni.

 

5. Unyanyasaji wa kingono.

Kuna wanaume wengine wanapata unyanyasaji wa kingono kutoka kwa wanawake zoa,  hali hii usababisha mawazo mengi kwa wanaume na baadae wanashindwa kutungisha mimba.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/12/21/Tuesday - 09:54:23 pm Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2379

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 ai web app    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Njia za uzazi wa mpango zinazomhusisha mwanaume

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume kushiriki, ni njia ambayo umfanye mwanaume awe mhusika hasa wakati wa kujamiiana.

Soma Zaidi...
Mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba tu mimba, Mama anapobeba mimba Kuna mabadiliko Katika uke wa Mama kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa?

Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka siku ya kujifungua Kama mume wake pamoja na yeye akiwa Hana maambukizi ya zinaa na Kama akiona dalili zozote zile za hatari ndio hataruhusiwa kushiriki tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
ZIJUWE DALILI KUU 5 ZA MIMBA CHANGA

Dalili za mimba, na m,imba changa

Soma Zaidi...
Namna ya kutibu kuharisha kwa mtoto ukiwa nyumbani.

Post hii inahusu zaidi njia za kutibu kuharisha kwa watoto wakiwa nyumbani, kwa sababu mara nyingine mtoto anaweza kuharisha si kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ila ni uchafu tu kwa hiyo njia muhimu zinazofaa kutibu mtoto ni pamoja na yafuatayo.

Soma Zaidi...
Zijuwe Dalili za minyoo na dalili kuu 9 za minyoo

Utajifunza dalili za minyoo, sababu za minyoo na namna ya kujiepusha na minyoo. Dalili kuu 5 za minyoo mwilini

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kulia

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya Matiti kwa Mama mjamzito

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye Matiti kwa Mama mjamzito, hali hii utokea pale ambapo mama akibeba mimba Kuna mabadiliko kwenye Matiti kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Ay ni iv kipimo cha mimb uanz kutoa majb ndan ya mda gan wik mwez au iko vipi?

Kipimo cha Mlimba huweza kuonyesha mimba changa mapema sana. Pia ni rahisi kutumia na kinapatikana kwa bei nafuu. Je ungeoendavkujuwa ni muda gani kinatoa majibu sahihi?

Soma Zaidi...
Dalili za kuharibika kwa mimba

Katika post hii utajifunza ishara na dalili ninazoonyesha kuwa mimba ipo hatarini kutoka ama inaweza kuwa imeshatoka.

Soma Zaidi...