Post hii inazungumzia mama wajawazito Mara tu mama anapohisi kuwa yeye ni mjamzito anashauriwa kuanza clinic.na clinic hizi zinasaidia kuwapatia wakina mama elimu,namna ya kumkinga Mtoto asipatwe na maradhi Kama UKIMWI. Pia mama anapoanza clinic
DALILI ZA KUKARIBIA KUJIFUNGUWA:
Kuna dalili za hatari kwa mama wajawazito wanapokaribia kujifungu nazoKama
1.Maji kutoka; hii hutokea chupa ikipasuka tu maji huanza kutoka na hii huashiria kuwa mama yupo tayari au au anakaribia kujifungua.
2.Miguu kuvimba
3.maumivu ya kichwa
4.damu kutoka
5.kizunguzungu
Mama mjamzito akiona dalili Kama hizi awahi kituo Cha afya ili aweze kusaidiwa.
Lakini mam mjamzito Kama amefikisha wiki 20 akiwa na mimba ni wakati wa Mtoto huwa anaanza kucheza tumboni kwahiyo kuanzia hizi siku na kuendelea mama mjamzito asiposikia Mtoto anacheza ni vyema kuenda hospitali haraka ili kuhakikishiwa Kwanini Mtoto hachezi tumboni labda ni;
1.amefia tumboni
2.au mama alifanya kazi nzito Sana .mama mama akifanya kazi nzito Mtoto naye anachoka anashindwa kucheza
3.mama kutokula.wakina mama wenye mimba huwa hawapend kula Mara nyingi hukimbilia kula udongo na mapemba na kunywa maji alaf wanalala Mtoto nae anashindwa kucheza lakin Kuna baadhi ya wengine mama akiwa na njaa ndo wanacheza kabisa lakin Mara nyingi hutokea kwa mama Ambao hawali.
4.mam kulala Sana .mama anaweza kulala mda mrefu alaf Mtoto akicheza hasikii Mtoto huwa anacheza mda wowote anaojisikia .
Matibabu
Mama wajawazito wanapokuwa na mimba tu huwa Kuna dawa wanapewa ili kumkinga Mtoto na mam mwenye
1.dawa za kuongeza damu .mam mjamzito huishidamu kwasababu ya kiumbe kilichopo tumboni kwahiyo hupewa dawa za kuongeza damu
2.dawa za kumkinga Mtoto na malaria pamoja na mama mwenyew .lakini wakienda clinic hupewa na chandarua ili kujikinga na malaria.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa yanaweza kuwa ni dalili ya maradhi fulani, ama shida kwenye mfumo w uzazi. PID na UTI hutuhumiwa kuwa ni katika sababu hizo. Ila zipo nyingine nyingi tu. Kama ina hali hii vyema ukafika kituo cha afya
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu uzazi wa mpango, ni imani walizonazo Watu kuhusu matumizi ya uzazi wa mpango.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia Malaria kwa wajawazito na watoto wao wakiwa bado tumboni, tunajuwa wazi kuwa wajawazito wakipata Malaria inaweza kupelekea mimba kutoka kwa hiyo ili kuzuia tatizo hili zifuatazo ni njia zilizowekwa ili kuz
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea njia za asili walizotumia zamani katika kupima ujauzito
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara,hizi ni changamoto za wakati wa kufanya tendo na mme wake au mtu mwingine kwa ajili ya kupata mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna unavyoweza kumtambua mtoto mwenye Ugonjwa wa Nimonia na tiba anayopaswa kupata mtoto mwenye Nimonia
Soma Zaidi...Maambukizi ya fangasi katika sehemu za Siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS pia maambukizi haya hujulikana kama YEAST INFECTION. Pia hupatikana katika midomo, mpira wa kupitisha chakula,kibofu Cha mkojo ,uume na uke.
Soma Zaidi...Mimba inapotoka ina dalili, na zipo sababu kadhaa za kutoka kwa mimba. Je utazuiaje mimba kutoka. Soma makala hii
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye
Soma Zaidi...