picha

Dalili za mama mjamzito akikaribia kujifungua

Post hii inazungumzia mama wajawazito Mara tu mama anapohisi kuwa yeye ni mjamzito anashauriwa kuanza clinic.na clinic hizi zinasaidia kuwapatia wakina mama elimu,namna ya kumkinga Mtoto asipatwe na maradhi Kama UKIMWI. Pia mama anapoanza clinic

DALILI ZA KUKARIBIA KUJIFUNGUWA:

Kuna dalili za  hatari kwa mama wajawazito wanapokaribia  kujifungu  nazoKama 

1.Maji kutoka; hii hutokea chupa ikipasuka tu maji huanza kutoka na hii huashiria kuwa mama yupo tayari au au anakaribia kujifungua.

2.Miguu kuvimba

3.maumivu ya kichwa

4.damu kutoka 

5.kizunguzungu

 

Mama mjamzito akiona dalili Kama hizi awahi kituo Cha afya ili aweze kusaidiwa.

  Lakini mam mjamzito Kama amefikisha wiki 20 akiwa na mimba ni wakati wa Mtoto huwa anaanza kucheza tumboni kwahiyo kuanzia hizi siku na kuendelea mama mjamzito asiposikia Mtoto anacheza ni vyema kuenda hospitali haraka ili kuhakikishiwa Kwanini Mtoto hachezi tumboni labda ni;

1.amefia tumboni

2.au mama alifanya kazi nzito Sana .mama mama akifanya kazi nzito Mtoto naye anachoka anashindwa kucheza

3.mama kutokula.wakina mama wenye mimba huwa hawapend kula Mara nyingi hukimbilia kula udongo na mapemba na kunywa maji alaf wanalala Mtoto nae anashindwa kucheza lakin Kuna baadhi ya wengine mama akiwa na njaa ndo wanacheza kabisa lakin Mara nyingi hutokea kwa mama Ambao hawali.

4.mam kulala Sana .mama anaweza kulala mda mrefu alaf Mtoto akicheza hasikii Mtoto huwa anacheza mda wowote anaojisikia .

 

 

Matibabu

Mama wajawazito wanapokuwa na mimba tu huwa Kuna dawa wanapewa ili kumkinga Mtoto na mam mwenye

1.dawa za kuongeza damu .mam mjamzito huishidamu kwasababu ya kiumbe kilichopo tumboni kwahiyo hupewa dawa za kuongeza damu 

2.dawa za kumkinga Mtoto na malaria pamoja na mama mwenyew .lakini wakienda clinic hupewa na chandarua ili kujikinga na malaria.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/11/14/Sunday - 08:36:14 am Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 3972

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 web hosting    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Mishipa ya machozi kufunga kwa mtoto.

Posti inahusu nzaidi kufunga kwa mishipa ya machozi ya mtoto kwa kawaida mishipa ya mtoto inapaswa kufunguka baada ya mwaka mmoja lakini kwa wengine ubaki imefungwa hata baada ya mwaka mmoja na kusababisha madhara mbalimbali kwa mtoto.

Soma Zaidi...
Dalili za kujifungua hatua kwa hatua

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ujauzito baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
je kutokwa na maji mengi wakati wa tendo la ndoa inaashilia nini?

Je kutokwa na maji ukeni ambayo hayana harufu na meupe Hadi kuroanisha chupi, na je kutokwa na maji mengi wakati wa tendo la ndoa inaashilia nini?

Soma Zaidi...
Dali za udhaifu wa mbegu za kiume.

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na zikaonesha kwamba mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuacha kupiga punyeto.

Post hii inakwenda kukupa njia za kukusaidia kuacha punyeto.

Soma Zaidi...
Sababu za ugumba kwa wanawake

Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa wanawake, ni sababu ambazo upelekea wanawake wengi kuwa wagumba ukizingatia kuwa wanazaliwa wakiwa na uwezo kabisa wa kupata watoto lakini kwa sababu mbalimbali za kimazingira wanakoswa watoto, zifuatazo ni saba

Soma Zaidi...
Dalili 10 za kukaribia kujifungua pamoja na uchungu wa kujifungua

Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.

Soma Zaidi...
Je bado unasumbuliwa na nguvu za kiume?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuondoa tatizo la nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Nataka nijue Kuwa njia yakuzuia mimba wakati Wakufany tendo La ndoa

Je ungependa kuijuwa Njia ya kuzuia mimba wakati wa tendo la ndoa?. Posti hii itakwenda kukufundisha ujanja huu.

Soma Zaidi...