picha

Dalili za mama mjamzito akikaribia kujifungua

Post hii inazungumzia mama wajawazito Mara tu mama anapohisi kuwa yeye ni mjamzito anashauriwa kuanza clinic.na clinic hizi zinasaidia kuwapatia wakina mama elimu,namna ya kumkinga Mtoto asipatwe na maradhi Kama UKIMWI. Pia mama anapoanza clinic

DALILI ZA KUKARIBIA KUJIFUNGUWA:

Kuna dalili za  hatari kwa mama wajawazito wanapokaribia  kujifungu  nazoKama 

1.Maji kutoka; hii hutokea chupa ikipasuka tu maji huanza kutoka na hii huashiria kuwa mama yupo tayari au au anakaribia kujifungua.

2.Miguu kuvimba

3.maumivu ya kichwa

4.damu kutoka 

5.kizunguzungu

 

Mama mjamzito akiona dalili Kama hizi awahi kituo Cha afya ili aweze kusaidiwa.

  Lakini mam mjamzito Kama amefikisha wiki 20 akiwa na mimba ni wakati wa Mtoto huwa anaanza kucheza tumboni kwahiyo kuanzia hizi siku na kuendelea mama mjamzito asiposikia Mtoto anacheza ni vyema kuenda hospitali haraka ili kuhakikishiwa Kwanini Mtoto hachezi tumboni labda ni;

1.amefia tumboni

2.au mama alifanya kazi nzito Sana .mama mama akifanya kazi nzito Mtoto naye anachoka anashindwa kucheza

3.mama kutokula.wakina mama wenye mimba huwa hawapend kula Mara nyingi hukimbilia kula udongo na mapemba na kunywa maji alaf wanalala Mtoto nae anashindwa kucheza lakin Kuna baadhi ya wengine mama akiwa na njaa ndo wanacheza kabisa lakin Mara nyingi hutokea kwa mama Ambao hawali.

4.mam kulala Sana .mama anaweza kulala mda mrefu alaf Mtoto akicheza hasikii Mtoto huwa anacheza mda wowote anaojisikia .

 

 

Matibabu

Mama wajawazito wanapokuwa na mimba tu huwa Kuna dawa wanapewa ili kumkinga Mtoto na mam mwenye

1.dawa za kuongeza damu .mam mjamzito huishidamu kwasababu ya kiumbe kilichopo tumboni kwahiyo hupewa dawa za kuongeza damu 

2.dawa za kumkinga Mtoto na malaria pamoja na mama mwenyew .lakini wakienda clinic hupewa na chandarua ili kujikinga na malaria.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/11/14/Sunday - 08:36:14 am Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 4078

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 ai web app    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Madhara ya kutoka kwa mimba

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutoka kwa mimba, kwa kawaida tunafahamu kwamba mimba ikitungwa na mwili mzima huwa na wajibu wa kutunza kilichotungwa kwa hiyo ikitokea mimba ikatoka usababisha madhara yafuatayo.

Soma Zaidi...
Sababu za kutangulia kwa kitovu wakati Mtoto anazaliwa

Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa.

Soma Zaidi...
Malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama.

Posti huu inahusu zaidi malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama, ni huduma muhimu ambazo zimetolewa kwa akina Mama ili kuweza kuepuka hatari mbalimbali zinazowakumba akina Mama wakati wa ujauzito, kujifu na malezi ya watoto chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Sifa za siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya sifa za siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
Kujaa gesi tumboni

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kujaa tmgesi tumbon

Soma Zaidi...
DARASA LLA AFYA na afya ya uzazi na malezi bora kwa jamii

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Je mjamzito Uchungu ukikata inakuwaje

Hutokea uchungu wa kujifunguwa ukakati. Unadhani ni kitugani kinatokea.

Soma Zaidi...
Faida za kula yai lililopikwa kwa mama mjamzito

Yai lililopikwa ni chanzo kizuri cha protini, vitamini, na madini muhimu kwa mama mjamzito. Husaidia katika ukuaji wa mtoto tumboni, afya ya mama, na kuimarisha kinga ya mwili.

Soma Zaidi...