Fahamu Fati na kazi zake, vyakula vya fati na athari za upungufu wake

Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu fati, vyakula vya fati, kazi zake na athari za upungufu wake

Fahamu Fati na kazi zake, vyakula vya fati na athari za upungufu wake

FATI, MAFUTA NA LIPID
Fati ni moja kati ya virutubisho vikuu vitatu ambavyo ni wanaga an protini. Fati imetengenezwa na chembechembe za kaboni na haidrojen. Fati, mafuta na lipid ni maneno mawili yanayohusiana lakini kuna utofauti kidogo. Tunaposema lipid tunamaanisha fati na mafuta. Tunaposema fat tunamaanisha lipid iliyo katika hali ya yabisi (kitu kigumu) na tunaposema mafuta ni lipid iliyo katika hali ya kimiminika. Lakini mara nyingi tunaposema fati tunajumuisha vyote yaani lipi na mafuta.



Kazi za fati mwilini
1. Husaidia katika utengenezwaji wa nishati mwilini
2. Husaidia katika kuipa joto miili yetu
3. Husaidia katika kulinda sehemu za ndani za miili yetu
4. Husaidia katika utoaji wa taarifa mbalimbali ndani ya mwili
5. Husaidia protini kufanya kazi zake vyema
6. Husaidia katika ukuaji wa kiumbe
7. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga mwilini
8. Husaidia katika mfumo wa uzalianaji



Vyakula vya fati
1. Mapalachichi
2. Siagi
3. Maziwa
4. Mayai
5. Karanga na jamii za karanga kama korosho
6. Mbegu za chia
7. Samaki
8. Choklet
9. Nazi
10. Nyama
11. Maharagwe ya soya
12. Alizeti




Upungufu wa fati
1. Kukauka kwa ngozi na ukurutu
2. Mupata maambukizi ya mara kwa mara
3. Kupona kwa vidonda kuliko hafifu
4. Kuchelewa kukua cha watoto





                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2996

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Faida za kula Tangawizi

tangawizi ni katika viungio vya mboga vyenye faida, pia ni kinywaji, zijuwe leo faida za tangawizi

Soma Zaidi...
Faida za tangawizi

Somo Hili linakwenda kukuletea faida za tangawizi

Soma Zaidi...
VYAKULA HATARI KWA VIDONDA VYA TUMBO

Hivi ni vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo. mwenye vidonda vya tumbo hatakiwi kula vyakula hivi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula ukwaju

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju

Soma Zaidi...
Faida za kula parachichi

Somo Hili linakwenda kukuletea faida za kula parachichi

Soma Zaidi...
Faida za kula magimbi (taro roots)

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi

Soma Zaidi...
Faida za kula Ukwaju

Zitambue faida kubwa za kula karanga kwa ajili ya afya yako

Soma Zaidi...
Vitamini na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...