Fahamu Fati na kazi zake, vyakula vya fati na athari za upungufu wake

Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu fati, vyakula vya fati, kazi zake na athari za upungufu wake

Fahamu Fati na kazi zake, vyakula vya fati na athari za upungufu wake

FATI, MAFUTA NA LIPID
Fati ni moja kati ya virutubisho vikuu vitatu ambavyo ni wanaga an protini. Fati imetengenezwa na chembechembe za kaboni na haidrojen. Fati, mafuta na lipid ni maneno mawili yanayohusiana lakini kuna utofauti kidogo. Tunaposema lipid tunamaanisha fati na mafuta. Tunaposema fat tunamaanisha lipid iliyo katika hali ya yabisi (kitu kigumu) na tunaposema mafuta ni lipid iliyo katika hali ya kimiminika. Lakini mara nyingi tunaposema fati tunajumuisha vyote yaani lipi na mafuta.



Kazi za fati mwilini
1. Husaidia katika utengenezwaji wa nishati mwilini
2. Husaidia katika kuipa joto miili yetu
3. Husaidia katika kulinda sehemu za ndani za miili yetu
4. Husaidia katika utoaji wa taarifa mbalimbali ndani ya mwili
5. Husaidia protini kufanya kazi zake vyema
6. Husaidia katika ukuaji wa kiumbe
7. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga mwilini
8. Husaidia katika mfumo wa uzalianaji



Vyakula vya fati
1. Mapalachichi
2. Siagi
3. Maziwa
4. Mayai
5. Karanga na jamii za karanga kama korosho
6. Mbegu za chia
7. Samaki
8. Choklet
9. Nazi
10. Nyama
11. Maharagwe ya soya
12. Alizeti




Upungufu wa fati
1. Kukauka kwa ngozi na ukurutu
2. Mupata maambukizi ya mara kwa mara
3. Kupona kwa vidonda kuliko hafifu
4. Kuchelewa kukua cha watoto





                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 3119

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Dalili za upungufu wa vitamini C

Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa

Soma Zaidi...
Faida za kula apple (tufaha)

Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
Faida za ubuyu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ubuyu

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula fyulisi/ peach

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/peach

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin B

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamin B

Soma Zaidi...
Matunda yenye Vitamin C kwa wingi

Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi.

Soma Zaidi...
Faida za kungumanga/nutmeg

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin K

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi

Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu

Soma Zaidi...