picha

Fahamu kuhusu maji, kazizake mwilini na athari za upungufu wake mwilini

Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake

Fahamu kuhusu maji, kazizake mwilini na athari za upungufu wake mwilini

MAJI NA FAIDA ZAKE MWILINI
Maji ni kimiminika kilichotokana na muunganiko wa haidrojen na oksijen. Karibia asilimia 90 ya seli ni maji. Na karibia asilimia 50 - 80 ya mwili wa kiumbe ni maji. Pia anakadiriwa kuwa asilimia 60 ya uzito wa kiumbe ni maji. Kiasi cha maji unayotumia inategemea na mambo mengi kama, hali ya hewa, shughuli unazozifanya, ama hali ya afya.


Faida za maji mwilini
1.Kulainisha viungo
2.Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi
3.Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini
4.Huboresha afya ya ngozi
5.Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu
6.Husaidia katika kupunguza joto
7.Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji
8.Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili
9.Hutdhibiti shinikizo la damu
10.Huzuia uharibifu wa figo
11.Husaidia katika kupunguza uzito



Upungufu wa maji
Upungufu wa maji unaweza kusababisha mambo yafuatayo:
1.maumivu ya kishwa mara kwa mara
2.Ngozi kukauka
3.Miwasho
4.Homa
5.Mkojo kuwa na harufu kali
6.Maambukizi ya mara kwa mara
7.Uchovu
8.Kiu



Vyakula vyenye maji kwa wingi
1.Tikiti
2.Tango
3.Nanasi
4.Machungwa
5.Madanzi
6.Mapensheni
7.Miwa
8.Mapapai
9.Mastafeli
10.Matunda damu
11.Komamanga



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2155

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 web hosting     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 ai web app     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Faida za limao au ndimu

Post hii itakwenda kukueleza umuhimu wa limao kiafya

Soma Zaidi...
Faida za embe

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula embe

Soma Zaidi...
Vyakula vinavyosaidia katika kusafisha ini

Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida.

Soma Zaidi...
vyakula vya kuongeza damu, dalili zake na sababu za upungufu wa damu

Zijuwe sababu za upungufu wa damu, dalili za upungufu wa damu na kazi za damu mwilini,n avyakula vya kuongeza damu

Soma Zaidi...
UPUNGUFU WA PROTINI NA FATI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...