Fahamu kuhusu maji, kazizake mwilini na athari za upungufu wake mwilini

Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake

Fahamu kuhusu maji, kazizake mwilini na athari za upungufu wake mwilini

MAJI NA FAIDA ZAKE MWILINI
Maji ni kimiminika kilichotokana na muunganiko wa haidrojen na oksijen. Karibia asilimia 90 ya seli ni maji. Na karibia asilimia 50 - 80 ya mwili wa kiumbe ni maji. Pia anakadiriwa kuwa asilimia 60 ya uzito wa kiumbe ni maji. Kiasi cha maji unayotumia inategemea na mambo mengi kama, hali ya hewa, shughuli unazozifanya, ama hali ya afya.


Faida za maji mwilini
1.Kulainisha viungo
2.Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi
3.Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini
4.Huboresha afya ya ngozi
5.Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu
6.Husaidia katika kupunguza joto
7.Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji
8.Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili
9.Hutdhibiti shinikizo la damu
10.Huzuia uharibifu wa figo
11.Husaidia katika kupunguza uzito



Upungufu wa maji
Upungufu wa maji unaweza kusababisha mambo yafuatayo:
1.maumivu ya kishwa mara kwa mara
2.Ngozi kukauka
3.Miwasho
4.Homa
5.Mkojo kuwa na harufu kali
6.Maambukizi ya mara kwa mara
7.Uchovu
8.Kiu



Vyakula vyenye maji kwa wingi
1.Tikiti
2.Tango
3.Nanasi
4.Machungwa
5.Madanzi
6.Mapensheni
7.Miwa
8.Mapapai
9.Mastafeli
10.Matunda damu
11.Komamanga



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1291

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Umuhimu wa kutumia maembe kiafya.

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA MADINI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Vitamini C ni nini, na vipo kwenye nini?

Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C

Soma Zaidi...
Upungufu wa protini na dalili zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake

Soma Zaidi...
Faida za kitunguu maji/ onion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini

Soma Zaidi...
Chakula cha minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya minyoo

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula fyulisi/ peach

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/peach

Soma Zaidi...
Kazi za vitamini B mwilini Na upungufu wa vitamini B mwilini

vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu

Soma Zaidi...