Fahamu virutubisho vya wanga na kazi zake, vyakula vya wanga na athari za upungufu wake

Hapa tutaona kuhusu virutubisho vya wanga, kazi zake na athari za upungufu wake

Fahamu virutubisho vya wanga na kazi zake, vyakula vya wanga na athari za upungufu wake

VIRUTUBISHO VYA WANGA
Wanga ni moja kati ta virutubisho vikuu vitatu, vingine ni fat na protini. Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nishati ama nguvu. Wanga ni katika sukari ambazo zinapatikana kwenye vyakula na ndani ya miili yetu. Tunaweza kupata virutubisho hivi kwenye vyakula na mimea.



Kazi za wanga
1.Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nguvu yaani nishati
2.Husaidia katika kuvunjavunja fati mwilini
3.Hupunguza matumizi ya protini kwa ajili ya kuzalisha nishati
4.Hutumika katika kutengenezea bidhaa na madawa



YAKULA VYA WANGA
1.Mahindi
2.Mtama
3.Mihogo
4.Viazi
5.Ngano
6.Mikate
7.Mtama
8.Mchele
9.Keki
10.Krosho
11.Karanga
12.Ndizi
13.Nyama
14.Mayai
15.Maziwa



Upungufu wa wanga
Endapo virutubisho vya wanga vitapungua mwilini athari zitakazotokea ni:-
1.kukosa nguvu ya kutosha
2.Kuwa dhaifu
3.Mwili utashindwa kufany akzi vyema



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2052

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 web hosting    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Vyakula vya kuboresha afya ya meno

Katika post hii utakwenda kujifunza vyakula unavyopasa kul ili kuboresha afya ya meno yako. Pia utajifunza vyakula vilivyo hatari kwa afya ya meno yako.

Soma Zaidi...
Vitamini C ni nini, na vipo kwenye nini?

Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C

Soma Zaidi...
Faida za kula bamia

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia

Soma Zaidi...
Vyakula muhimu kwa kulinda afya ya macho - Epuka upofu kwa kula vyakula hivi

Matatizo ya macho yanaweza kuruthiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto. hata hivyo shughuli zetu na vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Hapa nitakuletea vyakula muhimu kwa afya ya macho yako.

Soma Zaidi...
Faida za kitunguu maji/ onion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini

Soma Zaidi...
Papai lililo iva ni salama kwa mama mjamzito au halifai

Papai ni moja kati ya matunda yenye vitamini C na virutubisho vinginevyo. Lakini papai pia ni moja kati ya vyakula ambavyo mjamzito anatakiwa awe makini navyo.

Soma Zaidi...
Kazi za madini ya Shaba mwilini.

Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo

Soma Zaidi...