Posti hii inahusu zaidi faida za matumizi ya vyakula vya asili, kama tunavyojua kwamba mababu na mabibi zetu walitumia vyakula vya asili wakaishi miaka mingi kweli.
1. Sababu ya kwanza ni kuupatia mwili nguvu.
Kwa sababu zamani mabibi na mababu walizeeka na bado walikuwa na nguvu.
2. Usaidia akina mama kuwa na hisia za karibu.
Kwa sababu zamani akina mama waliweza kuwatosheleza waume zao kwa sababu ya kuwepo kwa hisia za karibu.
3. Usaidia kuwepo kwa uzazi wa kutosha.
Tukumbuke mabibi na mababu walikuwa na uzazi wa kutosha kwa kuwa na watoto wengi.
4. Usaidia kupunguza Magonjwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mapema, kwa sababu ya kuwepo kwa saratani ya matiti, kuna dalili ambazo zikijitokeza zinapaswa kutolewa taarifa mara moja bila kuchelewa kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari na salama kwa vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant
Soma Zaidi...Zijuwe sababu kuu za kuwepo kwa maumivu ya tumbo baada ya kula chakula
Soma Zaidi...Hii ni orodha ya vyakula salama na vizuri kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Katika makala hii tutakwenda kujufunza faida za kiafya zinazopatuikana kwa kunywa maji yamoti wakati wa asubuhi
Soma Zaidi...