Faida za vyakula vya asili
Posti hii inahusu zaidi faida za matumizi ya vyakula vya asili, kama tunavyojua kwamba mababu na mabibi zetu walitumia vyakula vya asili wakaishi miaka mingi kweli.
Faida za vyakula vya asili.
1. Sababu ya kwanza ni kuupatia mwili nguvu.
Kwa sababu zamani mabibi na mababu walizeeka na bado walikuwa na nguvu.
2. Usaidia akina mama kuwa na hisia za karibu.
Kwa sababu zamani akina mama waliweza kuwatosheleza waume zao kwa sababu ya kuwepo kwa hisia za karibu.
3. Usaidia kuwepo kwa uzazi wa kutosha.
Tukumbuke mabibi na mababu walikuwa na uzazi wa kutosha kwa kuwa na watoto wengi.
4. Usaidia kupunguza Magonjwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple
Soma Zaidi...Majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi
Posti hii inahusu zaidi kazi ya majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi, pamoja na kutibu saratani mbalimbali na upambana na fangasi na bakteria kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...