Posti hii inahusu zaidi faida za matumizi ya vyakula vya asili, kama tunavyojua kwamba mababu na mabibi zetu walitumia vyakula vya asili wakaishi miaka mingi kweli.
1. Sababu ya kwanza ni kuupatia mwili nguvu.
Kwa sababu zamani mabibi na mababu walizeeka na bado walikuwa na nguvu.
2. Usaidia akina mama kuwa na hisia za karibu.
Kwa sababu zamani akina mama waliweza kuwatosheleza waume zao kwa sababu ya kuwepo kwa hisia za karibu.
3. Usaidia kuwepo kwa uzazi wa kutosha.
Tukumbuke mabibi na mababu walikuwa na uzazi wa kutosha kwa kuwa na watoto wengi.
4. Usaidia kupunguza Magonjwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Kitunguu saumu ni tiba mbadala ya presha yabkushuja. Hakitatui tatizo yaani hakiponyeshi, ila husaidia katika kushusha presha iliyo panda.
Soma Zaidi...