picha

Faida za kiafya za kula Miwa

Faida za kiafya za kula Miwa



Faida za kiafya za kula muwa (miwa)

  1. husaidia katika kuupa mwili nguvu kwa haraka sana
  2. Husaidia kwa wenye tatizo la kisukari hasa kwa wenye type-1 diabetes
  3. Hulinda mwili dhidi ya saratani
  4. Husaidia katika kulinda afya ya figo
  5. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga
  6. Hulinda mfumo wa mmeng’enyo wa chakula uwe katika hali salama.
  7. Huboresha afya ya meno na kuzuia kuoza ama kubenduka kwa meno
  8. Huboresha afya ya kucha
  9. Miwa husaidia kuboresha afya ya ngozi.


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 11830

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 ai web app     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Virutubisho vya mwili

Posti hii inahusu zaidi virutubisho vya mwili, ni aina tano za vyakula ambayo ufanya kazi mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Faida za kula nazi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...
Ndizi (banana)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndizi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za peaz/ peas

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye maji kwa wingi

Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini

Soma Zaidi...