picha

Faida za kiafya za kula Miwa

Faida za kiafya za kula Miwa



Faida za kiafya za kula muwa (miwa)

  1. husaidia katika kuupa mwili nguvu kwa haraka sana
  2. Husaidia kwa wenye tatizo la kisukari hasa kwa wenye type-1 diabetes
  3. Hulinda mwili dhidi ya saratani
  4. Husaidia katika kulinda afya ya figo
  5. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga
  6. Hulinda mfumo wa mmeng’enyo wa chakula uwe katika hali salama.
  7. Huboresha afya ya meno na kuzuia kuoza ama kubenduka kwa meno
  8. Huboresha afya ya kucha
  9. Miwa husaidia kuboresha afya ya ngozi.


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 11839

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 web hosting     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Faida za kula pilipili

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pilipili

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula nyama

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula biringanya (eggplant)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant)

Soma Zaidi...