Faida za apple kwa Mama mjamzito

Posti hii inahusu zaidi faida za apple kwa mama mjamzito, ni faida anazozipata mama akiwa mjamzito kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini mbalimbali kwenye apple ambavyo usaidia katika makuzi ya mtoto.I

Faida za apple kwa mama mjamzito.

1. Tunda la apple usaidia kumpatia mama na mtoto kinga wakati mtoto akiwa tumboni tunajua wazi kuwa mtoto Upata chakula kupitia kwa Mama kwa hiyo mama akiwa anatumia apple mara kwa mara hasa hasa apple moja kwa siku umsaidia kuongeza kinga kwa mtoto na kwa Mama pia  na kupunguza Magonjwa mbalimbali kama vile pumu kwa mtoto.

 

2. Tunda hili la apple pia usaidia kujenga mifupa kwa mama na kwa mtoto, ufanya kazi hizi kwa sababu ya kuwepo kwa kiasi kikubwa cha vitamini c kwenye tunda la apple, kwa hiyo kila tunda kuna kiasi chake cha vitamini kwa hiyo mama anapotumia tunda hili uongeza kiasi kikubwa cha vitamini c kwa mtoto.

 

3. Kupitia tunda hili usaidia pia mwili wa mama kufyonza kiasi cha madini ya chuma kwa urahisi, tunajua na tunaelewa wazi mama mjamzito anapaswa kuw na wingi wa  madini ya chuma kwenye mwili na yanapaswa kufyonza kwa urahisi kwa hiyo kwa kutumia tunda la apple madini ya chuma yanaweza kufyonzwaka urahisi.

 

4. Pia tunda la apple usaidia kuwepo kwa mawasiliano mazuri kwa mtoto kwa sababu ya kuwepo potassium kwenye mishipa ya fahamu kwa hiyo hata shughuli zote zinaweza kwenda vizuri pasipokuwepo na shida yoyote kwa sababu ya kutumia tunda la apple ambalo lina kiwango kikubwa cha potassium.

 

5. Kwa hiyo baada ya kuona faida za tunda la apple kwa wajawazito ni vizuri kabisa kutumia tunda hili kwa wingi hasa kwa wale ambao wana uwezo wa kulipata , kwa sababu tunda hili lina gharama na pia madini na vitamini ambayo vipo kwenye tunda la apple yanaweza kupatikana kwenye vyakula vingine kwa hiyo kama uwezo wa kupata tunda hili ni mdogo msiganganie lakini mwenye uwezo anaweza kutumia kwa sababu ya kuwepo kwa faida nyingi kwenye tunda hili.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 6490

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za viazi vitamu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi vitamin

Soma Zaidi...
Yajuwe magonjwa matano yanayo tokana na utapiamlo

Post hii inakwenda kukutajia mahonjwa matano ambayo hutokana na utapia mlo.

Soma Zaidi...
Naombakujua kujua Kama huu uyoga unasaidia kansa Kama kwawazee

Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo?

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula tangawizi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin C

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C

Soma Zaidi...
Faida za kula tikiti

Somo hili linalenga kukujuza juu ya umuhimu wa tikiti kwenye afya ya mwili

Soma Zaidi...
VYANZO VYA VYAKULA VYA MADINI NA FAIDA ZAKE

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Kazi za madini ya zinki

Posti hii inahusu zaidi juu ya madini ya zinki na faida zake katika mwili wa binadamu,

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA VITAMINI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...