Faida za apple kwa Mama mjamzito

Faida za apple kwa Mama mjamzito

Posti hii inahusu zaidi faida za apple kwa mama mjamzito, ni faida anazozipata mama akiwa mjamzito kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini mbalimbali kwenye apple ambavyo usaidia katika makuzi ya mtoto.I

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Faida za apple kwa mama mjamzito.

1. Tunda la apple usaidia kumpatia mama na mtoto kinga wakati mtoto akiwa tumboni tunajua wazi kuwa mtoto Upata chakula kupitia kwa Mama kwa hiyo mama akiwa anatumia apple mara kwa mara hasa hasa apple moja kwa siku umsaidia kuongeza kinga kwa mtoto na kwa Mama pia  na kupunguza Magonjwa mbalimbali kama vile pumu kwa mtoto.

 

2. Tunda hili la apple pia usaidia kujenga mifupa kwa mama na kwa mtoto, ufanya kazi hizi kwa sababu ya kuwepo kwa kiasi kikubwa cha vitamini c kwenye tunda la apple, kwa hiyo kila tunda kuna kiasi chake cha vitamini kwa hiyo mama anapotumia tunda hili uongeza kiasi kikubwa cha vitamini c kwa mtoto.

 

3. Kupitia tunda hili usaidia pia mwili wa mama kufyonza kiasi cha madini ya chuma kwa urahisi, tunajua na tunaelewa wazi mama mjamzito anapaswa kuw na wingi wa  madini ya chuma kwenye mwili na yanapaswa kufyonza kwa urahisi kwa hiyo kwa kutumia tunda la apple madini ya chuma yanaweza kufyonzwaka urahisi.

 

4. Pia tunda la apple usaidia kuwepo kwa mawasiliano mazuri kwa mtoto kwa sababu ya kuwepo potassium kwenye mishipa ya fahamu kwa hiyo hata shughuli zote zinaweza kwenda vizuri pasipokuwepo na shida yoyote kwa sababu ya kutumia tunda la apple ambalo lina kiwango kikubwa cha potassium.

 

5. Kwa hiyo baada ya kuona faida za tunda la apple kwa wajawazito ni vizuri kabisa kutumia tunda hili kwa wingi hasa kwa wale ambao wana uwezo wa kulipata , kwa sababu tunda hili lina gharama na pia madini na vitamini ambayo vipo kwenye tunda la apple yanaweza kupatikana kwenye vyakula vingine kwa hiyo kama uwezo wa kupata tunda hili ni mdogo msiganganie lakini mwenye uwezo anaweza kutumia kwa sababu ya kuwepo kwa faida nyingi kwenye tunda hili.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 6402

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Faida za embe
Faida za embe

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula embe

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula samaki
Faida za kiafya za kula samaki

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula samaki

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye madini kwa wingi
Vyakula vyenye madini kwa wingi

Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula vyenye madini kwa wingi

Soma Zaidi...
Upungufu wa protini na dalili zake
Upungufu wa protini na dalili zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake

Soma Zaidi...
Vyakula vinavyosaidia katika kusafisha ini
Vyakula vinavyosaidia katika kusafisha ini

Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula biringanya (eggplant)
Faida za kiafya za kula biringanya (eggplant)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant)

Soma Zaidi...
Faida za kula nanasi
Faida za kula nanasi

Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
Faida za kula nanasi
Faida za kula nanasi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi

Soma Zaidi...
Faida za vitamin C mwilini
Faida za vitamin C mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vitamini C mwilini

Soma Zaidi...