image

Faida za apple kwa Mama mjamzito

Posti hii inahusu zaidi faida za apple kwa mama mjamzito, ni faida anazozipata mama akiwa mjamzito kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini mbalimbali kwenye apple ambavyo usaidia katika makuzi ya mtoto.I

Faida za apple kwa mama mjamzito.

1. Tunda la apple usaidia kumpatia mama na mtoto kinga wakati mtoto akiwa tumboni tunajua wazi kuwa mtoto Upata chakula kupitia kwa Mama kwa hiyo mama akiwa anatumia apple mara kwa mara hasa hasa apple moja kwa siku umsaidia kuongeza kinga kwa mtoto na kwa Mama pia  na kupunguza Magonjwa mbalimbali kama vile pumu kwa mtoto.

 

2. Tunda hili la apple pia usaidia kujenga mifupa kwa mama na kwa mtoto, ufanya kazi hizi kwa sababu ya kuwepo kwa kiasi kikubwa cha vitamini c kwenye tunda la apple, kwa hiyo kila tunda kuna kiasi chake cha vitamini kwa hiyo mama anapotumia tunda hili uongeza kiasi kikubwa cha vitamini c kwa mtoto.

 

3. Kupitia tunda hili usaidia pia mwili wa mama kufyonza kiasi cha madini ya chuma kwa urahisi, tunajua na tunaelewa wazi mama mjamzito anapaswa kuw na wingi wa  madini ya chuma kwenye mwili na yanapaswa kufyonza kwa urahisi kwa hiyo kwa kutumia tunda la apple madini ya chuma yanaweza kufyonzwaka urahisi.

 

4. Pia tunda la apple usaidia kuwepo kwa mawasiliano mazuri kwa mtoto kwa sababu ya kuwepo potassium kwenye mishipa ya fahamu kwa hiyo hata shughuli zote zinaweza kwenda vizuri pasipokuwepo na shida yoyote kwa sababu ya kutumia tunda la apple ambalo lina kiwango kikubwa cha potassium.

 

5. Kwa hiyo baada ya kuona faida za tunda la apple kwa wajawazito ni vizuri kabisa kutumia tunda hili kwa wingi hasa kwa wale ambao wana uwezo wa kulipata , kwa sababu tunda hili lina gharama na pia madini na vitamini ambayo vipo kwenye tunda la apple yanaweza kupatikana kwenye vyakula vingine kwa hiyo kama uwezo wa kupata tunda hili ni mdogo msiganganie lakini mwenye uwezo anaweza kutumia kwa sababu ya kuwepo kwa faida nyingi kwenye tunda hili.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 4579


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Faida za kiafya za kula mahindi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi Soma Zaidi...

Nini maana ya protini
Unaijuwa maana ya virutubisho vya protini, na kazi zake mwilini. Soma zaidi hapa Soma Zaidi...

Madhara ya mafuta mengi mwilimi
Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi Soma Zaidi...

FAIDA ZA MATUNDA NA MBOGA MBALIMBALI KWA AFYA
FAIDA ZA MATUNDA Makala hii inakwenda kukuletea faida za matunda mbalimbali na mboga upatikanaji wake na faida zake kiafya. Soma Zaidi...

Zijue Faida ya kula tunda la tango.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula korosho
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho Soma Zaidi...

Faida za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi faida za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito, kuna kipindi ambacho wanawake wakati wa ujauzito uchaguza vyakula mbalimbali kuna ambao wanaweza kutumia vitunguu saumu na kupata faida kubwa Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula tunda pera
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tunda pera Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Kabichi
Soma Zaidi...

Kazi za tunda la papai katika kurekebisha homoni imbalance
Posti hii inahusu zaidi kazi za tunda la mpapai katika kurekebisha homoni.ni tunda ambalo ufanya kazi yake kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho muhimu ndani ya tunda hili. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu
Soma Zaidi...

Vyakula hatari na salama kwa vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari na salama kwa vidonda vya tumbo Soma Zaidi...