Posti hii inahusu zaidi faida za apple kwa mama mjamzito, ni faida anazozipata mama akiwa mjamzito kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini mbalimbali kwenye apple ambavyo usaidia katika makuzi ya mtoto.I
1. Tunda la apple usaidia kumpatia mama na mtoto kinga wakati mtoto akiwa tumboni tunajua wazi kuwa mtoto Upata chakula kupitia kwa Mama kwa hiyo mama akiwa anatumia apple mara kwa mara hasa hasa apple moja kwa siku umsaidia kuongeza kinga kwa mtoto na kwa Mama pia na kupunguza Magonjwa mbalimbali kama vile pumu kwa mtoto.
2. Tunda hili la apple pia usaidia kujenga mifupa kwa mama na kwa mtoto, ufanya kazi hizi kwa sababu ya kuwepo kwa kiasi kikubwa cha vitamini c kwenye tunda la apple, kwa hiyo kila tunda kuna kiasi chake cha vitamini kwa hiyo mama anapotumia tunda hili uongeza kiasi kikubwa cha vitamini c kwa mtoto.
3. Kupitia tunda hili usaidia pia mwili wa mama kufyonza kiasi cha madini ya chuma kwa urahisi, tunajua na tunaelewa wazi mama mjamzito anapaswa kuw na wingi wa madini ya chuma kwenye mwili na yanapaswa kufyonza kwa urahisi kwa hiyo kwa kutumia tunda la apple madini ya chuma yanaweza kufyonzwaka urahisi.
4. Pia tunda la apple usaidia kuwepo kwa mawasiliano mazuri kwa mtoto kwa sababu ya kuwepo potassium kwenye mishipa ya fahamu kwa hiyo hata shughuli zote zinaweza kwenda vizuri pasipokuwepo na shida yoyote kwa sababu ya kutumia tunda la apple ambalo lina kiwango kikubwa cha potassium.
5. Kwa hiyo baada ya kuona faida za tunda la apple kwa wajawazito ni vizuri kabisa kutumia tunda hili kwa wingi hasa kwa wale ambao wana uwezo wa kulipata , kwa sababu tunda hili lina gharama na pia madini na vitamini ambayo vipo kwenye tunda la apple yanaweza kupatikana kwenye vyakula vingine kwa hiyo kama uwezo wa kupata tunda hili ni mdogo msiganganie lakini mwenye uwezo anaweza kutumia kwa sababu ya kuwepo kwa faida nyingi kwenye tunda hili.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowZijuwe sababu kuu za kuwepo kwa maumivu ya tumbo baada ya kula chakula
Soma Zaidi...Kuchaguwa vinywaji si jambo rahisi, lakini inabidi iwe hivyo kama una tatizo la kisukari. Je unasumbuka kujuwa vinywaji salama? makala hii ni kwa ajili yako, hapa tutaona vinywaji ambavyo ni salama kwa mwenye kisukari.
Soma Zaidi...Hizi ni aina za vyakula ambavyo husaidia katika kuongeza damu kwa wajawazito na watoto.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mboga mboga za majani ambazo zinaweza kuweka sukari kwenye kiwango cha kawaida.
Soma Zaidi...Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai
Soma Zaidi...Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo wanapaswa kutumia watu wenye matatizo ya macho,ni vyakula ambavyo uhimalisha mishipa na sehemu nyingine za jicho na kufanya jicho lisiwe na matatizo kwa sababu tunajua wazi kuwa vyakula ni dawa.
Soma Zaidi...