image

Faida za kiafya za kula Palachichi

Faida za kiafya za kula Palachichi



Faida za kula palachichi

  1. palachichi lina virutubisho kama wanga, vitamini C, E, K na B^. pia lina madini ya managesium na potassium.
  2. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
  3. Huzuia kupata ugonjwa wa mifupa (kuwa dhaifu na kufunjika kwa urahisi)
  4. Huzuia ama kupunguza kupata ugonjwa wa saratani
  5. Huboresha afya ya watoto wadogo na ukuaji wao
  6. Hupunguza misongo ya mawazo
  7. Huondoa tatizo la kutopata choo kikubwa
  8. Husaidia kuondoa sumu za vyakula na akemikali mwilini
  9. Husaidia kuzuia maambukizi ya mara kwa mara ya virusi, bakteria na fangasi
  10. Husaidia kuzukupata maradhi ya kisukari


                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 253


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

VYAKULA HATARI KWA VIDONDA VYA TUMBO
Hivi ni vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo. mwenye vidonda vya tumbo hatakiwi kula vyakula hivi Soma Zaidi...

VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Matunda yenye vitamini C kwa wingi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matunda yenye vitamin C kwa wingi Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume
Vijuwe vyakula vya kyongeza nguvu za kiume na mambo yanayopunguza nguvu za kiume Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula mayai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mayai Soma Zaidi...

Kazi za virutubisho vya protini mwilini
Somo hili linakwenda kukuletea kazi za virutubisho vya protini mwilini Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula maboga
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula samaki
Posti hii itakwenda kukupa faida za kula samaki kwenye mwili wako. Soma Zaidi...

VYAKULA VYA VITAMIN NA MAJI
Zitambue aina zote za vyakule na ufanye maamuzi yaliyo kuwa sahihi katika uandaaji wa chakula chako Soma Zaidi...

Vyakula muhimu kwa kulinda afya ya macho - Epuka upofu kwa kula vyakula hivi
Matatizo ya macho yanaweza kuruthiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto. hata hivyo shughuli zetu na vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Hapa nitakuletea vyakula muhimu kwa afya ya macho yako. Soma Zaidi...

JITIBU KWA KITUNGUU THAUMU: faida za kiafya za kitunguu thaumu
Kitunguu thaumu ni katika viungo vya mboga na chakula. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Mayai
Soma Zaidi...