picha

Faida za kiafya za kula Palachichi

Faida za kiafya za kula Palachichi



Faida za kula palachichi

  1. palachichi lina virutubisho kama wanga, vitamini C, E, K na B^. pia lina madini ya managesium na potassium.
  2. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
  3. Huzuia kupata ugonjwa wa mifupa (kuwa dhaifu na kufunjika kwa urahisi)
  4. Huzuia ama kupunguza kupata ugonjwa wa saratani
  5. Huboresha afya ya watoto wadogo na ukuaji wao
  6. Hupunguza misongo ya mawazo
  7. Huondoa tatizo la kutopata choo kikubwa
  8. Husaidia kuondoa sumu za vyakula na akemikali mwilini
  9. Husaidia kuzuia maambukizi ya mara kwa mara ya virusi, bakteria na fangasi
  10. Husaidia kuzukupata maradhi ya kisukari


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1715

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula kabichi

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kabichi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye protini kwa wingi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vyenye protini kwa wingi

Soma Zaidi...
HOMA YA DENGUE, DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANGO YAKE NA INA SABABISHWA (AMBUKIZWA) NA MBU GANI

Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean.

Soma Zaidi...