picha

Faida za kula Nanasi

Nanasi ni katika matunda matamu lakini mazuri pia kiafya, je unazijuwa faida zake kiafya

Faida za kula Nanasi

2.Nanasi (pineplea)
Hili ni katika matunda yanayopatika na sana kwenye uoto wa kitropik. Tunda hili ni katika matunda yenye virutubisho vingi kuliko matunda mengi sana yanayopatikana katika maeneo yenye uoto huu. Kwa mfano kikombe kimoja cha nanasi (mililita 237) kinatosheleza uhitaji wa mwili wa vitamini C kwa siku nzima na asilimia 76 ya madini ya manganese.

Nanasi pia lina bromelain huu ni mchanganyiko wa enzymes ambayo inajulikana kwa kudhibiti uvimbe na kuwa na uwezo wa kumeng’enya protini mwilini. Tafiti nyingi za kisayansi zimeonesha kuwa bromelain husaidia kuzuia mwili kupata maradhi ya saratani na uvimbe amao ni katika viashiria vya saratani.


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2362

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰2 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰4 web hosting    πŸ‘‰5 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Zijue Faida ya kula tunda la tango.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.

Soma Zaidi...
Faida za kula parachichi

Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya

Soma Zaidi...
Faida za chumvi mwilini (madini ya chumvi)

Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.

Soma Zaidi...
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA BAMIA (OKRA)

Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula samaki

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula samaki

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua

Soma Zaidi...
Faida za kula ndizi

Somo hiki linakwenda kukueleza faida za kiafya za kula ndizi

Soma Zaidi...