picha

Faida za kula passion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion

Faida za passion

1. Lina virutubisho Kama vitamin C na A pia Lina madini ya chuma na potassium

2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali mwilini

3. Hulinda moyo dhidi ya maradhi ya moyo

4. Huboresha afya ya macho

5. Huondoa tatizo la kutokupata choo

6. Hupunguza uwezekano wa kupata satarani ya tumbo, utumbo na matiti

7. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya kisukari

8. Huimarisha mwili dhidi ya maradhi ya mara kea mara

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2390

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 web hosting     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Faida za embe

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula embe

Soma Zaidi...
Madhara ya kula chakula chenye chumvi nyingi

Posti hii inakwendavkukufundisha madhara unayoweza kuyapata unapokula chakula cgenye chumvi nyingi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula uyoga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga

Soma Zaidi...
Faida kuu 10 za kula matunda na mboga mwilini - kwa nini ni muhumu kula matunda?

Makala hii inakwenda kukutajia sababau kuu 10 ambazo zinaonyesha umuhimu wa kula matunda kiafya. kwa nini kiafya unashauriwa ule matunda na mboga mara kwa mara?

Soma Zaidi...
Faida za chungwa na chenza ( tangarine)

Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini

Soma Zaidi...