Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Faida za passion
1. Lina virutubisho Kama vitamin C na A pia Lina madini ya chuma na potassium
2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali mwilini
3. Hulinda moyo dhidi ya maradhi ya moyo
4. Huboresha afya ya macho
5. Huondoa tatizo la kutokupata choo
6. Hupunguza uwezekano wa kupata satarani ya tumbo, utumbo na matiti
7. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya kisukari
8. Huimarisha mwili dhidi ya maradhi ya mara kea mara
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga.
Soma Zaidi...Hivi ni vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo. mwenye vidonda vya tumbo hatakiwi kula vyakula hivi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna au njia za kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba ya homoni imbalance kwa wanawake.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini
Soma Zaidi...