Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Faida za passion
1. Lina virutubisho Kama vitamin C na A pia Lina madini ya chuma na potassium
2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali mwilini
3. Hulinda moyo dhidi ya maradhi ya moyo
4. Huboresha afya ya macho
5. Huondoa tatizo la kutokupata choo
6. Hupunguza uwezekano wa kupata satarani ya tumbo, utumbo na matiti
7. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya kisukari
8. Huimarisha mwili dhidi ya maradhi ya mara kea mara
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Soma Zaidi...Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.
Soma Zaidi...