Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Faida za passion
1. Lina virutubisho Kama vitamin C na A pia Lina madini ya chuma na potassium
2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali mwilini
3. Hulinda moyo dhidi ya maradhi ya moyo
4. Huboresha afya ya macho
5. Huondoa tatizo la kutokupata choo
6. Hupunguza uwezekano wa kupata satarani ya tumbo, utumbo na matiti
7. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya kisukari
8. Huimarisha mwili dhidi ya maradhi ya mara kea mara
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Utafahamu faida za vitamini C mwilini pamoja na kujuwa umuhimu wa vitamini C
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni/ Olive
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari
Soma Zaidi...Hivi ni vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo. mwenye vidonda vya tumbo hatakiwi kula vyakula hivi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Soma Zaidi...