Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Faida za passion
1. Lina virutubisho Kama vitamin C na A pia Lina madini ya chuma na potassium
2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali mwilini
3. Hulinda moyo dhidi ya maradhi ya moyo
4. Huboresha afya ya macho
5. Huondoa tatizo la kutokupata choo
6. Hupunguza uwezekano wa kupata satarani ya tumbo, utumbo na matiti
7. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya kisukari
8. Huimarisha mwili dhidi ya maradhi ya mara kea mara
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi virutubisho vilivyomo kwenye parachichi, tunajua sana kuwa parachichi ina virutubisho vingi ambavyo vinaweza kuleta faida nyingi kwenye mwili kama yalivyo matunda na vyakula vingine.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari ni tiba ambayo utumiwa sana na wagonjwa wa kisukari na walio wengi na wamefanikiwa kupona
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukieleza kuhusu vyakula vya madini na kazi zake mwilini
Soma Zaidi...Zijuwe dawa za kuongeza nguvu za kiume, na vyakula salama vya kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu lishe salama kwa mjamzito
Soma Zaidi...