Faida za kula passion


image


Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion


Faida za passion

1. Lina virutubisho Kama vitamin C na A pia Lina madini ya chuma na potassium

2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali mwilini

3. Hulinda moyo dhidi ya maradhi ya moyo

4. Huboresha afya ya macho

5. Huondoa tatizo la kutokupata choo

6. Hupunguza uwezekano wa kupata satarani ya tumbo, utumbo na matiti

7. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya kisukari

8. Huimarisha mwili dhidi ya maradhi ya mara kea mara



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Faida za kiafya za kula kungumanga/nutmeg
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula mihogo
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo Soma Zaidi...

image Kazi za tunda la papai katika kurekebisha homoni imbalance
Posti hii inahusu zaidi kazi za tunda la mpapai katika kurekebisha homoni.ni tunda ambalo ufanya kazi yake kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho muhimu ndani ya tunda hili. Soma Zaidi...

image Zaituni (Olive)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni/ Olive Soma Zaidi...

image Faida za kula ndizi
Somo hiki linakwenda kukueleza faida za kiafya za kula ndizi Soma Zaidi...

image Tufaha (apple)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha Soma Zaidi...

image Faida za pilipili
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za pilipili Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula panzi, senene na kumbikumbi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula panzi senene na kumbikumbi Soma Zaidi...

image Faida za kula nanasi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi Soma Zaidi...

image Faida za kula parachichi
Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya Soma Zaidi...