picha

Faida za kula passion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion

Faida za passion

1. Lina virutubisho Kama vitamin C na A pia Lina madini ya chuma na potassium

2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali mwilini

3. Hulinda moyo dhidi ya maradhi ya moyo

4. Huboresha afya ya macho

5. Huondoa tatizo la kutokupata choo

6. Hupunguza uwezekano wa kupata satarani ya tumbo, utumbo na matiti

7. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya kisukari

8. Huimarisha mwili dhidi ya maradhi ya mara kea mara

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2186

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 ai web app     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Sababu za kuwa na fangasi ukeni

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Faida za kitunguu maji/ onion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini

Soma Zaidi...
Faida za kula apple (tufaha)

Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula uyoga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga

Soma Zaidi...
Fahamu vitamini A na kazi zake, vyakula vya vitamini A na athari za upungufu wake

Vitamini A ni katika vitamini fat soluble vitamin akama vile retinol, retinal, retinoic acid na beta-carotene.

Soma Zaidi...