Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula parachichi
3. Faida za kula palachichi
1. palachichi lina virutubisho kama wanga, vitamini C, E, K na B^. pia lina madini ya managesium na potassium.
2. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
3. Huzuia kupata ugonjwa wa mifupa (kuwa dhaifu na kufunjika kwa urahisi)
4. Huzuia ama kupunguza kupata ugonjwa wa saratani
5. Huboresha afya ya watoto wadogo na ukuaji wao
6. Hupunguza misongo ya mawazo
7. Huondoa tatizo la kutopata choo kikubwa
8. Husaidia kuondoa sumu za vyakula na akemikali mwilini
9. Husaidia kuzuia maambukizi ya mara kwa mara ya virusi, bakteria na fangasi
10. Husaidia kuzukupata maradhi ya kisukari
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Je unazijuwa faida za kula chungwa kiafya? soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa
Soma Zaidi...utajifunza njia za kuzuia kiungulia, dalili za kiungulia na dawa ya kutibu kiungulia.
Soma Zaidi...Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...