Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula parachichi
3. Faida za kula palachichi
1. palachichi lina virutubisho kama wanga, vitamini C, E, K na B^. pia lina madini ya managesium na potassium.
2. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
3. Huzuia kupata ugonjwa wa mifupa (kuwa dhaifu na kufunjika kwa urahisi)
4. Huzuia ama kupunguza kupata ugonjwa wa saratani
5. Huboresha afya ya watoto wadogo na ukuaji wao
6. Hupunguza misongo ya mawazo
7. Huondoa tatizo la kutopata choo kikubwa
8. Husaidia kuondoa sumu za vyakula na akemikali mwilini
9. Husaidia kuzuia maambukizi ya mara kwa mara ya virusi, bakteria na fangasi
10. Husaidia kuzukupata maradhi ya kisukari
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kitunguu saumu ni tiba mbadala ya presha yabkushuja. Hakitatui tatizo yaani hakiponyeshi, ila husaidia katika kushusha presha iliyo panda.
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kazi kuu tatu za vitamini C
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu lishe salama kwa mjamzito
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukupa elimu juu ya vyakula na vinywaji vilivyo salama kwa mtu mwenye kisukari, na ni vyakula vipi ni hatari kwa mwenye kisukari. Pia utajifunza njia za kujilinda na kupata kisukari.
Soma Zaidi...