Faida za kiafya za kula ukwaju

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju

. Faida za kiafya za kula Ukwaju

1. ukwaju una virutubisho kama vitamini C, K, B6, B1, B2 na B3, madini ya chuma, potassium, magnesium na phosphorus.

2. Husaidia kuimarisha afya ya moyo

3. Husaidia kushusha presha ya damu

4. Husaidia mwili kupambana na mashambulizi ya bakteria, fangasi na virusi

5. Huzuia kuziba kwa choo na kuharisha

6. Husaidia katika kulinda afya ya ini

7. Husaidia wajawazito kuondoa kichefuchefu

8. Husaidia katika kuthibiti uzito

9. Hupunguza kasi ya kuzeheka haraka

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1507

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

KITABU CHA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa maziwa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa

Soma Zaidi...
Nazi (coconut oil)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa mjamzito hasa mimba changa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa

Soma Zaidi...
Faida za limao au ndimu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo baada ya kula

Zijuwe sababu kuu za kuwepo kwa maumivu ya tumbo baada ya kula chakula

Soma Zaidi...
Faida za kula Pilipili

Usiogope kuwashwa, kula pilipili ni nzuri kwa afya yako ia virutubisho vingi sana

Soma Zaidi...