Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju
. Faida za kiafya za kula Ukwaju
1. ukwaju una virutubisho kama vitamini C, K, B6, B1, B2 na B3, madini ya chuma, potassium, magnesium na phosphorus.
2. Husaidia kuimarisha afya ya moyo
3. Husaidia kushusha presha ya damu
4. Husaidia mwili kupambana na mashambulizi ya bakteria, fangasi na virusi
5. Huzuia kuziba kwa choo na kuharisha
6. Husaidia katika kulinda afya ya ini
7. Husaidia wajawazito kuondoa kichefuchefu
8. Husaidia katika kuthibiti uzito
9. Hupunguza kasi ya kuzeheka haraka
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Utafahamu faida za vitamini C mwilini pamoja na kujuwa umuhimu wa vitamini C
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi
Soma Zaidi...Mlo kamili ni mkusanyiko kuu wa vyakula mbalimba kwa pamoja huimarisha na kuujenga  mwili wa binadamu na wanyama kwa sababu vinaleta virutubishi vyote vinavyohitajika.  Mkusanyiko wa vyakula vinavyotengeneza mlo kamili Kuna majina ya vyakula
Soma Zaidi...zijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C
Soma Zaidi...Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
Soma Zaidi...Kula uyoga kwa faida kubwa, ja unazijuwa faida za kula uyoga kiafya
Soma Zaidi...