Faida za kiafya za kula Nanasi

Faida za kula nanasi
- Nanasi lin virutubisho kama fati, protini, vitamini C, vitamini B6, madini ya chuma, manganeseum na shaba.
- Hupunguza misongo ya mawazo (stress)
- Nanasi ni rahisi kumeng’enywa tumboni
- Hupunguza hatari ya ugonjwa wa saratani
- Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
- Hupunguza maumivu ya viungio
- Husaidia kupona haraka baada ya kufanyiwa upasuaji
- Ni tunda tamu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 ai web app 👉4 web hosting 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Madrasa kiganjani
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 ai web app 👉4 web hosting 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Vyakula hatari kwa afya ya moyo
Hivi ni vyakula hatari kwa watu wenye maradhi ya moyo. Vyakula hivi si salama kwa afya ya moyo
Soma Zaidi...Vyakula vya wanga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Je miwa ina madhara yoyote?
Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote?
Soma Zaidi...