
Faida za kula nanasi
- Nanasi lin virutubisho kama fati, protini, vitamini C, vitamini B6, madini ya chuma, manganeseum na shaba.
- Hupunguza misongo ya mawazo (stress)
- Nanasi ni rahisi kumeng’enywa tumboni
- Hupunguza hatari ya ugonjwa wa saratani
- Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
- Hupunguza maumivu ya viungio
- Husaidia kupona haraka baada ya kufanyiwa upasuaji
- Ni tunda tamu