Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi
Faida za nazi
1. Nazi Ina fati iliyo nzuri kiafya (fatty acid)
2. Husaidia katika kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
3. Husaidia katika uunguzwaji wa mafuta mwilini
4. Hupunguza njaa
5. Hupunguza kifafa
6. Huongeza cholesterol nzuri mwilini
7. Hulinda afya ya meno, ngozi na nywele
8. Huboresha afya ya ubongo
9. Hupunguza mafuta mabaya kwenye tumbo (kitambi)
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya kula
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni/ Olive
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju
Soma Zaidi...Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga.
Soma Zaidi...