Faida za kula nazi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi
18. Faida za kiafya za nazi
1. nazi ina fati iliyo salama kwa afya (fatty acid)
2. Husaidia katika kuimarisha na kuboresha afya ya moyo
3. Husaidia katika uunguzwaji wa mafuta mwilini
4. Hupunguza njaa
5. Hupunguza kifafa
6. Huongeza cholesterol zilizo nzuri
7. Hulinda afya ya ngozi, nywele na meno
8. Huimarisha afya ya ubongo
9. Hupunguza mafuta mabaya kwenye tumbo (kitambi)
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 ai web app 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
vyakula vya kuongeza damu, dalili zake na sababu za upungufu wa damu
Zijuwe sababu za upungufu wa damu, dalili za upungufu wa damu na kazi za damu mwilini,n avyakula vya kuongeza damu
Soma Zaidi...Kazi za madini ya Shaba mwilini.
Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo
Soma Zaidi...Vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo, na vyakula salama kwa vidonda vya tumbo
Makala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...