picha

Faida za kula nazi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

18. Faida za kiafya za nazi

1. nazi ina fati iliyo salama kwa afya (fatty acid)

2. Husaidia katika kuimarisha na kuboresha afya ya moyo

3. Husaidia katika uunguzwaji wa mafuta mwilini

4. Hupunguza njaa

5. Hupunguza kifafa

6. Huongeza cholesterol zilizo nzuri

7. Hulinda afya ya ngozi, nywele na meno

8. Huimarisha afya ya ubongo

9. Hupunguza mafuta mabaya kwenye tumbo (kitambi)

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2835

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 ai web app     👉3 web hosting     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

VYAKULA VYA MADINI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Faida za embe

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula embe

Soma Zaidi...
Faida za kula Tango

Matunda ya zamani na ya asili, zijuwe faida za kiafya za tango

Soma Zaidi...
Faida za kula asali

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali

Soma Zaidi...