Faida za kula nazi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi
18. Faida za kiafya za nazi
1. nazi ina fati iliyo salama kwa afya (fatty acid)
2. Husaidia katika kuimarisha na kuboresha afya ya moyo
3. Husaidia katika uunguzwaji wa mafuta mwilini
4. Hupunguza njaa
5. Hupunguza kifafa
6. Huongeza cholesterol zilizo nzuri
7. Hulinda afya ya ngozi, nywele na meno
8. Huimarisha afya ya ubongo
9. Hupunguza mafuta mabaya kwenye tumbo (kitambi)
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Faida za kiafya za kula biringanya (eggplant)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant)
Soma Zaidi...Vyakula vya kupambana na saratani
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kupambana na saratani
Soma Zaidi...Vyakula vya protini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini
Soma Zaidi...Vyakula vya kuongeza damu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuongeza damu
Soma Zaidi...