Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya
Faida za apple
1. Apple Lina vitamini C, A, K, B1, B2 na B6 pia Lina madini ya potassium
2. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
3.husaidia katika kupunguza uzito wa ziada mwilini
4. Hupunguza athari za kisukari
5. Husaidia kuzuia saratani
6 husaidia kupambana na pumu
8. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya mifupa
9. Hulinda tumbo dhidi ya majeraha yanayotokana na matumizi ya madawa
10 husaidia kuimarisha afya ya ubongo
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu saumu
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pera
Soma Zaidi...Kuchaguwa vinywaji si jambo rahisi, lakini inabidi iwe hivyo kama una tatizo la kisukari. Je unasumbuka kujuwa vinywaji salama? makala hii ni kwa ajili yako, hapa tutaona vinywaji ambavyo ni salama kwa mwenye kisukari.
Soma Zaidi...Kitunguu saumu ni tiba mbadala ya presha yabkushuja. Hakitatui tatizo yaani hakiponyeshi, ila husaidia katika kushusha presha iliyo panda.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza aina 20 za vitamini. Utajifunza kazu zake mwilini, vyanzo vyake na madhara yanayoweza kutokea kutokana na upungufu wake.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za matumizi ya vyakula vya asili, kama tunavyojua kwamba mababu na mabibi zetu walitumia vyakula vya asili wakaishi miaka mingi kweli.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za embe na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...