Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya
Faida za apple
1. Apple Lina vitamini C, A, K, B1, B2 na B6 pia Lina madini ya potassium
2. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
3.husaidia katika kupunguza uzito wa ziada mwilini
4. Hupunguza athari za kisukari
5. Husaidia kuzuia saratani
6 husaidia kupambana na pumu
8. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya mifupa
9. Hulinda tumbo dhidi ya majeraha yanayotokana na matumizi ya madawa
10 husaidia kuimarisha afya ya ubongo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kwa ufupi vyakula vya kuviepuka kama una presha ya kupanda.
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini
Soma Zaidi...Je! unatambuwa madhara ya vyakula vya protini na mafuta? ungana nasi kwenye somo hili
Soma Zaidi...Virutubisho vya protini vina kazi nyingi mwilini. Zifuatazo ndio kazi protini mwilini
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...