Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya
Faida za apple
1. Apple Lina vitamini C, A, K, B1, B2 na B6 pia Lina madini ya potassium
2. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
3.husaidia katika kupunguza uzito wa ziada mwilini
4. Hupunguza athari za kisukari
5. Husaidia kuzuia saratani
6 husaidia kupambana na pumu
8. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya mifupa
9. Hulinda tumbo dhidi ya majeraha yanayotokana na matumizi ya madawa
10 husaidia kuimarisha afya ya ubongo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi faida za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito, kuna kipindi ambacho wanawake wakati wa ujauzito uchaguza vyakula mbalimbali kuna ambao wanaweza kutumia vitunguu saumu na kupata faida kubwa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuongeza damu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari na salama kwa vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukieleza kuhusu vyakula vya madini na kazi zake mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.
Soma Zaidi...