Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya
Faida za apple
1. Apple Lina vitamini C, A, K, B1, B2 na B6 pia Lina madini ya potassium
2. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
3.husaidia katika kupunguza uzito wa ziada mwilini
4. Hupunguza athari za kisukari
5. Husaidia kuzuia saratani
6 husaidia kupambana na pumu
8. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya mifupa
9. Hulinda tumbo dhidi ya majeraha yanayotokana na matumizi ya madawa
10 husaidia kuimarisha afya ya ubongo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fenesi
Soma Zaidi...Ukubwa wa tikiti unasadifu yaliyopo, kwani kuna fgaida akubwa sana za kiafya katika kula tikiti
Soma Zaidi...tangawizi ni katika viungio vya mboga vyenye faida, pia ni kinywaji, zijuwe leo faida za tangawizi
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.
Soma Zaidi...Madhara ya upungufu wa protini ni mengi kiafya. Miongoni mwa madhara hayo ni..
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao
Soma Zaidi...