image

Faida za kula apple (tufaha)

Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya

Faida za apple

1. Apple Lina vitamini C, A, K, B1, B2 na B6 pia Lina madini ya potassium

2. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo

3.husaidia katika kupunguza uzito wa ziada mwilini

4. Hupunguza athari za kisukari

5. Husaidia kuzuia saratani

6 husaidia kupambana na pumu

8. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya mifupa

9. Hulinda tumbo dhidi ya majeraha yanayotokana na matumizi ya madawa

10 husaidia kuimarisha afya ya ubongo





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 3606


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Vyakula vya vitamin C
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C Soma Zaidi...

Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?
Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari? Soma Zaidi...

Faida za kiafya za viazi vitamu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi vitamin Soma Zaidi...

VYANZO VYA VYAKULA VYA MADINI NA FAIDA ZAKE
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula bamia
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia Soma Zaidi...

Faida za kula tango
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango Soma Zaidi...

Faida za kula uyoga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula uyoga Soma Zaidi...

Faida za kula nanasi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi Soma Zaidi...

Faida za kula Ukwaju
Zitambue faida kubwa za kula karanga kwa ajili ya afya yako Soma Zaidi...

Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia, sababu zake na dalili zzake
Hapa utajifunza sababu za kupatwa na maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia Soma Zaidi...

Faida za kula Nyanya
Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya Soma Zaidi...

VYAKULA VYA VITAMIN NA MAJI
Zitambue aina zote za vyakule na ufanye maamuzi yaliyo kuwa sahihi katika uandaaji wa chakula chako Soma Zaidi...