Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin D
VYAKULA VYA VITAMINI D
1. Chanzo kikuu cha vitamini D ni mwanga wa jua, vyanzo vingine katika vyakula nu:-
2. Mayai
3. Maziwa
4. Maini
5. Uyoga
Faida za vitamini D
1. Kusaidia unyonzwaji wa madini kutoka kwenye chakula kwenda kwenye damu
2. Hudaidia kuboresha afya ya mifupa
3. Mifupa kuwa imara, madhubuti na isiyopasuka kiurahisi
4. Hudaidia kwa afya ya moyo na mishipa ya damu
5. Pia husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari na salama kwa vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi virutubisho vya mwili, ni aina tano za vyakula ambayo ufanya kazi mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...