Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin D
VYAKULA VYA VITAMINI D
1. Chanzo kikuu cha vitamini D ni mwanga wa jua, vyanzo vingine katika vyakula nu:-
2. Mayai
3. Maziwa
4. Maini
5. Uyoga
Faida za vitamini D
1. Kusaidia unyonzwaji wa madini kutoka kwenye chakula kwenda kwenye damu
2. Hudaidia kuboresha afya ya mifupa
3. Mifupa kuwa imara, madhubuti na isiyopasuka kiurahisi
4. Hudaidia kwa afya ya moyo na mishipa ya damu
5. Pia husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Hapa utajifunza kuhusu kazi za protini mwilini na vyakula vipi vina protini kwa wingi
Soma Zaidi...Hivi ni vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo. mwenye vidonda vya tumbo hatakiwi kula vyakula hivi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuongeza damu
Soma Zaidi...Nazi ni katika matunda bora sana kiafya, Soma faida zake kwa afya yako
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukutajia mahonjwa matano ambayo hutokana na utapia mlo.
Soma Zaidi...