Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin D
VYAKULA VYA VITAMINI D
1. Chanzo kikuu cha vitamini D ni mwanga wa jua, vyanzo vingine katika vyakula nu:-
2. Mayai
3. Maziwa
4. Maini
5. Uyoga
Faida za vitamini D
1. Kusaidia unyonzwaji wa madini kutoka kwenye chakula kwenda kwenye damu
2. Hudaidia kuboresha afya ya mifupa
3. Mifupa kuwa imara, madhubuti na isiyopasuka kiurahisi
4. Hudaidia kwa afya ya moyo na mishipa ya damu
5. Pia husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi faida za matumizi ya vyakula vya asili, kama tunavyojua kwamba mababu na mabibi zetu walitumia vyakula vya asili wakaishi miaka mingi kweli.
Soma Zaidi...zijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...Je unazijuwa faida za kula chungwa kiafya? soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...