Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
. Faida za kiafya za kula mihogo
1. mihogo ina virutubisho kama vitamini C, protini, wanga, sukari, vitamini B, madini ya calcium, magnesium, sodium na phosphorus.
2. Husaidia katika kupunguza uzito
3. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
4. Husaidia kuboresha afya ya macho
5. Hutibu tatizo la kuharisha chemsha mizizi yake kisha kunywa
6. Husaidia katika kupenesha vidonda
7. Hutibu homa na maumivu ya kichwa
8. Hutibu minyoo
9. Huongeza hamu ya kula
10. Huianguvu miili yetu kwa haraka
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai
Soma Zaidi...kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini.
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
Soma Zaidi...Hapa tutaona kuhusu virutubisho vya wanga, kazi zake na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Kwa nini hutakiwi kumpa mtoto wa umri wa chini ya mwaka mmoja kumpa asali?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua
Soma Zaidi...Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...