Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
. Faida za kiafya za kula mihogo
1. mihogo ina virutubisho kama vitamini C, protini, wanga, sukari, vitamini B, madini ya calcium, magnesium, sodium na phosphorus.
2. Husaidia katika kupunguza uzito
3. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
4. Husaidia kuboresha afya ya macho
5. Hutibu tatizo la kuharisha chemsha mizizi yake kisha kunywa
6. Husaidia katika kupenesha vidonda
7. Hutibu homa na maumivu ya kichwa
8. Hutibu minyoo
9. Huongeza hamu ya kula
10. Huianguvu miili yetu kwa haraka
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach
Soma Zaidi...Hivi ni vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo. mwenye vidonda vya tumbo hatakiwi kula vyakula hivi
Soma Zaidi...Kama tulivyosema hapo juu kuwa afya ni kuwa mzima kimwili na kiakili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...