Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
. Faida za kiafya za kula mihogo
1. mihogo ina virutubisho kama vitamini C, protini, wanga, sukari, vitamini B, madini ya calcium, magnesium, sodium na phosphorus.
2. Husaidia katika kupunguza uzito
3. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
4. Husaidia kuboresha afya ya macho
5. Hutibu tatizo la kuharisha chemsha mizizi yake kisha kunywa
6. Husaidia katika kupenesha vidonda
7. Hutibu homa na maumivu ya kichwa
8. Hutibu minyoo
9. Huongeza hamu ya kula
10. Huianguvu miili yetu kwa haraka
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mayai
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fenesi
Soma Zaidi...Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye madini kwa wingi
Soma Zaidi...