Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
. Faida za kiafya za kula mihogo
1. mihogo ina virutubisho kama vitamini C, protini, wanga, sukari, vitamini B, madini ya calcium, magnesium, sodium na phosphorus.
2. Husaidia katika kupunguza uzito
3. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
4. Husaidia kuboresha afya ya macho
5. Hutibu tatizo la kuharisha chemsha mizizi yake kisha kunywa
6. Husaidia katika kupenesha vidonda
7. Hutibu homa na maumivu ya kichwa
8. Hutibu minyoo
9. Huongeza hamu ya kula
10. Huianguvu miili yetu kwa haraka
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za kula zabibu na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza aina 20 za vitamini. Utajifunza kazu zake mwilini, vyanzo vyake na madhara yanayoweza kutokea kutokana na upungufu wake.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
Soma Zaidi...