Faida za kiafya za kula mihogo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo

. Faida za kiafya za kula mihogo

1. mihogo ina virutubisho kama vitamini C, protini, wanga, sukari, vitamini B, madini ya calcium, magnesium, sodium na phosphorus.

2. Husaidia katika kupunguza uzito

3. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

4. Husaidia kuboresha afya ya macho

5. Hutibu tatizo la kuharisha chemsha mizizi yake kisha kunywa

6. Husaidia katika kupenesha vidonda

7. Hutibu homa na maumivu ya kichwa

8. Hutibu minyoo

9. Huongeza hamu ya kula

10. Huianguvu miili yetu kwa haraka

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1560

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Faida za kula ndizi

Somo hiki linakwenda kukueleza faida za kiafya za kula ndizi

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin C

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C

Soma Zaidi...
Faida za kula Zabibu (grape)

faida za kula tunda zabibu kwa ajili ya afya yako

Soma Zaidi...
Vyakula vizuri kwa vidonda vya tumbo

Hii ni orodha ya vyakula salama na vizuri kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za peaz/ peas

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas

Soma Zaidi...
Pilipili kali

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za pilipili kali

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula korosho

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho

Soma Zaidi...