Menu



JAVASCRIPT - somo la 22: Jinsi ya ku set time na tarehe

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu ku set time. Yaani tutaweka muda ambao code zinatakiwa ndio zilete matokeo.

Soma wazo hili: 

Unatakiwa kutengeneza program ya chemsha bongo,  ambapo program itauliza swali kisha mtu atatoajibu ndani ya sekunde 10 endapo hajaweka jibu ataambiwa muda umekwisha

 

Sasa hapo ndipo tutahitani function ya ku set muda. Kufanya hivi kwa kutumia javascript tutatumia function unayoitaka setTimeout(). Jambo la kuzingatia ni kuwa muda hapa unahesabiwa kwa kutumia millsecond. sekunde 1 ni sawa na millsecond 1000. Hivyo ukitaka code zi fanye kazi baada ya dakika 5 hapo utaweka 5000. Sasa wacha tuone jinsi ambavyo tutaweza kuandika function yetu hii.

 

Kwanza  utaweka function yako setTimeout()  unaweza kuiweka ndani ya variable. Mfano var time = settimeout()

Pili ndani ya hiyo function utaweka statement zalo ukitengenisha na alama ya coma yaani (,) mfano var time = settimeout(function() {Document.write(“Muda umekwisha”)},) 

 

Tatu utaweka muda unaotaka baada ya hiyo koma. Mfano var time = settimeout(function() {Document.write(“Muda umekwisha”)}, 5000).

 

Angalia mfano wa hapo chini

<html>

<head>

 <title>Mafunzo ya javascript</title>

</head>

</html>

<body>

<h2>Jaza kitendawili hiki</h2>

<form>

 <label>Haba na haba hujaza _______________</label><br><br><br>

 <input type="text" placeholder="Jaza jibu hapa">

</form>

 

<script>

 var myTimeout = setTimeout(function (){ document.write("Muda umekwisha")}, 5000)

</script>

</body>


 

Sasa endapo hujajaza jibu na muda ukiisha Utaletewa ujumbe huo. 

 

Pia code hizo hapo unaweza kuzigeuza na kuziadika katika mtindo wa kuweka ku call function ndani ya setTimeout(). Matokeo ya code hizo hapo chini ni sawa na matokeo ya code hizo hapo juu.

 

<html>

<head>

 <title>Mafunzo ya javascript</title>

</head>

</html>

<body>

<h2>Jaza kitendawili hiki</h2>

<form>

 <label>Haba na haba hujaza _______________</label><br><br><br>

 <input type="text" placeholder="Jaza jibu hapa">

</form>

 

<script>

 function quiz (){ document.write("Muda umekwisha")}

 var myTimeout = setTimeout(quiz, 5000)

</script>

</body>

 

setInterval

Sasa ikitokea unahitaji ku excute code kila baada ya muda fulani hapa utatumia setinterval. Somo la hapo juu tumezungumzia ku excute code baada ya muda fuani, lakini hapa ni kila baada ya muda fulani. 

 

Mfano:

Umetakiwa kuweka program ya kuesabu muda yaani sekunde. Kisha uweke kwenye program ya kuuliza swali. Hivyo itakuwa ukihesabu zikitimia sekunde flani in stop.

 

Kufanya hivi tutatumia function ya setinterval. kwa mfano hapo tutaset program ya kuhesabu kila baada ya millsecond 1000 maana kila baada ya dakika 1.

 

Kanuni za kuandika setInterval ni sawa na zile za kuandika setTimeout. Kikubwa cha kuzingatio ni kuwa timeInterval itakuwa inaendelea ku excute kila baada ya huo muda ulioweka bila ya kikomo mpaka pale utakapo fanya i stop.

 

<html>

<head>

 <title>Mafunzo ya javascript</title>

</head>

</html>

<body>

<p id="showTime"></p>

<script>

 var hesabu = 0;

 var muda = setInterval(function (){

   hesabu += 1;

   document.getElementById("showTime").innerHTML = hesabu;

 }, 1000);

</script>

</body>

 

Unaweza kuweka timeinterval zaidi ya moja kwenye code, pia unaweza kucanganya na setTimeout zaidi ya moja kweye ukurasa mmoja. Sasa kama nilivyo kueleza kuwa code zitaendelea ku excute kila baada ya muda fulani, mpaka utakapo sitisha kufanya hivyo.


 

Jinsi ya kusitisha timeInterval() na setTimeout():

ili kuweza kusitisha settimeout() tutatumia method hii clearTimeout() na ukitaka kusitisha setinterval() tutatumia method hii clearInterval()

 

Mfano 1: kusitisa setinterval

<html>

<head>

 <title>Mafunzo ya javascript</title>

</head>

</html>

<body>

<id="showTime"></p>

<button onclick="sitisha()">Sitisha Muda</button>

<script>

 var hesabu 0;

 var muda setInterval(function (){

   hesabu += 1;

">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: JavaScript Main: Masomo File: Download PDF Views 281

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

JAVASCRIPT - somo la 15: Jinsi ya kukusanya user input

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript.

Soma Zaidi...
Game 2: Jinsi ya kutengeneza tic toc game ya single player kwa kutumia javascript, html na css

Katika post hii utakwenda kujifunza kutengeneza game ya tic toc ya mchezaji mmoja na kompyuta yaani single player

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 7: Jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript. Katika somo hili tutakwenda kutumia mahesabu.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 23: Jinsi ya kutengeneza calculator yaani kikokotoo cha hesabu kwa kutumia javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kutumia javascript kutengeneza kikokotoo cha hesabu yaani calculator

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 4: Jinsi ya kuandika variable kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika variable. Hapa utajifunza sheria zinazohusu variable katika javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 14: Jifunze kuhusu event kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu javascript events. Event ni neno la Kiingereza lenye maana tukio wingi wake events kumaanisha matukio. Natumia ni kila ambacho kinatokea kwenye javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 11: function maalumu zinazotumika kwenye string yaani string method

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 18: Jinsi ya kutumia switch case kwenye javascript

Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.

Soma Zaidi...
Game 1: Jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawili kwa kutumia html, css na javascript

Katika post hii utakwenda kujifundisha jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawii kwa utumia html, css na javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 21: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop

Katika somo hili tutakwenda kujifunza khusu while loop na do while loop.

Soma Zaidi...