Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu ku set time. Yaani tutaweka muda ambao code zinatakiwa ndio zilete matokeo.
Soma wazo hili:
Unatakiwa kutengeneza program ya chemsha bongo, ambapo program itauliza swali kisha mtu atatoajibu ndani ya sekunde 10 endapo hajaweka jibu ataambiwa muda umekwisha.
Sasa hapo ndipo tutahitani function ya ku set muda. Kufanya hivi kwa kutumia javascript tutatumia function unayoitaka setTimeout(). Jambo la kuzingatia ni kuwa muda hapa unahesabiwa kwa kutumia millsecond. sekunde 1 ni sawa na millsecond 1000. Hivyo ukitaka code zi fanye kazi baada ya dakika 5 hapo utaweka 5000. Sasa wacha tuone jinsi ambavyo tutaweza kuandika function yetu hii.
Kwanza utaweka function yako setTimeout() unaweza kuiweka ndani ya variable. Mfano var time = settimeout()
Pili ndani ya hiyo function utaweka statement zalo ukitengenisha na alama ya coma yaani (,) mfano var time = settimeout(function() {Document.write(“Muda umekwisha”)},)
Tatu utaweka muda unaotaka baada ya hiyo koma. Mfano var time = settimeout(function() {Document.write(“Muda umekwisha”)}, 5000).
Angalia mfano wa hapo chini
<html>
<head>
<title>Mafunzo ya javascript</title>
</head>
</html>
<body>
<h2>Jaza kitendawili hiki</h2>
<form>
<label>Haba na haba hujaza _______________</label><br><br><br>
<input type="text" placeholder="Jaza jibu hapa">
</form>
<script>
var myTimeout = setTimeout(function (){ document.write("Muda umekwisha")}, 5000)
</script>
</body>
Sasa endapo hujajaza jibu na muda ukiisha Utaletewa ujumbe huo.
Pia code hizo hapo unaweza kuzigeuza na kuziadika katika mtindo wa kuweka ku call function ndani ya setTimeout(). Matokeo ya code hizo hapo chini ni sawa na matokeo ya code hizo hapo juu.
<html>
<head>
<title>Mafunzo ya javascript</title>
</head>
</html>
<body>
<h2>Jaza kitendawili hiki</h2>
<form>
<label>Haba na haba hujaza _______________</label><br><br><br>
<input type="text" placeholder="Jaza jibu hapa">
</form>
<script>
function quiz (){ document.write("Muda umekwisha")}
var myTimeout = setTimeout(quiz, 5000)
</script>
</body>
setInterval
Sasa ikitokea unahitaji ku excute code kila baada ya muda fulani hapa utatumia setinterval. Somo la hapo juu tumezungumzia ku excute code baada ya muda fuani, lakini hapa ni kila baada ya muda fulani.
Mfano:
Umetakiwa kuweka program ya kuesabu muda yaani sekunde. Kisha uweke kwenye program ya kuuliza swali. Hivyo itakuwa ukihesabu zikitimia sekunde flani in stop.
Kufanya hivi tutatumia function ya setinterval. kwa mfano hapo tutaset program ya kuhesabu kila baada ya millsecond 1000 maana kila baada ya dakika 1.
Kanuni za kuandika setInterval ni sawa na zile za kuandika setTimeout. Kikubwa cha kuzingatio ni kuwa timeInterval itakuwa inaendelea ku excute kila baada ya huo muda ulioweka bila ya kikomo mpaka pale utakapo fanya i stop.
<html>
<head>
<title>Mafunzo ya javascript</title>
</head>
</html>
<body>
<p id="showTime"></p>
<script>
var hesabu = 0;
var muda = setInterval(function (){
hesabu += 1;
document.getElementById("showTime").innerHTML = hesabu;
}, 1000);
</script>
</body>
Unaweza kuweka timeinterval zaidi ya moja kwenye code, pia unaweza kucanganya na setTimeout zaidi ya moja kweye ukurasa mmoja. Sasa kama nilivyo kueleza kuwa code zitaendelea ku excute kila baada ya muda fulani, mpaka utakapo sitisha kufanya hivyo.
Jinsi ya kusitisha timeInterval() na setTimeout():
ili kuweza kusitisha settimeout() tutatumia method hii clearTimeout() na ukitaka kusitisha setinterval() tutatumia method hii clearInterval()
Mfano 1: kusitisa setinterval
<html>
<head>
<title>Mafunzo ya javascript</title>
</head>
</html>
<body>
<p id="showTime"></p>
<button onclick="sitisha()">Sitisha Muda</button>
<script>
var hesabu = 0;
var muda = setInterval(function (){
hesabu += 1...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript. Katika post hii utakwenda kujifunza kutengeneza game ya tic toc ya mchezaji mmoja na kompyuta yaani single player Katika somo hili utajifunz kuhusu baadhi ya function ambazo hutumika kwenye namba Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data ambazo hutumika kwenye javascript Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku dili na html form kwenye javascript. Javascript inaweza kufanya mengi kwenye html form. Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika variable. Hapa utajifunza sheria zinazohusu variable katika javascript Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript. Katika somo hili tutakwenda kutumia mahesabu. Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript Download App Yetu
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
Bongolite - Game zone - Play free game
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Kitabu cha Afya
👉6
kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
JAVASCRIPT - somo la 15: Jinsi ya kukusanya user input
Game 2: Jinsi ya kutengeneza tic toc game ya single player kwa kutumia javascript, html na css
JAVASCRIPT - somo la 12: Function zinazotumika kwenye namba
JAVASCRIPT - somo la 9: Jinsi ya kuandika function kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 11: function maalumu zinazotumika kwenye string yaani string method
JAVASCRIPT - somo la 8: Aina za data zinazotumika kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 16: Jinsi ya kutumia html form kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 4: Jinsi ya kuandika variable kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 7: Jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 24: Jinsi ya kutengeneza online keyboard