Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kutumia javascript kutengeneza kikokotoo cha hesabu yaani calculator
<title>Simple calculator</title>
<textarea style="width:50%" id="demo" name="txt"></textarea>
<br>
<input type = "button" value = "0" onclick = "demo.value += '0' ">
<input type = "button" value = "1" onclick = "demo.value += '1' ">
<input type = "button" value = "2" onclick = "demo.value += '2' ">
<input type = "button" value = "3" onclick = "demo.value += '3' ">
<input type = "button" value = "4" onclick = "demo.value += '4' ">
<input type = "button" value = "5" onclick = "demo.value += '5' "><br>
<input type = "button" value = "6" onclick = "demo.value += '6' ">
<input type = "button" value = "7" onclick = "demo.value += '7' ">
<input type = "button" value = "8" onclick = "demo.value += '8' ">
<input type = "button" value = "9" onclick = "demo.value += '9' ">
<input type = "button" value = "+" onclick = "demo.value += '+' "">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunz kuhusu baadhi ya function ambazo hutumika kwenye namba
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu ku set time. Yaani tutaweka muda ambao code zinatakiwa ndio zilete matokeo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza ku display matokeo ya code za javascript.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa maandishi (text) wakati wa ku out put matokeo ya code
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria ama syntax za kuandika javascript. Hii itakuwezesha kuelwa zaidi code za javascript.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array pamoja na method zinazohusiana na array. Pia nitakujuza tena kuhusu array ni nini. Utajifunza pia jinsi ya kutengeneza array.
Soma Zaidi...Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifundisha jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawii kwa utumia html, css na javascript
Soma Zaidi...Hii ni game ambayo utafikiria namba, ambayo inatakiwa iwe sawa na namba ambayo game imeiweka.
Soma Zaidi...