JAVASCRIPT - somo la 19: Jinsi ya kutumia loop kwenye javascript

Katika somo hilibtutakwenda kujifunza kuhusu loop. Katika programming tunaposema loop tunamaanisha ile hali ya program ku excute code zaidi na zaidi. Tofauti na kurudia rudia kuandika statement moja kwa ajili ya kupata matokeoa hayohayo basi unapotumia lo

Katika somo hili na linalofuata tutakwenda kutumia habari hii.

Umepewa kazi ya kuandika orodha ya maneno ya kiingereza na tafsiri yake kwa ajili ya kuandaa program ya kamusi. Sasa unatakiwa uonyeshe orodha ya maneno ambayo tayari umekusanya.

 

Angalia mfano hu:

Kwa kutumia safunzo yaliokwisha tangulia huko wali, nitaweka orodha ya maneno y bkiingereza kwenye array kisha nita display orodha hiyo kwa kuchanganya na maneno ya kiswahili. 


 

Sasa tuendelee na Somo letu. Hebu tuone jinsi ya kuonyesha orodha yetu kulingana na kile ambacho tulisha jifunza.

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

  var words = ['mama - mother', 'dada - sister', 'kakav- brother', 'mjomb - uncle'];

  var show = "";

    show = show+ words[0]+'<br>';

    show = show+ words[1]+'<br>';

    show = show+ words[2]+'<br>';

    show = show+ words[3]+'<br>';

  

  document.write(show);

</script>

  </body>

</html>

 

Sasa hapo utaona tumerudia rudia statement moja ya ku display neno la kiingereza nankiswahili. Sasa kwa kutumia loop jatutakuwa tena na haja ya kurudia kuandika statement moja na badala yake tutaachia program irudie tena ku excute code.

 

Aina za loop

Kuan aina kuu 2 za loop ambazo ni 

  1. for loop
  2. for Of loop
  3. while loop

Poa kuna mgawanyiko zaidi tutakwenda kuuona tutakwpokuwa tunajifunza zaidi. Katika somo hili tutakwenda kujifunza luhusu for loop tu.

 

For loop;

Katika loop hii code zona excute kwa idadi maalumu unayoitaka. Kwa mfano list yetu hapo ina item 4, hivyo code zetu zita run mara 4. Unaweza kutumia 4 ama kutumia object length tulishasoma kwenye array jinsi ya kuoata array length. Hii itakupa idadi ya kuwa xode zitavexcute mara ngapi. Tunatumia hii ili kuhakikisha ina excute code kwa idadi maalumu ambayo inafanana sawasawa na item.

 

Lakini kama utaweka 4vits okey unaweza kuweka lia zaidi ya nne ama chini ya nne.

 

Kanuni ya kuandika for loop

Kwa nza utaanza na neno for likifuatiwa na mabano () ndni ha mabano kutakaa condition. Kisha itafuataiwa na na mabano {} ambapo ndani yake kutakaa statement ambayo itakuwa excuted kulingana na idani iliyowekwa.

 

Jinsi ya kuandika condition hapa kina utofauti mkubwa na tulivyojifunza huko awali. Katika for loop condition omegawanyika katika sehemu kuu tatu ambazo ni:-

  1. Initial expression yaani mwanzo wa loop. Hapa tutaangalia je loop yako unatakanianzie kwenye item ya ngapi. 
  2. condition Hapa sasa ndipo utaweka masharti yako, ambayo ikiwa yatafikiwa code zita excute na yasipofikiwa code zita stop
  3. Increment expression sehemu hii ndio ambayo inaangalia je code zinatakiwa kubexcuye mara ngapi. Lengo hili linafikiwa kwa kutumia increment (++)


 

Jambo la kuzingatia ni kutenganisha hizo sehemu tatu kwa nukta oacha semicolon ambazo ni (;). Kanuni hii itaandikwa hivi:-

for(initial expression; condition; increment){

statement

}

 

Katika initial expression utatumia variable kwa ajili ya kuhifadhi namba ambayo loop itaanzia. for(var i = 0;

 

Katika condition expression utatumia variable uliotengeneza pamoja na kuweka limit ya mara ngapi code zi excute. Unaweza kutumia i < 4; ama inaweza kuwa hivi i < array.length; neno array hapo nimelitumia kumaanisha object ya array.

 

Katika increment hapo tutatumia variable yetu inayobeba mwanzo wa loop kisha tutaiwekea increment (++). Mfano i++

 

Code nzima

for(var i =0; i<array.length; i++){

statement.

}

 

Angalia code hizi ambazo zinafanya kazi sawa na mfano wa hapo juu mwanzoni kabisa.

 

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

  var words = ['mama - mother', 'dada - sister', 'kaka- brother', 'mjomb - uncle'];

  var show = "";

for(var i =0; i < words.length; i++) {

         show = show + words[i] + "<br>";

      }

    document.write(show);

</script>

  </body>

</html>

 

Sasa hap">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: JavaScript Main: ICT File: Download PDF Views 636

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

JAVASCRIPT - somo la 10: Jinsi ya kuandika object na matumizi yake kwenye javascript

Ksomo hili litakwenda kukufundisha kuhusu object kwenye javascript, kazi zake na sheria zake katika kuiandika.

Soma Zaidi...
Game 2: Jinsi ya kutengeneza tic toc game ya single player kwa kutumia javascript, html na css

Katika post hii utakwenda kujifunza kutengeneza game ya tic toc ya mchezaji mmoja na kompyuta yaani single player

Soma Zaidi...
Game 1: Jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawili kwa kutumia html, css na javascript

Katika post hii utakwenda kujifundisha jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawii kwa utumia html, css na javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 24: Jinsi ya kutengeneza online keyboard

Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 15: Jinsi ya kukusanya user input

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 5: Jinsi ya kupangilia maandishi wakati wa ku output kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa maandishi (text) wakati wa ku out put matokeo ya code

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 12: Function zinazotumika kwenye namba

Katika somo hili utajifunz kuhusu baadhi ya function ambazo hutumika kwenye namba

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 11: function maalumu zinazotumika kwenye string yaani string method

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 9: Jinsi ya kuandika function kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 13: Function zinazofanya kazi kwenye array.

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array pamoja na method zinazohusiana na array. Pia nitakujuza tena kuhusu array ni nini. Utajifunza pia jinsi ya kutengeneza array.

Soma Zaidi...