JAVASCRIPT - somo la 21: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop

Katika somo hili tutakwenda kujifunza khusu while loop na do while loop.

while loop hii ni aina ya loop ambapo code zitaendelea ku excute bila ya kikomo mpaka masharti ulioweka yatimie.

 

Tofauti na for loop, while loop hutumika sana kwenye maeneo haya:-

1. Hujui code zako zita excute mara ngapi mpaka kufikia matokeo.

Mfano ina program ya kuandika maudhui kwenye mafaili. Lengo lako unataka iandike MB 5, lakini hujui hizo code zita excute mara ngali mpaka ufikie MB 5. Hapa for loop haiwezi kufanya kazi.tutatumia while loop.

 

2. Una excute program yako kutokana na input za mtumiaji. Hapa kwa kuwa hatujui onput za huyo mtumiaji wako, hivyo tutatumia while loop.


 

Jambo lingine muhimu kulijuwa ni kuwa kwenye shule loop statement huweka mahala popote kwenye hiyo block.

Jinsi ya kuandika while loop.

Kwanza utaanza na initial ambapo inahitaji code zako zianzie ku excute.

while(condition){

Statement

}

 

Kuandika while loop ni rahisi sana yenyewe inahitaji condition na statement tu. Angalia mfano hapo chini:-

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

var a  =0;

var watoto = ['juma', 'hassan', 'john', 'paul', 'rashidi', 'daudi', 'mwajuma'];

 

while(a < watoto.length){

  document.write(watoto[a]+'<br>');

  a++;

}

</script>

  </body>

</html>

 

 

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

var a  =0;

var namba = prompt();

 

while(a < namba){

  document.write('Bongoclass'+'<br>');

  a++;

}

</script>

  </body>

</html>

 

 

...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: JavaScript Main: ICT File: Download PDF Views 426

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Game 1: Jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawili kwa kutumia html, css na javascript

Katika post hii utakwenda kujifundisha jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawii kwa utumia html, css na javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 10: Jinsi ya kuandika object na matumizi yake kwenye javascript

Ksomo hili litakwenda kukufundisha kuhusu object kwenye javascript, kazi zake na sheria zake katika kuiandika.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 15: Jinsi ya kukusanya user input

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 5: Jinsi ya kupangilia maandishi wakati wa ku output kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa maandishi (text) wakati wa ku out put matokeo ya code

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 4: Jinsi ya kuandika variable kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika variable. Hapa utajifunza sheria zinazohusu variable katika javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 24: Jinsi ya kutengeneza online keyboard

Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript

Soma Zaidi...
Game 3: Mchezo wa kufikiria namba kwa kutumia javascript

Hii ni game ambayo utafikiria namba, ambayo inatakiwa iwe sawa na namba ambayo game imeiweka.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 14: Jifunze kuhusu event kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu javascript events. Event ni neno la Kiingereza lenye maana tukio wingi wake events kumaanisha matukio. Natumia ni kila ambacho kinatokea kwenye javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 6: Jinsi ya kufanya mahesabu kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza kuhusu matendo ya hesabu ambayo ni kugawanya, kujumlisha, kuzidisha na kutoa

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 17: condition statement za if else, else if kwenye javascript

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia.

Soma Zaidi...