Katika somo hili tutakwenda kujifunza khusu while loop na do while loop.
while loop hii ni aina ya loop ambapo code zitaendelea ku excute bila ya kikomo mpaka masharti ulioweka yatimie.
Tofauti na for loop, while loop hutumika sana kwenye maeneo haya:-
1. Hujui code zako zita excute mara ngapi mpaka kufikia matokeo.
Mfano ina program ya kuandika maudhui kwenye mafaili. Lengo lako unataka iandike MB 5, lakini hujui hizo code zita excute mara ngali mpaka ufikie MB 5. Hapa for loop haiwezi kufanya kazi.tutatumia while loop.
2. Una excute program yako kutokana na input za mtumiaji. Hapa kwa kuwa hatujui onput za huyo mtumiaji wako, hivyo tutatumia while loop.
Jambo lingine muhimu kulijuwa ni kuwa kwenye shule loop statement huweka mahala popote kwenye hiyo block.
Jinsi ya kuandika while loop.
Kwanza utaanza na initial ambapo inahitaji code zako zianzie ku excute.
while(condition){
Statement
}
Kuandika while loop ni rahisi sana yenyewe inahitaji condition na statement tu. Angalia mfano hapo chini:-
<html>
<head>
<title>Mafunzo ya javascript</title>
</head>
<body>
<script>
var a =0;
var watoto = ['juma', 'hassan', 'john', 'paul', 'rashidi', 'daudi', 'mwajuma'];
while(a < watoto.length){
document.write(watoto[a]+'<br>');
a++;
}
</script>
</body>
</html>
<html>
<head>
<title>Mafunzo ya javascript</title>
</head>
<body>
<script>
var a =0;
var namba = prompt();
while(a < namba){
document.write('Bongoclass'+'<br>');
a++;
}
</script>
</body>
</html>
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa maandishi (text) wakati wa ku out put matokeo ya code
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu matendo ya hesabu ambayo ni kugawanya, kujumlisha, kuzidisha na kutoa
Soma Zaidi...Ksomo hili litakwenda kukufundisha kuhusu object kwenye javascript, kazi zake na sheria zake katika kuiandika.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu ku set time. Yaani tutaweka muda ambao code zinatakiwa ndio zilete matokeo.
Soma Zaidi...Katika somo hilibtutakwenda kujifunza kuhusu loop. Katika programming tunaposema loop tunamaanisha ile hali ya program ku excute code zaidi na zaidi. Tofauti na kurudia rudia kuandika statement moja kwa ajili ya kupata matokeoa hayohayo basi unapotumia lo
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data ambazo hutumika kwenye javascript
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript. Katika somo hili tutakwenda kutumia mahesabu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz kuhusu baadhi ya function ambazo hutumika kwenye namba
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript.
Soma Zaidi...Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.
Soma Zaidi...