picha

JAVASCRIPT - somo la 18: Jinsi ya kutumia switch case kwenye javascript

Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.

Switch statement haina utifauti na if else ama kiweka if. Chukulia mfano huu hapa

Unatakiwa uandae program ya dictionary, yenyewe utaandika neno kwa kiswahili kisha utaletewa kiongereza chake

 

Ili kutengeneza program hii tutakwendabkutumia maneno yafuatayo kama mfano

Father - baba

Mother - mama

Sister - dada

Uncle - mjomba

Aunt - shangazi

Nephew or cousin - mpwa 

Cousin - binamu

Brother - kaka


 

Sasa program hii tutaanza kuitengeneza kwa kutumia if tupu, kama ambavyo tuliona katika somo lililotangaulia. Pia unaweza kutumia else if kama tulivyojifunza.

 

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

  let neno = prompt("weka neno la kiswahili kwa herufi ndogo");

if(neno == 'baba'){

    document.write("<b style='color:blue'>Father</b>");

  }

  if(neno == 'mama'){

    document.write("<b style='color:blue'>mother</b>");

  }

  if(neno == 'dada'){

    document.write("<b style='color:blue'>sister</b>");

  }

  if(neno == 'mjomba'){

    document.write("<b style='color:blue'>uncle</b>");

  }

  if(neno == 'shangazi'){

    document.write("<b style='color:blue'>aunt</b>");

  }

  if(neno == 'mpwa'){

    document.write("<b style='color:blue'>nephew or cousin</b>");

  }

  if(neno == 'kaka'){

    document.write("<b style='color:blue'>brother</b>");

  }

</script>

  </body>

</html>

 

Hapo utaona kuna changamoto kuu 2

  1. Kwanza kila wakati tumerudia rudia kuweka condition if(neno==)
  2. Pili hata ukitumia else ili kuhusisha manono yasio na mfanano haitakaa sawa. Maana result ya else itakuwa inajirudia

 

Sasa ili tuweze kupambana na hali hii ndipo tutatumia switch ambapo itaturahisishia kuthibiti changamoto hizo.

 

Jinsi ya kutengeneza switch

Utaanza na neno switch likifuatiwa na mabano switch () ndani ya mabano utaweka statement katika hii statement utaweka kile ambacho unakwenda kukitest. Inaweza kuwa variable ama chochote kila kitakachokuwepo kwenye statement hio. switch(statement) baada ya hapo itafuatiwa mabano{} kisha ndipo tutaanza kutest condition ambayo tutaiita value kwa kutumia neno case 'condition' utamalizia na nukta pacha : baada ya hapo utafuata kuandika statement yako yaani nini kitokee kwenye hiyo case.

 

switch(statement){

case value 1:

statement

 

case value 2:

statement

 

case value 3:

statement

 

}

 

Sasa wacha tuone mfano wetu wa kwanza kwa kutumia switch

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

  let neno = prompt("weka neno la kiswahili kwa herufi ndogo");

  switch(neno){

    case'baba':

      document.write("<h1>Father<h1>")

      case'mama':

      document.write("<h1>Mother<h1>")

      case'dada':

      document.write("<h1>Sister<h1>")

      case'kaka':

      document.write("<h1>Brother<h1>")

      case'mjomba':

      document.write("<h1>Uncle<h1>")

      case'shangazi':

      document.write("<h1>Aunt<h1>")

      case'mpwa':

      document.write("<h1>Nephew or niece<h1>")

  }

</script>

  </body>

</html>

Saaa hapo utaona kuna changamoto mbili kwenye hizo code:-

Kwanza code baada ya kuonyesha matokeo ya inputi zinaendelea kufanya kazi. Utaona hapo nimeweka neno baba sasa ikaniletea jibu father kisha ikaendelea kukaliza na list iliyobaki kutokea kwa baba.

 

Ili kutatua changamoto hii tutatumia break keyword yaani baada ya matokeo code zinatakiwa zi stop kufanya kazi.

 

Pili hapo hatukuweza kuthibiti endapo mtu ataandika ambacho hakina mfanano. Kwa mfano hapo uliandika mbuzi haitaleta majibu yeyote. 

 

Ili kutatua tatizo hili tutatumia default keyword ambayo mi sawa na else kama tulivyoona somo lililotangalia. Hivyo basi kanuni nzima itakuwa hivi. Hii default itafanyabkazi endapo mtu ataandika kitu chochote ambacho hakipo kwenye list. 

 

switch(statement){

case value 1:

statement

Break; 

 

case value 2:

statement

break; 

 

case value 3:

statement

break; 

 

}


 

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

  let neno = prompt("weka neno la kiswahili kwa herufi ndogo");

  switch(neno){

    case'baba':

      document.write("<h1>Father<h1>")

      break;

      

      case'mama':

      document.write("<h1>Mother<h1>")

      break;

      

      case'dada':

      document.write("<h1>Sister<h1>")

      bre">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-20 Topic: JavaScript Main: ICT File: Download PDF Views 881

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 web hosting    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 ai web app    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

JAVASCRIPT - somo la 9: Jinsi ya kuandika function kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 14: Jifunze kuhusu event kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu javascript events. Event ni neno la Kiingereza lenye maana tukio wingi wake events kumaanisha matukio. Natumia ni kila ambacho kinatokea kwenye javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 2: Jisi ya ku print output ya code za javascript.

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza ku display matokeo ya code za javascript.

Soma Zaidi...
Offline data handle kwa kutumia javascript

Katika somo hili tutaenda kujifunza namna ya kuhifadhi taarifa za mtumiaji endapo mtandao utakuwa haupo ()

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT -somo la 1: Kwa nini ni muhimu kujifunza javascript

Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya javacsript pamoja na kazi za javascript. Pia utayajuwa makampuni makubwa yanayotumia javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 13: Function zinazofanya kazi kwenye array.

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array pamoja na method zinazohusiana na array. Pia nitakujuza tena kuhusu array ni nini. Utajifunza pia jinsi ya kutengeneza array.

Soma Zaidi...
Game 1: Jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawili kwa kutumia html, css na javascript

Katika post hii utakwenda kujifundisha jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawii kwa utumia html, css na javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 15: Jinsi ya kukusanya user input

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 4: Jinsi ya kuandika variable kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika variable. Hapa utajifunza sheria zinazohusu variable katika javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 3: sheria za uandishi wa code za javascript yaani syntax za javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria ama syntax za kuandika javascript. Hii itakuwezesha kuelwa zaidi code za javascript.

Soma Zaidi...