image

JAVASCRIPT - somo la 18: Jinsi ya kutumia switch case kwenye javascript

Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.

Switch statement haina utifauti na if else ama kiweka if. Chukulia mfano huu hapa

Unatakiwa uandae program ya dictionary, yenyewe utaandika neno kwa kiswahili kisha utaletewa kiongereza chake

 

Ili kutengeneza program hii tutakwendabkutumia maneno yafuatayo kama mfano

Father - baba

Mother - mama

Sister - dada

Uncle - mjomba

Aunt - shangazi

Nephew or cousin - mpwa 

Cousin - binamu

Brother - kaka


 

Sasa program hii tutaanza kuitengeneza kwa kutumia if tupu, kama ambavyo tuliona katika somo lililotangaulia. Pia unaweza kutumia else if kama tulivyojifunza.

 

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

  let neno = prompt("weka neno la kiswahili kwa herufi ndogo");

if(neno == 'baba'){

    document.write("<b style='color:blue'>Father</b>");

  }

  if(neno == 'mama'){

    document.write("<b style='color:blue'>mother</b>");

  }

  if(neno == 'dada'){

    document.write("<b style='color:blue'>sister</b>");

  }

  if(neno == 'mjomba'){

    document.write("<b style='color:blue'>uncle</b>");

  }

  if(neno == 'shangazi'){

    document.write("<b style='color:blue'>aunt</b>");

  }

  if(neno == 'mpwa'){

    document.write("<b style='color:blue'>nephew or cousin</b>");

  }

  if(neno == 'kaka'){

    document.write("<b style='color:blue'>brother</b>");

  }

</script>

  </body>

</html>

 

Hapo utaona kuna changamoto kuu 2

  1. Kwanza kila wakati tumerudia rudia kuweka condition if(neno==)
  2. Pili hata ukitumia else ili kuhusisha manono yasio na mfanano haitakaa sawa. Maana result ya else itakuwa inajirudia

 

Sasa ili tuweze kupambana na hali hii ndipo tutatumia switch ambapo itaturahisishia kuthibiti changamoto hizo.

 

Jinsi ya kutengeneza switch

Utaanza na neno switch likifuatiwa na mabano switch () ndani ya mabano utaweka statement katika hii statement utaweka kile ambacho unakwenda kukitest. Inaweza kuwa variable ama chochote kila kitakachokuwepo kwenye statement hio. switch(statement) baada ya hapo itafuatiwa mabano{} kisha ndipo tutaanza kutest condition ambayo tutaiita value kwa kutumia neno case 'condition' utamalizia na nukta pacha : baada ya hapo utafuata kuandika statement yako yaani nini kitokee kwenye hiyo case.

 

switch(statement){

case value 1:

statement

 

case value 2:

statement

 

case value 3:

statement

 

}

 

Sasa wacha tuone mfano wetu wa kwanza kwa kutumia switch

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

  let neno = prompt("weka neno la kiswahili kwa herufi ndogo");

  switch(neno){

    case'baba':

      document.write("<h1>Father<h1>")

      case'mama':

      document.write("<h1>Mother<h1>")

      case'dada':

      document.write("<h1>Sister<h1>")

      case'kaka':

      document.write("<h1>Brother<h1>")

      case'mjomba':

      document.write("<h1>Uncle<h1>")

      case'shangazi':

      document.write("<h1>Aunt<h1>")

      case'mpwa':

      document.write("<h1>Nephew or niece<h1>")

  }

</script>

  </body>

</html>

Saaa hapo utaona kuna changamoto mbili kwenye hizo code:-

Kwanza code baada ya kuonyesha matokeo ya inputi zinaendelea kufanya kazi. Utaona hapo nimeweka neno baba sasa ikaniletea jibu father kisha ikaendelea kukaliza na list iliyobaki kutokea kwa baba.

 

Ili kutatua changamoto hii tutatumia break keyword yaani baada ya matokeo code zinatakiwa zi stop kufanya kazi.

 

Pili hapo hatukuweza kuthibiti endapo mtu ataandika ambacho hakina mfanano. Kwa mfano hapo uliandika mbuzi haitaleta majibu yeyote. 

 

Ili kutatua tatizo hili tutatumia default keyword ambayo mi sawa na else kama tulivyoona somo lililotangalia. Hivyo basi kanuni nzima itakuwa hivi. Hii default itafanyabkazi endapo mtu ataandika kitu chochote ambacho hakipo kwenye list. 

 

switch(statement){

case value 1:

statement

Break; 

 

case value 2:

statement

break; 

 

case value 3:

statement

break; 

 

}


 

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

  let neno = prompt("weka neno la kiswahili kwa herufi ndogo");

  switch(neno){

    case'baba':

      document.write("<h1>Father<h1>")

      break;

      

      case'mama':

      document.write("<h1>Mother<h1>")

      break;

      

      case'dada':

      document.write("<h1>Sister<h1>")

      break;

    ">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 195


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Game 2: Jinsi ya kutengeneza tic toc game ya single player kwa kutumia javascript, html na css
Katika post hii utakwenda kujifunza kutengeneza game ya tic toc ya mchezaji mmoja na kompyuta yaani single player Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 16: Jinsi ya kutumia html form kwenye javascript
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku dili na html form kwenye javascript. Javascript inaweza kufanya mengi kwenye html form. Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 2: Jisi ya ku print output ya code za javascript.
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza ku display matokeo ya code za javascript. Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 20 Jinsi ya kutumia foOfloop kwenye javascript
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia forOfLoop. Hii ni aina ya loop ambayo yenyewe inahusisha item zote kwenye array. Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 9: Jinsi ya kuandika function kwenye javascript
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 17: condition statement za if else, else if kwenye javascript
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia. Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 23: Jinsi ya kutengeneza calculator yaani kikokotoo cha hesabu kwa kutumia javascript
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kutumia javascript kutengeneza kikokotoo cha hesabu yaani calculator Soma Zaidi...

JAVASCRIPT -somo la 1: Kwa nini ni muhimu kujifunza javascript
Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya javacsript pamoja na kazi za javascript. Pia utayajuwa makampuni makubwa yanayotumia javascript. Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 7: Jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript. Katika somo hili tutakwenda kutumia mahesabu. Soma Zaidi...

Game 3: Mchezo wa kufikiria namba kwa kutumia javascript
Hii ni game ambayo utafikiria namba, ambayo inatakiwa iwe sawa na namba ambayo game imeiweka. Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 4: Jinsi ya kuandika variable kwenye javascript
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika variable. Hapa utajifunza sheria zinazohusu variable katika javascript Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 21: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop
Katika somo hili tutakwenda kujifunza khusu while loop na do while loop. Soma Zaidi...