JAVASCRIPT - somo la 18: Jinsi ya kutumia switch case kwenye javascript

Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.

Switch statement haina utifauti na if else ama kiweka if. Chukulia mfano huu hapa

Unatakiwa uandae program ya dictionary, yenyewe utaandika neno kwa kiswahili kisha utaletewa kiongereza chake

 

Ili kutengeneza program hii tutakwendabkutumia maneno yafuatayo kama mfano

Father - baba

Mother - mama

Sister - dada

Uncle - mjomba

Aunt - shangazi

Nephew or cousin - mpwa 

Cousin - binamu

Brother - kaka


 

Sasa program hii tutaanza kuitengeneza kwa kutumia if tupu, kama ambavyo tuliona katika somo lililotangaulia. Pia unaweza kutumia else if kama tulivyojifunza.

 

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

  let neno = prompt("weka neno la kiswahili kwa herufi ndogo");

if(neno == 'baba'){

    document.write("<b style='color:blue'>Father</b>");

  }

  if(neno == 'mama'){

    document.write("<b style='color:blue'>mother</b>");

  }

  if(neno == 'dada'){

    document.write("<b style='color:blue'>sister</b>");

  }

  if(neno == 'mjomba'){

    document.write("<b style='color:blue'>uncle</b>");

  }

  if(neno == 'shangazi'){

    document.write("<b style='color:blue'>aunt</b>");

  }

  if(neno == 'mpwa'){

    document.write("<b style='color:blue'>nephew or cousin</b>");

  }

  if(neno == 'kaka'){

    document.write("<b style='color:blue'>brother</b>");

  }

</script>

  </body>

</html>

 

Hapo utaona kuna changamoto kuu 2

  1. Kwanza kila wakati tumerudia rudia kuweka condition if(neno==)
  2. Pili hata ukitumia else ili kuhusisha manono yasio na mfanano haitakaa sawa. Maana result ya else itakuwa inajirudia

 

Sasa ili tuweze kupambana na hali hii ndipo tutatumia switch ambapo itaturahisishia kuthibiti changamoto hizo.

 

Jinsi ya kutengeneza switch

Utaanza na neno switch likifuatiwa na mabano switch () ndani ya mabano utaweka statement katika hii statement utaweka kile ambacho unakwenda kukitest. Inaweza kuwa variable ama chochote kila kitakachokuwepo kwenye statement hio. switch(statement) baada ya hapo itafuatiwa mabano{} kisha ndipo tutaanza kutest condition ambayo tutaiita value kwa kutumia neno case 'condition' utamalizia na nukta pacha : baada ya hapo utafuata kuandika statement yako yaani nini kitokee kwenye hiyo case.

 

switch(statement){

case value 1:

statement

 

case value 2:

statement

 

case value 3:

statement

 

}

 

Sasa wacha tuone mfano wetu wa kwanza kwa kutumia switch

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

  let neno = prompt("weka neno la kiswahili kwa herufi ndogo");

  switch(neno){

    case'baba':

      document.write("<h1>Father<h1>")

      case'mama':

      document.write("<h1>Mother<h1>")

      case'dada':

      document.write("<h1>Sister<h1>")

      case'kaka':

      document.write("<h1>Brother<h1>")

      case'mjomba':

      document.write("<h1>Uncle<h1>")

      case'shangazi':

      document.write("<h1>Aunt<h1>")

      case'mpwa':

      document.write("<h1>Nephew or niece<h1>")

  }

</script>

  </body>

</html>

Saaa hapo utaona kuna changamoto mbili kwenye hizo code:-

Kwanza code baada ya kuonyesha matokeo ya inputi zinaendelea kufanya kazi. Utaona hapo nimeweka neno baba sasa ikaniletea jibu father kisha ikaendelea kukaliza na list iliyobaki kutokea kwa baba.

 

Ili kutatua changamoto hii tutatumia break keyword yaani baada ya matokeo code zinatakiwa zi stop kufanya kazi.

 

Pili hapo hatukuweza kuthibiti endapo mtu ataandika ambacho hakina mfanano. Kwa mfano hapo uliandika mbuzi haitaleta majibu yeyote. 

 

Ili kutatua tatizo hili tutatumia default keyword ambayo mi sawa na else kama tulivyoona somo lililotangalia. Hivyo basi kanuni nzima itakuwa hivi. Hii default itafanyabkazi endapo mtu ataandika kitu chochote ambacho hakipo kwenye list. 

 

switch(statement){

case value 1:

statement

Break; 

 

case value 2:

statement

break; 

 

case value 3:

statement

break; 

 

}


 

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

  let neno = prompt("weka neno la kiswahili kwa herufi ndogo");

  switch(neno){

    case'baba':

      document.write("<h1>Father<h1>")

      break;

      

      case'mama':

      document.write("<h1>Mother<h1>")

      break;

      

      case'dada':

      document.write("<h1>Sister<h1>")

      bre">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: JavaScript Main: ICT File: Download PDF Views 653

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 web hosting    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

JAVASCRIPT - somo la 17: condition statement za if else, else if kwenye javascript

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 6: Jinsi ya kufanya mahesabu kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza kuhusu matendo ya hesabu ambayo ni kugawanya, kujumlisha, kuzidisha na kutoa

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 16: Jinsi ya kutumia html form kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku dili na html form kwenye javascript. Javascript inaweza kufanya mengi kwenye html form.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 12: Function zinazotumika kwenye namba

Katika somo hili utajifunz kuhusu baadhi ya function ambazo hutumika kwenye namba

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 21: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop

Katika somo hili tutakwenda kujifunza khusu while loop na do while loop.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 7: Jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript. Katika somo hili tutakwenda kutumia mahesabu.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 22: Jinsi ya ku set time na tarehe

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu ku set time. Yaani tutaweka muda ambao code zinatakiwa ndio zilete matokeo.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT -somo la 1: Kwa nini ni muhimu kujifunza javascript

Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya javacsript pamoja na kazi za javascript. Pia utayajuwa makampuni makubwa yanayotumia javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 3: sheria za uandishi wa code za javascript yaani syntax za javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria ama syntax za kuandika javascript. Hii itakuwezesha kuelwa zaidi code za javascript.

Soma Zaidi...
Game 2: Jinsi ya kutengeneza tic toc game ya single player kwa kutumia javascript, html na css

Katika post hii utakwenda kujifunza kutengeneza game ya tic toc ya mchezaji mmoja na kompyuta yaani single player

Soma Zaidi...