JAVASCRIPT - somo la 18: Jinsi ya kutumia switch case kwenye javascript

Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.

Switch statement haina utifauti na if else ama kiweka if. Chukulia mfano huu hapa

Unatakiwa uandae program ya dictionary, yenyewe utaandika neno kwa kiswahili kisha utaletewa kiongereza chake

 

Ili kutengeneza program hii tutakwendabkutumia maneno yafuatayo kama mfano

Father - baba

Mother - mama

Sister - dada

Uncle - mjomba

Aunt - shangazi

Nephew or cousin - mpwa 

Cousin - binamu

Brother - kaka


 

Sasa program hii tutaanza kuitengeneza kwa kutumia if tupu, kama ambavyo tuliona katika somo lililotangaulia. Pia unaweza kutumia else if kama tulivyojifunza.

 

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

  let neno = prompt("weka neno la kiswahili kwa herufi ndogo");

if(neno == 'baba'){

    document.write("<b style='color:blue'>Father</b>");

  }

  if(neno == 'mama'){

    document.write("<b style='color:blue'>mother</b>");

  }

  if(neno == 'dada'){

    document.write("<b style='color:blue'>sister</b>");

  }

  if(neno == 'mjomba'){

    document.write("<b style='color:blue'>uncle</b>");

  }

  if(neno == 'shangazi'){

    document.write("<b style='color:blue'>aunt</b>");

  }

  if(neno == 'mpwa'){

    document.write("<b style='color:blue'>nephew or cousin</b>");

  }

  if(neno == 'kaka'){

    document.write("<b style='color:blue'>brother</b>");

  }

</script>

  </body>

</html>

 

Hapo utaona kuna changamoto kuu 2

  1. Kwanza kila wakati tumerudia rudia kuweka condition if(neno==)
  2. Pili hata ukitumia else ili kuhusisha manono yasio na mfanano haitakaa sawa. Maana result ya else itakuwa inajirudia

 

Sasa ili tuweze kupambana na hali hii ndipo tutatumia switch ambapo itaturahisishia kuthibiti changamoto hizo.

 

Jinsi ya kutengeneza switch

Utaanza na neno switch likifuatiwa na mabano switch () ndani ya mabano utaweka statement katika hii statement utaweka kile ambacho unakwenda kukitest. Inaweza kuwa variable ama chochote kila kitakachokuwepo kwenye statement hio. switch(statement) baada ya hapo itafuatiwa mabano{} kisha ndipo tutaanza kutest condition ambayo tutaiita value kwa kutumia neno case 'condition' utamalizia na nukta pacha : baada ya hapo utafuata kuandika statement yako yaani nini kitokee kwenye hiyo case.

 

switch(statement){

case value 1:

statement

 

case value 2:

statement

 

case value 3:

statement

 

}

 

Sasa wacha tuone mfano wetu wa kwanza kwa kutumia switch

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

  let neno = prompt("weka neno la kiswahili kwa herufi ndogo");

  switch(neno){

    case'baba':

      document.write("<h1>Father<h1>")

      case'mama':

      document.write("<h1>Mother<h1>")

      case'dada':

      document.write("<h1>Sister<h1>")

      case'kaka':

      document.write("<h1>Brother<h1>")

      case'mjomba':

      document.write("<h1>Uncle<h1>")

      case'shangazi':

      document.write("<h1>Aunt<h1>")

      case'mpwa':

      document.write("<h1>Nephew or niece<h1>")

  }

</script>

  </body>

</html>

Saaa hapo utaona kuna changamoto mbili kwenye hizo code:-

Kwanza code baada ya kuonyesha matokeo ya inputi zinaendelea kufanya kazi. Utaona hapo nimeweka neno baba sasa ikaniletea jibu father kisha ikaendelea kukaliza na list iliyobaki kutokea kwa baba.

 

Ili kutatua changamoto hii tutatumia break keyword yaani baada ya matokeo code zinatakiwa zi stop kufanya kazi.

 

Pili hapo hatukuweza kuthibiti endapo mtu ataandika ambacho hakina mfanano. Kwa mfano hapo uliandika mbuzi haitaleta majibu yeyote. 

 

Ili kutatua tatizo hili tutatumia default keyword ambayo mi sawa na else kama tulivyoona somo lililotangalia. Hivyo basi kanuni nzima itakuwa hivi. Hii default itafanyabkazi endapo mtu ataandika kitu chochote ambacho hakipo kwenye list. 

 

switch(statement){

case value 1:

statement

Break; 

 

case value 2:

statement

break; 

 

case value 3:

statement

break; 

 

}


 

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

  let neno = prompt("weka neno la kiswahili kwa herufi ndogo");

  switch(neno){

    case'baba':

      document.write("<h1>Father<h1>")

      break;

      

      case'mama':

      document.write("<h1>Mother<h1>")

      break;

      

      case'dada':

      document.write("<h1>Sister<h1>")

      bre">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: JavaScript Main: ICT File: Download PDF Views 654

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 web hosting    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

JAVASCRIPT - somo la 12: Function zinazotumika kwenye namba

Katika somo hili utajifunz kuhusu baadhi ya function ambazo hutumika kwenye namba

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT -somo la 1: Kwa nini ni muhimu kujifunza javascript

Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya javacsript pamoja na kazi za javascript. Pia utayajuwa makampuni makubwa yanayotumia javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 15: Jinsi ya kukusanya user input

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 19: Jinsi ya kutumia loop kwenye javascript

Katika somo hilibtutakwenda kujifunza kuhusu loop. Katika programming tunaposema loop tunamaanisha ile hali ya program ku excute code zaidi na zaidi. Tofauti na kurudia rudia kuandika statement moja kwa ajili ya kupata matokeoa hayohayo basi unapotumia lo

Soma Zaidi...
Game 3: Mchezo wa kufikiria namba kwa kutumia javascript

Hii ni game ambayo utafikiria namba, ambayo inatakiwa iwe sawa na namba ambayo game imeiweka.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 11: function maalumu zinazotumika kwenye string yaani string method

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 6: Jinsi ya kufanya mahesabu kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza kuhusu matendo ya hesabu ambayo ni kugawanya, kujumlisha, kuzidisha na kutoa

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 24: Jinsi ya kutengeneza online keyboard

Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 17: condition statement za if else, else if kwenye javascript

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 14: Jifunze kuhusu event kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu javascript events. Event ni neno la Kiingereza lenye maana tukio wingi wake events kumaanisha matukio. Natumia ni kila ambacho kinatokea kwenye javascript.

Soma Zaidi...