Somo hili linakwenda kukuletea faida za kunywa maziwa kiafya
Faida za kunywa maziwa
1. Husaidia kuboresha afya ya ngozi
2. Huimarisha afya ya kinywa na meno
3. Huboresha afya ya mifupa.
4. Husaidia katika ukuaji imara wa misuli
5. Ni kinywaji kizuri cha kupunguza uzito
6. Hupunguza stress na misongo ya mawazo
7. Hupunguza maumivu ya chango kwa wakina mama
8. Huondoa kiungulia
9. Huboresha mfumo wa kinga
10. Hupunguza mashambulizi ya mara kwa mara ya vijidudu vya maradhi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi vitamin
Soma Zaidi...Embe ni katika matunda atamu na yenye faida kubwa kiafya, soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.
Soma Zaidi...Vitamini A ni katika vitamini fat soluble vitamin akama vile retinol, retinal, retinoic acid na beta-carotene.
Soma Zaidi...utajifunza njia za kuzuia kiungulia, dalili za kiungulia na dawa ya kutibu kiungulia.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza faida na matumizi ya asali mwilini.
Soma Zaidi...