Faida za kiafya za kula kitunguu maji

Faida za kiafya za kula kitunguu maji



Faida za kitunguu maji (onion)

  1. kitunguu kina virutubisho kama  vitamini C, B9 na B6 pia madini kama potassium
  2. Hulinda afya ya moyo
  3. Hushusha presha ya damu
  4. Hulinda mwili dhidi ya kisukari, saratani na maradhi ya moyo
  5. Husaidia katika kuzuia saratani kusambaa maeneo mengine ya mwili
  6. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu na hii ni muhimu hasa kwa watu wenye type2 diabetes
  7. Huboresha afya ya mifupa na kuifanya iwe imara na madhubuti
  8. Huimarisha ulinzi wa mwili dhidi ya maambukizi ya bakteria
  9. Huboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

 



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1515

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 web hosting    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Kitabu cha Afya 02

Kama tulivyosema hapo juu kuwa afya ni kuwa mzima kimwili na kiakili.

Soma Zaidi...
Tufaha (apple)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula maini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini

Soma Zaidi...
Faida za kitunguu thaumu mwilini

Makala hii itakuletea faida za kitunguu thaumu katika afyabyako.

Soma Zaidi...
Nini maana ya protini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya protini

Soma Zaidi...
RANGI ZA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
Faida za kula Nazi

Nazi ni katika matunda bora sana kiafya, Soma faida zake kwa afya yako

Soma Zaidi...
Vyakula hatari na salama kwa vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari na salama kwa vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...