picha

Faida za kiafya za kula kitunguu maji

Faida za kiafya za kula kitunguu maji



Faida za kitunguu maji (onion)

  1. kitunguu kina virutubisho kama  vitamini C, B9 na B6 pia madini kama potassium
  2. Hulinda afya ya moyo
  3. Hushusha presha ya damu
  4. Hulinda mwili dhidi ya kisukari, saratani na maradhi ya moyo
  5. Husaidia katika kuzuia saratani kusambaa maeneo mengine ya mwili
  6. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu na hii ni muhimu hasa kwa watu wenye type2 diabetes
  7. Huboresha afya ya mifupa na kuifanya iwe imara na madhubuti
  8. Huimarisha ulinzi wa mwili dhidi ya maambukizi ya bakteria
  9. Huboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

 



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2312

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 ai web app     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini

Posti hii inahusu zaidi Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini, ni Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini ambao usababisha madhara kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Faida za kula ndizi

Somo hiki linakwenda kukueleza faida za kiafya za kula ndizi

Soma Zaidi...
JITIBU KWA TANGAIZI: faida za kiafya za tangaizi

Tangaizi ni katika mimea yenye asili na bara la asia hususan nchi ya China.

Soma Zaidi...
Ndizi (banana)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndizi

Soma Zaidi...