Faida za kula tikiti

Faida za kula tikiti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tikiti

Download Post hii hapa

. Faida za kula tikiti

1. hufanya mwili uwe na majimaji mengi na hii ni faida kubwa sana kiafya

2. Tikiti lina virutubisho kama vitamini C, A, B1, B5, na B6. Pia lina madini ya manganessium na potassium

3. Husaidia kuzuia saratani

4. Huimarisha afya ya moyo

5. Hupunguza misongo ya mawazo

6. Hupunguza udhaifu wa viungo kwa wazee

7. Husaidia kuboresha afya ya nywele na ngozi

8. Huimarisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1717

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Faida za kula papai
Faida za kula papai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai

Soma Zaidi...
Faida za embe
Faida za embe

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula embe

Soma Zaidi...
Vyakula vizuri kwa vidonda vya tumbo
Vyakula vizuri kwa vidonda vya tumbo

Hii ni orodha ya vyakula salama na vizuri kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula maini
Faida za kiafya za kula maini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini

Soma Zaidi...
Faida za kula Nanasi
Faida za kula Nanasi

Nanasi ni katika matunda matamu lakini mazuri pia kiafya, je unazijuwa faida zake kiafya

Soma Zaidi...
Nini maana ya protini
Nini maana ya protini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya protini

Soma Zaidi...
Faida za kula karanga mbichi
Faida za kula karanga mbichi

Post hii inakwenda kukupa faida kuu 5 za kula karanga mbichi katika afya ya mwili wako.

Soma Zaidi...