Faida za kiafya za kula Mahindi

Faida za kiafya za kula Mahindi



faida za kiafya za kula mahindi

  1. mahindi yana virutubisho kama protini, wanga, madini ya chuma, vitamini B1, B5, B12, na vitamini C
  2. Husaidia katika utengenezwaji wa seli hai nyekundu za damu
  3. Husaidia katika kupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya anaemia
  4. Ni chakula kinachoipa miili yetu nguvu
  5. Husaidia katia kuongeza uzito
  6. Husaidia katika kushusha kiwango cha sukari kwenye damu
  7. Husaidia kwa afya ya mama mjamzito na mtoto aliyepo tumboni, pia husaidia katika kujifungua salama
  8. Husaidia katika kuboresha afya ya ngozi


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 5472

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za parachichi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula parachichi

Soma Zaidi...
Vyakula vya kupunguza presha ya kupanda

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula ambavyo vinaweza kupunguza presha ya kupanda

Soma Zaidi...
Fahamau protini na kazi zake, vyakula vya protini, na athari za upungufu wake.

unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo

Soma Zaidi...
Blueberry

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula blueberry

Soma Zaidi...
Upungufu wa protini na dalili zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake

Soma Zaidi...
Vyakula vya wanga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini

Soma Zaidi...
Faida za kunywa maji kabla ya kula chochote.

Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy

Soma Zaidi...
Vyakula salama kwa mwenye kisukari

Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari

Soma Zaidi...