Faida za tangawizi

Faida za tangawizi

Somo Hili linakwenda kukuletea faida za tangawizi

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

FAIDA ZA TANGAIZI

Tangaizi ni katika mimea yenye asili na bara la asia hususan nchi ya China. Mmea huu hutambulika kwa faida zake za kitiba toka zamani sana. Na karibia dunia nzima hutumia tangaizi kama tiba na kama kinywaji. Ndani ya tangaizi kuna chembechembe ziitwazo gingerol, hizi ndizo huipa tangaizi uwezo wake wa kitiba.

 

Unaweza kutumia tangaizi kwa kutafuna vipande vidogovidogo au kwa kutia kwenye  mboga. Pia unaweza kuweka kwenye chai ikiwa vipande vidogo au ikiwa imekauchwa na kusagwa kama ungaunga. Zipo njia nyingi za kutumia tangaizi. Zifuatazo ni katika baadhi ya faida za tangaizi iafya:-

 

1. Tangaizi ni mujarabu sana katika kutibu kichefuchefu. Hususani kichefuchefu cha mimba. Kwa ujumla kichefuchefu huwapata sana wajawazito, na watu walofanyiwa upasuaji wa ndani. Lakini kinaweza kumpata mtu yeyote. Unaweza kutumia tangaizi kwenye chai, ama kutafuna vipande vidogo. Hakikisha unakula japo gram moja.

2. Hupunguza maumivu ya misuli

3. Hupunguza maumivu ya viungo

4. Husaidia katika kushusha kiwango cha sukari. Hususan kwa wenye kisukari type 2. kwa kufanya hivi pia hupunguza athari ya kupata maradhi ya moyo

5. Husaidia kwa wenye tatizo la kutokupata choo na kukosa hamu ya kula.

6. Hupunguza maumivu ya tumbo la chango kwa wanawake.

7. Hupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa saratani (cancer)

8. Huimarisha afya ya ubongo

9. Husaidia katika kuimarisha mfumo wa kinga za mwili.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2801

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi
Majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi

Posti hii inahusu zaidi kazi ya majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi, pamoja na kutibu saratani mbalimbali na upambana na fangasi na bakteria kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula mihogo
Faida za kiafya za kula mihogo

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo

Soma Zaidi...
 Fahamu vyakula vya nyuzinyuzi
Fahamu vyakula vya nyuzinyuzi

Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga.

Soma Zaidi...
Faida za biringanya/ eggplant
Faida za biringanya/ eggplant

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za stafeli/soursop
Faida za kiafya za stafeli/soursop

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafeli ama soursop

Soma Zaidi...
Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini

hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

Zijuwe dawa za kuongeza nguvu za kiume, na vyakula salama vya kuongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...