VYAKULA HATARI KWA VIDONDA VYA TUMBO

Hivi ni vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo. mwenye vidonda vya tumbo hatakiwi kula vyakula hivi

VYAKULA HATARI KWA VIDONDA VYA TUMBO


VYAKULA HATARI KWA MWENYE VIDONDA VYA TUMBO


Wataalamu wa afya wanatuhakikishia kuwa vyakula sio sababu ya kutokea kwa vidonda vya tumbo. Ila vyakula vinaweza kusababisha hali ya maumivu na shida za vidonda vya tumbo kuwa kubwa na mbaya zaidi. Makala hii inakwenda kukuorodheshea vyakula ambavyo ni hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo


Vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo
1.Vyakula vyenye mafuta mengi

2.Matunda yenye uchachu sana huenda yakawa hatari kama asili ya vidonda vyako ni asidi ya tumboni

3.Maziwa ; maziwa yanaweza kupunguza maumivu ya vidonda vya tumbo ila yanasababisha hali kuwa mbaya zaidi baadaye

4.Vyakula vyenye pilipili kwa wingi huwenda vikafanya maumivu yako kuwa makali.

5.Matumizi ya chokoleti; kwa baadhi ya watu inaweza kusababisha maumivu kuzidi.

6.Vyakula vyenye gesi kama maharagwe yasiyo ya soya.

7.Matumizi ya soda



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 3550

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula mihogo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo

Soma Zaidi...
Faida za kula nanasi

Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
JITIBU KWA KITUNGUU THAUMU: faida za kiafya za kitunguu thaumu

Kitunguu thaumu ni katika viungo vya mboga na chakula.

Soma Zaidi...
Kazi za vitamini B mwilini Na upungufu wa vitamini B mwilini

vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula maboga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga

Soma Zaidi...
Faida za kula Zabibu (grape)

faida za kula tunda zabibu kwa ajili ya afya yako

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin B

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin B

Soma Zaidi...