picha

VYAKULA HATARI KWA VIDONDA VYA TUMBO

Hivi ni vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo. mwenye vidonda vya tumbo hatakiwi kula vyakula hivi

VYAKULA HATARI KWA VIDONDA VYA TUMBO


VYAKULA HATARI KWA MWENYE VIDONDA VYA TUMBO


Wataalamu wa afya wanatuhakikishia kuwa vyakula sio sababu ya kutokea kwa vidonda vya tumbo. Ila vyakula vinaweza kusababisha hali ya maumivu na shida za vidonda vya tumbo kuwa kubwa na mbaya zaidi. Makala hii inakwenda kukuorodheshea vyakula ambavyo ni hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo


Vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo
1.Vyakula vyenye mafuta mengi

2.Matunda yenye uchachu sana huenda yakawa hatari kama asili ya vidonda vyako ni asidi ya tumboni

3.Maziwa ; maziwa yanaweza kupunguza maumivu ya vidonda vya tumbo ila yanasababisha hali kuwa mbaya zaidi baadaye

4.Vyakula vyenye pilipili kwa wingi huwenda vikafanya maumivu yako kuwa makali.

5.Matumizi ya chokoleti; kwa baadhi ya watu inaweza kusababisha maumivu kuzidi.

6.Vyakula vyenye gesi kama maharagwe yasiyo ya soya.

7.Matumizi ya soda



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 4421

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 web hosting     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Blueberry

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula blueberry

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula passion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion

Soma Zaidi...
Faida za kula Faida za kula Boga

Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako

Soma Zaidi...
HOMA YA DENGUE, DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANGO YAKE NA INA SABABISHWA (AMBUKIZWA) NA MBU GANI

Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean.

Soma Zaidi...
Faida za kula kabichi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi

Soma Zaidi...