picha

Faida za kiafya za kula Kisamvu

Faida za kiafya za kula Kisamvu



Faida za kiafya za kula kisamvu

  1. kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamini C vingi
  2. Husaidia kupambana na kwashoorkor (kwashiakoo) aina ya utapiamlo
  3. Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondosha homa na maumivu ya kichwa
  4. Hutibu kuhara unasanga majani
  5. Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema unachemsha majani ya kisamvu pamoja na tangawizi na chumvi
  6. Huongeza hamu ya kual chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi kisha kunywa
  7. Hutibu minyoo
  8. Husaidia kuchelewa kuzeheka
  9. Hutibu stroke
  10. Huongeza stamina
  11. Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka
  12. Huboresha mfumo wa kinga


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 4401

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 web hosting     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Vyakula muhimu kwa kulinda afya ya macho - Epuka upofu kwa kula vyakula hivi

Matatizo ya macho yanaweza kuruthiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto. hata hivyo shughuli zetu na vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Hapa nitakuletea vyakula muhimu kwa afya ya macho yako.

Soma Zaidi...
Faida za kula uyoga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula uyoga

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula panzi, senene na kumbikumbi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula senene, panzi na kumbikumbi

Soma Zaidi...
Faida za ubuyu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ubuyu

Soma Zaidi...
Faida za nazi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...