picha

Faida za kiafya za kula Kisamvu

Faida za kiafya za kula Kisamvu



Faida za kiafya za kula kisamvu

  1. kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamini C vingi
  2. Husaidia kupambana na kwashoorkor (kwashiakoo) aina ya utapiamlo
  3. Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondosha homa na maumivu ya kichwa
  4. Hutibu kuhara unasanga majani
  5. Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema unachemsha majani ya kisamvu pamoja na tangawizi na chumvi
  6. Huongeza hamu ya kual chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi kisha kunywa
  7. Hutibu minyoo
  8. Husaidia kuchelewa kuzeheka
  9. Hutibu stroke
  10. Huongeza stamina
  11. Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka
  12. Huboresha mfumo wa kinga


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 4777

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 web hosting     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Fahamu vitamini C na kazi zake, vyakula vya vitamini C na athari za upungufu wake.

kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.

Soma Zaidi...
Faida za kula Zaituni

Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu maji, kazizake mwilini na athari za upungufu wake mwilini

Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake

Soma Zaidi...
Dalili za ukosefu wa madini ya iodini (goiter)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za upungufu wa iodini ambapo kitaalamu hujulikana Kama goiter. Goiter Ni Sababu ya kawaida ya goiter duniani kote ni ukosefu wa iodini katika chakula. Nchini Marekani, ambako utumiaji wa chumvi yenye iodini ni j

Soma Zaidi...
Zabibu (grapefruit)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za zabibu

Soma Zaidi...