Faida za kiafya za kula Kisamvu

Faida za kiafya za kula kisamvu
- kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamini C vingi
- Husaidia kupambana na kwashoorkor (kwashiakoo) aina ya utapiamlo
- Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondosha homa na maumivu ya kichwa
- Hutibu kuhara unasanga majani
- Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema unachemsha majani ya kisamvu pamoja na tangawizi na chumvi
- Huongeza hamu ya kual chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi kisha kunywa
- Hutibu minyoo
- Husaidia kuchelewa kuzeheka
- Hutibu stroke
- Huongeza stamina
- Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka
- Huboresha mfumo wa kinga
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 web hosting 👉6 Dua za Mitume na Manabii
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 web hosting 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Faida za kiafya za kula pera
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pera
Soma Zaidi...VYANZO VYA VYAKULA VYA VITAMINI NA FAIDA ZAKE
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula mihogo
Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
Soma Zaidi...Faida za kitunguu thaumu
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kitunguu thaumu
Soma Zaidi...Faida za kula Palachichi
Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...