picha

Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu

Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu



Faida za kiafya za kitunguu thaumu

  1. ina chembechembe za salfa ambazo ni dawa kubwa kwa afya ya mtu
  2. Kuna virutubisho kama vitamini C na vitamini B6, pia madini ya manganese
  3. Hupunguza usingizi
  4. Hupambana na mafua
  5. Hushusha presha ya damu
  6. Huboresha afya ya moyo
  7. Huborsha afya ya ubongo na kuondoa tatizo la kusahausahau
  8. Huondosha sumu za vyakula na kemikali mwilini
  9. Huboresha afya ya mifupa


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1054

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 ai web app     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Faida za mchaichai/ lemongrass

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai

Soma Zaidi...
Faida za limao au ndimu

Post hii itakwenda kukueleza umuhimu wa limao kiafya

Soma Zaidi...
Nyanya (tomato)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya

Soma Zaidi...
Faida za kula chungwa na chenza (tangarine)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa na chenza (tangarine)

Soma Zaidi...