picha

Vyakula vyenye maji kwa wingi

Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini

VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI

1. Tikiti

2. Tango

3. Nanasi

4. Machungwa

5. Madanzi

6. Mapensheni

7. Miwa

8. Mapapai

9. Mastafeli

10. Matunda damu

11. Komamanga

 

 

Faida za maji mwilini

1. Kulainisha viungo

2. Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi

3. Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini

4. Huboresha afya ya ngozi

5. Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu

6. Husaidia katika kupunguza joto

7. Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji

8. Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili

9. Hutdhibiti shinikizo la damu

10. Huzuia uharibifu wa figo

11. Husaidia katika kupunguza uzito

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1785

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 web hosting     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Vyakula vizuri kwa vidonda vya tumbo

Hii ni orodha ya vyakula salama na vizuri kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Faida za kula asali

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali

Soma Zaidi...
Namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa matumizi mbalimbali

Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu

Soma Zaidi...
Vijuwe vyakula vinavyoongeza damu kwa haraka

Post hii itakufundisha aina za vyakula ambavyo vinaweza kuongeza damu kwa haraka.

Soma Zaidi...
Faida za kula bamia

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia

Soma Zaidi...