Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini
VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI
1. Tikiti
2. Tango
3. Nanasi
4. Machungwa
5. Madanzi
6. Mapensheni
7. Miwa
8. Mapapai
9. Mastafeli
10. Matunda damu
11. Komamanga
Faida za maji mwilini
1. Kulainisha viungo
2. Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi
3. Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini
4. Huboresha afya ya ngozi
5. Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu
6. Husaidia katika kupunguza joto
7. Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji
8. Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili
9. Hutdhibiti shinikizo la damu
10. Huzuia uharibifu wa figo
11. Husaidia katika kupunguza uzito
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya
Soma Zaidi...Madhara ya upungufu wa protini ni mengi kiafya. Miongoni mwa madhara hayo ni..
Soma Zaidi...Okoa afya yako kwa kula tunda papai, kwa hakika hutajuta, papai lina virutubisho vingi
Soma Zaidi...Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho
Soma Zaidi...Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa
Soma Zaidi...