Vyakula vyenye maji kwa wingi

Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini

VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI

1. Tikiti

2. Tango

3. Nanasi

4. Machungwa

5. Madanzi

6. Mapensheni

7. Miwa

8. Mapapai

9. Mastafeli

10. Matunda damu

11. Komamanga

 

 

Faida za maji mwilini

1. Kulainisha viungo

2. Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi

3. Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini

4. Huboresha afya ya ngozi

5. Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu

6. Husaidia katika kupunguza joto

7. Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji

8. Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili

9. Hutdhibiti shinikizo la damu

10. Huzuia uharibifu wa figo

11. Husaidia katika kupunguza uzito

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1487

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Faida za kula Nyanya

Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya

Soma Zaidi...
Karoti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karoti

Soma Zaidi...
Madhara ya upungufu wa protini mwilini

Madhara ya upungufu wa protini ni mengi kiafya. Miongoni mwa madhara hayo ni..

Soma Zaidi...
Faida za kula Papai

Okoa afya yako kwa kula tunda papai, kwa hakika hutajuta, papai lina virutubisho vingi

Soma Zaidi...
Faida za kula Ndizi

Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho

Soma Zaidi...
Vyakula vinavyosaidia kupunguza uzito

Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula maini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini

Soma Zaidi...
Upungufu wa vitamin C mwilini

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa vitamini C mwilini

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa maziwa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa

Soma Zaidi...