Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini
VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI
1. Tikiti
2. Tango
3. Nanasi
4. Machungwa
5. Madanzi
6. Mapensheni
7. Miwa
8. Mapapai
9. Mastafeli
10. Matunda damu
11. Komamanga
Faida za maji mwilini
1. Kulainisha viungo
2. Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi
3. Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini
4. Huboresha afya ya ngozi
5. Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu
6. Husaidia katika kupunguza joto
7. Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji
8. Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili
9. Hutdhibiti shinikizo la damu
10. Huzuia uharibifu wa figo
11. Husaidia katika kupunguza uzito
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1368
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Simulizi za Hadithi Audio
👉4 Madrasa kiganjani
👉5 Kitau cha Fiqh
👉6 Kitabu cha Afya
Faida za kiafya za kula kungumanga/nutmeg
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg Soma Zaidi...
Faida za kula bamia
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia Soma Zaidi...
VYAKULA VYA WANGA NA MADINI
Kuna aina nyingi za vyakula kama mafuta, wanga, fati, protini na vitamini. Je! unajuwa faida zake na hasara zake? Soma Zaidi...
Faida za kula tikiti
Ukubwa wa tikiti unasadifu yaliyopo, kwani kuna fgaida akubwa sana za kiafya katika kula tikiti Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula ubuyu
Soma Zaidi...
Faida za kula kabichi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi Soma Zaidi...
TIBA ASILI ZITOKANAZO NA VYAKULA
Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Bamia
Soma Zaidi...
Mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mara moja
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mapema, kwa sababu ya kuwepo kwa saratani ya matiti, kuna dalili ambazo zikijitokeza zinapaswa kutolewa taarifa mara moja bila kuchelewa kama ifuatavyo. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...
Kazi za vitamini B mwilini Na upungufu wa vitamini B mwilini
vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu Soma Zaidi...
Aina za vyakula ambayo huongeza damu kwa wajawazito na watoto
Hizi ni aina za vyakula ambavyo husaidia katika kuongeza damu kwa wajawazito na watoto. Soma Zaidi...