Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini
VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI
1. Tikiti
2. Tango
3. Nanasi
4. Machungwa
5. Madanzi
6. Mapensheni
7. Miwa
8. Mapapai
9. Mastafeli
10. Matunda damu
11. Komamanga
Faida za maji mwilini
1. Kulainisha viungo
2. Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi
3. Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini
4. Huboresha afya ya ngozi
5. Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu
6. Husaidia katika kupunguza joto
7. Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji
8. Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili
9. Hutdhibiti shinikizo la damu
10. Huzuia uharibifu wa figo
11. Husaidia katika kupunguza uzito
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 1277
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi
👉2 Kitabu cha Afya
👉3 Kitau cha Fiqh
👉4 Madrasa kiganjani
Faida za kiafya za kula viazi vitamu
Soma Zaidi...
VYANZO VYA VYAKULA VYA VITAMINI NA FAIDA ZAKE
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula ndimu na limao
Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Korosho
Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamini na faida zake
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake Soma Zaidi...
Faida za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi faida za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito, kuna kipindi ambacho wanawake wakati wa ujauzito uchaguza vyakula mbalimbali kuna ambao wanaweza kutumia vitunguu saumu na kupata faida kubwa Soma Zaidi...
Faida za kula viazi mbatata
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula fenesi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fenesi Soma Zaidi...
Faida za kula tikiti
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tikiti Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa chai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai Soma Zaidi...
Faida za kula papai
Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili. Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo baada ya kula
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya kula Soma Zaidi...