picha

Vyakula vyenye maji kwa wingi

Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini

VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI

1. Tikiti

2. Tango

3. Nanasi

4. Machungwa

5. Madanzi

6. Mapensheni

7. Miwa

8. Mapapai

9. Mastafeli

10. Matunda damu

11. Komamanga

 

 

Faida za maji mwilini

1. Kulainisha viungo

2. Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi

3. Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini

4. Huboresha afya ya ngozi

5. Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu

6. Husaidia katika kupunguza joto

7. Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji

8. Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili

9. Hutdhibiti shinikizo la damu

10. Huzuia uharibifu wa figo

11. Husaidia katika kupunguza uzito

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1644

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 web hosting    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito

Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito.

Soma Zaidi...
Mafidodo (mafindofindo) au tonsils kweye koo je inaweza ikawa Ni moja kati ya dalil za ukimwi

Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.

Soma Zaidi...
Vitamini na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo baada ya kula

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya kula

Soma Zaidi...
Zijue Faida ya kula tunda la tango.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.

Soma Zaidi...
Faida za chungwa na chenza ( tangarine)

Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini

Soma Zaidi...
Faida za kula nanasi

Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
Faida za kula Ukwaju

Zitambue faida kubwa za kula karanga kwa ajili ya afya yako

Soma Zaidi...
Faida za kula Palachichi

Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako

Soma Zaidi...