Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini
VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI
1. Tikiti
2. Tango
3. Nanasi
4. Machungwa
5. Madanzi
6. Mapensheni
7. Miwa
8. Mapapai
9. Mastafeli
10. Matunda damu
11. Komamanga
Faida za maji mwilini
1. Kulainisha viungo
2. Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi
3. Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini
4. Huboresha afya ya ngozi
5. Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu
6. Husaidia katika kupunguza joto
7. Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji
8. Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili
9. Hutdhibiti shinikizo la damu
10. Huzuia uharibifu wa figo
11. Husaidia katika kupunguza uzito
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya kula
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...