Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini
VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI
1. Tikiti
2. Tango
3. Nanasi
4. Machungwa
5. Madanzi
6. Mapensheni
7. Miwa
8. Mapapai
9. Mastafeli
10. Matunda damu
11. Komamanga
Faida za maji mwilini
1. Kulainisha viungo
2. Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi
3. Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini
4. Huboresha afya ya ngozi
5. Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu
6. Husaidia katika kupunguza joto
7. Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji
8. Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili
9. Hutdhibiti shinikizo la damu
10. Huzuia uharibifu wa figo
11. Husaidia katika kupunguza uzito
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi juu ya madini ya zinki na faida zake katika mwili wa binadamu,
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za matumizi ya vyakula vya asili, kama tunavyojua kwamba mababu na mabibi zetu walitumia vyakula vya asili wakaishi miaka mingi kweli.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za apple kwa mama mjamzito, ni faida anazozipata mama akiwa mjamzito kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini mbalimbali kwenye apple ambavyo usaidia katika makuzi ya mtoto.I
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi virutubisho vilivyomo kwenye parachichi, tunajua sana kuwa parachichi ina virutubisho vingi ambavyo vinaweza kuleta faida nyingi kwenye mwili kama yalivyo matunda na vyakula vingine.
Soma Zaidi...Tatizo la nguvu za kiume linawwza kuzuiliwa ama kupunguzwa kwa kutumia muunganimo wa njiankadhaa kama kubaduki vyakula, kutumia dawa, kupata ushauri kwa wataalamu wa afya ya mahusiano ama kufanya nazoezi. Je na wewe unasumbuliwa na tatizo hili? Makala hii
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.
Soma Zaidi...