image

Faida za kiafya za kula Bamia

Faida za kiafya za kula Bamia



Faida za kiafya za kula bamia

  1. Bamia lina virutubisho kama vitamini C, vitamini K, vitamini A na vitamini B. pia bamia lina protini, fati na madini ya magnesium.
  2. Bamia lina antioxidant ambazo hulinda mwili dhidi ya maradhi
  3. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo
  4. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya saratani
  5. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
  6. Husaidia kwa wanawake wenye ujauzito na ukuaji wa mtoto


                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 324


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Fida za kula uyoga
Uyoga pia ni katika vyakula vya asili, ijapokuwa upatikanaji wake umekuwa mchache siku hizi. Shukrani ziwaendee wataalamu wa kilimo, kwa sasa tunaweza kuzipata mbegu za uyoga kutoka maabara na kulima uyoga popote pale. Wataalamu wa mimea wanaamini kuwa uy Soma Zaidi...

Faida za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi faida za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito, kuna kipindi ambacho wanawake wakati wa ujauzito uchaguza vyakula mbalimbali kuna ambao wanaweza kutumia vitunguu saumu na kupata faida kubwa Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Mbegu za mronge
Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamini k na faida zake
Soma Zaidi...

Faida za kula tikiti
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tikiti Soma Zaidi...

FAIDA ZA KULA ZABIBU
Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za kula zabibu na umuhimu wake kiafya Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Kisamvu
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Viazi mbatata
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kunywa maziwa
Soma Zaidi...

Madhara ya upungufu wa protini mwilini
Madhara ya upungufu wa protini ni mengi kiafya. Miongoni mwa madhara hayo ni.. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za Asali
Soma Zaidi...

Faida za kula karoti
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula karoti Soma Zaidi...